Tuerny atajwa kama mwanamke mwenye mvuto zaidi Tanzania!

Huo
mvuto kwa mwanaume wa aina gani..
Maana mm navyo muona nikikutana nae njiani sina hata tme ya kumugeukia
 

Tumepigwa
 
Hivi Kama huyu atasema mwanaume pesa kweli jamani.si atataka kuwa na me ambaye ama hisia naye ama ataangalia pesa halafu upendo baadaye. Ila dada tafuteni hela acheni kujiuza kwa kisingizio kuwa pesa kwanza
 
Nilijua hanyi!
 
Kuna demu yupo hall 7 ni sijui kashamaliza! ndio mzuri kwangu wakati wote. Kuna wakati fulani alikuwa kwenye mabango. Au mnasemaje wanangu wa jalalani?
 
Hahahaha yaani Tanzania standard za uzuri ni matako. Kamtu kenyewe kafupi, tipwa tipwa, yaani hafai kuwa mzuri kabisa. Ana kitambi etc
 
Hahahaha yaani Tanzania standard za uzuri ni matako. Kamtu kenyewe kafupi, tipwa tipwa, yaani hafai kuwa mzuri kabisa. Ana kitambi etc
Wivu utakuua kisa kakuzidi uzuri na shape!
 
Wivu utakuua kisa kakuzidi uzuri na shape!
Hana shape huyo, Ulaya hiyo hata mume hawezi kupata kwa sababu huo unene ni wa kizembe kiasi kwamba yupo likely kupata magonjwa kama presha sukari hivyo hakuna mwanaume atakaye kuwa tayari kuoa mzigo wa mtu aliyejiachia kunenepa hivyo. Nenda Ethiopia utakuta wasichana au hata South Sudan unakutana na msichana mrefu, mwili wa kawaida na tako la kawaida very very beautiful siyo hili li minyama uzembe eti ni mzuri, anahamasisha ujinga wa wasichana kutumia dawa za kunenepesha makalio na kufanya operations ya makalio, hate sana hivyo vitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…