Ktk utafiti uliowai kufanywa kila watz 10 bac mmoja wao ana ugonjwa akili simpleMipango ya mezani ya Israel wanayoiita baada ya vita inawafurahisha mno wafuasi wa Israel na mayahudi kote duniani.Mipango hiyo kwa upande wa pili kama inawatia huzuni wapenda haki kote duniani.
Israel ikiendelea na mashauriano na mwenzake,Marekani wameweka mezani mikakati kadhaa ambayo wanaendelea kuifanyia kazi upi utakuwa ni bora zaidi kuanza nao.
1.Kupunguza upinzani wa raia wa nchi za kiarabu zinazoizunguka Israel itabidi watoe mamlaka kwa Palestina chini ya uongozi wa chama cha Fatah.Hili ni wazo ambalo Israel hawalipendelei hasa kwa vile wamekaribia mwisho kupoteza mipaka yote ya Palestina ya asili na ile ya baada ya 1967.Wanahisi ni kurudi nyuma ya mafanikio yao.
2.Kuweka eneo la usalama baina ya Gaza na Israel (buffer zone) ambalo litasimamiwa na vikosi vya UN.Hofu wanasema vikosi hivyo vitakuwa vikishambuliwa daima na wapalestina.
3.Gaza iachwe iendelee kuwepo lakini Saudi Arabia na UAE wawe ndio wasimamizi na wahakikishe itakuwa hakuna Hamas na wala fikra za kuyapa nguvu mafunzo yao kuhusu Israel
4.Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Hamas Gaza jukumu litakalofuatia ni kuelekea kaskazini ya Israel na kufanya mashambulizi Lebanon ili kuwang'oa HizbuLlah.
Hayo nimeyaokoteza kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya Anthony Blinken wa Marekani na Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel.
Pale wawili hao walipotafautina juu ya kupambana na Hamas Benjamin Netanyahu,kwa kujiamini na ukali alimtamkia Blinken kuwa yeye alichukua kiapo cha kuifuta Hamas na Palestina na hakuna wa kumzuia.
Kila hatua itakayochukuliwa katika mzozo huu ni Israel na Marekani kuzama kwenye tope na kuwaingiza kwenye mzozo mwengine utakawadhoofisha kwa namna tofauti.Mimi nitaanza kujadili vipengele viwili tu,cha 3 na 4.
Saudia na UAE wanaweza wakakataa kibarua cha kulinda maslahi ya Israel Gaza dhidi ya maslahi ya waislamu,na kama wakichukua jukumu hilo hawatoweza kuendelea kuzuia fukuto lililopo kwenye raia wa nchi hizo na kunaweza kukatikisa tawala zao na hatimae kupinduliwa kabisa.
Kupambana na Hamas kumekuwa kugumu na kurefusha vita zaidi ya miezi 2 sasa.Jukumu la kupambana na Hizbulllah watalifanya wakati Hizbullah wamekuwa na nguvu sana na wanaendesha harakati zao kwa uwazi na kushirikiana na wenzao kote kuanzia Syria,Iraq,Iran na Yemen.
Jukumu hilo la kuendeleza vita Israel itakuwa wanalifanya wakati sehemu kubwa ya watu duniani wameshaerevuka na kuwa wapinzani wa sera zake.Na mwiba mkubwa itakuwa ni kuwa dhaifu kiuchumi yeye na mwenzake Marekani baada ya kujiingiza kwenye mizozo mingi bila umuhimu wowote,
Kudhoofika kijeshi na kiuchumi kwa Israel na Marekani kutawapa nguvu wapinzani kwenye nchi zote za kiarabu ambazo hazitokuwa tena na ulinzi kutoka kwa wale waliokuwa wakiwategemea.Hatimae wapinzani wataziangusha serikali za nchi zao na kuelekea kuikomboa masjid alAqsa na kuliunda kwa uhakika wake taifa la Palestina.
Okay mkuu, sasa nimekuelewa kumbe yote haya ni kwa sababu ya UDINI, sitofuatilia tena mada zako,nauogopa UDINI kama syphilisSikusema kila taifa litakalomshinda US litakuwa taifa kubwa lakini kwa Palestina ndivyo itakavyokuwa kwa sababu ni eneo tofauti lenye muhuri wa Uislamu.
Bora umesema aiseee maana hii mada ina mizaha mingi kuliko uhalisiaWakuu tuweni serious basi aiseeee!
Huyo allah hana effect yoyote kwani si ndio yule anayepiganiwa kwa ahadi kwamba mkimfia anaenda kuwapatia mabikra 72, uume unaosimama masaa 24 kwa wiki na kwa mwaka na pombe inayotiririka kwenye mito ya ahera.Wao wanapanga hivi na Allah anapanga yake. Mara unasikia tetemeko la ardhi limewaondoa Isreal nusu milioni
Udini ni aina nyengine ya ugonjwa wa akili kwa watanzania.Okay mkuu, sasa nimekuelewa kumbe yote haya ni kwa sababu ya UDINI, sitofuatilia tena mada zako,nauogopa UDINI kama syphilis
Wewe utakuwa ni mzima kweli.Unayekataa mabikra huko peponi na kuchagua changudoa wa hapa duniani..Na kuchagua kunywa gongo na maulevi mengine yanayolewesha halafu ukaangushwa barabarani na wahuni badala ya kinywaji kizuri cha peponi ambacho wala hulewi na kuingiwa na wazimu.Huyo allah hana effect yoyote kwani si ndio yule anayepiganiwa kwa ahadi kwamba mkimfia anaenda kuwapatia mabikra 72, uume unaosimama masaa 24 kwa wiki na kwa mwaka na pombe inayotiririka kwenye mito ya ahera.
A mythical arabic god who promises 72 virgins and the erectile penis in paradise for the men who choose to die for him after allegedly slaying the infidels, perpendicular to that, the martyrs are also promised streems of wine in the same paradise...!!!
Dah!...hii kali aiseee...Mipango ya mezani ya Israel wanayoiita baada ya vita inawafurahisha mno wafuasi wa Israel na mayahudi kote duniani.Mipango hiyo kwa upande wa pili kama inawatia huzuni wapenda haki kote duniani.
Israel ikiendelea na mashauriano na mwenzake,Marekani wameweka mezani mikakati kadhaa ambayo wanaendelea kuifanyia kazi upi utakuwa ni bora zaidi kuanza nao.
1.Kupunguza upinzani wa raia wa nchi za kiarabu zinazoizunguka Israel itabidi watoe mamlaka kwa Palestina chini ya uongozi wa chama cha Fatah.Hili ni wazo ambalo Israel hawalipendelei hasa kwa vile wamekaribia mwisho kupoteza mipaka yote ya Palestina ya asili na ile ya baada ya 1967.Wanahisi ni kurudi nyuma ya mafanikio yao.
2.Kuweka eneo la usalama baina ya Gaza na Israel (buffer zone) ambalo litasimamiwa na vikosi vya UN.Hofu wanasema vikosi hivyo vitakuwa vikishambuliwa daima na wapalestina.
3.Gaza iachwe iendelee kuwepo lakini Saudi Arabia na UAE wawe ndio wasimamizi na wahakikishe itakuwa hakuna Hamas na wala fikra za kuyapa nguvu mafunzo yao kuhusu Israel
4.Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Hamas Gaza jukumu litakalofuatia ni kuelekea kaskazini ya Israel na kufanya mashambulizi Lebanon ili kuwang'oa HizbuLlah.
Hayo nimeyaokoteza kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya Anthony Blinken wa Marekani na Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel.
Pale wawili hao walipotafautina juu ya kupambana na Hamas Benjamin Netanyahu,kwa kujiamini na ukali alimtamkia Blinken kuwa yeye alichukua kiapo cha kuifuta Hamas na Palestina na hakuna wa kumzuia.
Kila hatua itakayochukuliwa katika mzozo huu ni Israel na Marekani kuzama kwenye tope na kuwaingiza kwenye mzozo mwengine utakawadhoofisha kwa namna tofauti.Mimi nitaanza kujadili vipengele viwili tu,cha 3 na 4.
Saudia na UAE wanaweza wakakataa kibarua cha kulinda maslahi ya Israel Gaza dhidi ya maslahi ya waislamu,na kama wakichukua jukumu hilo hawatoweza kuendelea kuzuia fukuto lililopo kwenye raia wa nchi hizo na kunaweza kukatikisa tawala zao na hatimae kupinduliwa kabisa.
Kupambana na Hamas kumekuwa kugumu na kurefusha vita zaidi ya miezi 2 sasa.Jukumu la kupambana na Hizbulllah watalifanya wakati Hizbullah wamekuwa na nguvu sana na wanaendesha harakati zao kwa uwazi na kushirikiana na wenzao kote kuanzia Syria,Iraq,Iran na Yemen.
Jukumu hilo la kuendeleza vita Israel itakuwa wanalifanya wakati sehemu kubwa ya watu duniani wameshaerevuka na kuwa wapinzani wa sera zake.Na mwiba mkubwa itakuwa ni kuwa dhaifu kiuchumi yeye na mwenzake Marekani baada ya kujiingiza kwenye mizozo mingi bila umuhimu wowote,
Kudhoofika kijeshi na kiuchumi kwa Israel na Marekani kutawapa nguvu wapinzani kwenye nchi zote za kiarabu ambazo hazitokuwa tena na ulinzi kutoka kwa wale waliokuwa wakiwategemea.Hatimae wapinzani wataziangusha serikali za nchi zao na kuelekea kuikomboa masjid alAqsa na kuliunda kwa uhakika wake taifa la Palestina.
Onesha hukulelewa stand,hili ndilo lililopo mezani?Huyo allah hana effect yoyote kwani si ndio yule anayepiganiwa kwa ahadi kwamba mkimfia anaenda kuwapatia mabikra 72, uume unaosimama masaa 24 kwa wiki na kwa mwaka na pombe inayotiririka kwenye mito ya ahera.
A mythical arabic god who promises 72 virgins and the erectile penis in paradise for the men who choose to die for him after allegedly slaying the infidels, perpendicular to that, the martyrs are also promised streems of wine in the same paradise...!!!
Allah ndie anaekufanya wewe kuzaliwa na kukuondoa ktk dunia hii. Kama huamini tizama babu zako washaliwa na funza.Huyo allah hana effect yoyote kwani si ndio yule anayepiganiwa kwa ahadi kwamba mkimfia anaenda kuwapatia mabikra 72, uume unaosimama masaa 24 kwa wiki na kwa mwaka na pombe inayotiririka kwenye mito ya ahera.
A mythical arabic god who promises 72 virgins and the erectile penis in paradise for the men who choose to die for him after allegedly slaying the infidels, perpendicular to that, the martyrs are also promised streems of wine in the same paradise...!!!
Mimi sio mwarabu kumsujudu huyo allah anayetaka apiganiwe eti yeye anatoa mabikra 72 kule ahera na pombe inayotiririka kwenye mito kwa yeyote anayeua kwa jina lake. Bure kabisa.Allah ndie anaekufanya wewe kuzaliwa na kukuondoa ktk dunia hii. Kama huamini tizama babu zako washaliwa na funza.
Mohammed aliwaingiza choo cha kike. Waafrika IQ ndogo sana.Wewe utakuwa ni mzima kweli.Unayekataa mabikra huko peponi na kuchagua changudoa wa hapa duniani..Na kuchagua kunywa gongo na maulevi mengine yanayolewesha halafu ukaangushwa barabarani na wahuni badala ya kinywaji kizuri cha peponi ambacho wala hulewi na kuingiwa na wazimu.
Umevuta cha Arusha au cha Tarime? Hakuna nchi ya kumtoa Israel pale mpaka nabii Issa anarudi siku ya kiamaUkiwa na akili ndogo huwa huoni mbali.
Hili ni tope Marekani na Israel wameliingia na hawawezi kutoka salama.
Mijadala yao kuhusu Gaza ni mfano hao.Ni kama wameshika kaa la moto.Wameanza Urusi hawakumaliza Hamas akawaanzishia jengine Gaza.Wangependa yaishe wapate kupumua na hakuna kuisha.Vitaifa vidogo na wanamgambo wasio na silaha za kisasa watawamaliza hadharani.
Dunia haiendeshwi kwa dua na imani mfu! Utasubiri sanaIlisaidia nini.Kuua mtu mmoja unasababisha vifo vya wamarekani mia kadhaa na kuporomosha uchumi mpaka Trump akaona isiwe tabu.
Bin Laden alikwishakufa zake zamani.Ikabidi US itengeneze sinema ili kuua sifa zake.
Kipi kimetokea baada ya kufa bin Laden kuna Yahya Sinwar na Muahmmed Deif na watakuja wengine.Kufanya dhulma kwa viumbe wa Mwenyezi Mungu ni biashara kichaa kabisa.
TAFUTA HELA MDOGO WANGUMipango ya mezani ya Israel wanayoiita baada ya vita inawafurahisha mno wafuasi wa Israel na mayahudi kote duniani.Mipango hiyo kwa upande wa pili kama inawatia huzuni wapenda haki kote duniani.
Israel ikiendelea na mashauriano na mwenzake,Marekani wameweka mezani mikakati kadhaa ambayo wanaendelea kuifanyia kazi upi utakuwa ni bora zaidi kuanza nao.
1.Kupunguza upinzani wa raia wa nchi za kiarabu zinazoizunguka Israel itabidi watoe mamlaka kwa Palestina chini ya uongozi wa chama cha Fatah.Hili ni wazo ambalo Israel hawalipendelei hasa kwa vile wamekaribia mwisho kupoteza mipaka yote ya Palestina ya asili na ile ya baada ya 1967.Wanahisi ni kurudi nyuma ya mafanikio yao.
2.Kuweka eneo la usalama baina ya Gaza na Israel (buffer zone) ambalo litasimamiwa na vikosi vya UN.Hofu wanasema vikosi hivyo vitakuwa vikishambuliwa daima na wapalestina.
3.Gaza iachwe iendelee kuwepo lakini Saudi Arabia na UAE wawe ndio wasimamizi na wahakikishe itakuwa hakuna Hamas na wala fikra za kuyapa nguvu mafunzo yao kuhusu Israel
4.Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Hamas Gaza jukumu litakalofuatia ni kuelekea kaskazini ya Israel na kufanya mashambulizi Lebanon ili kuwang'oa HizbuLlah.
Hayo nimeyaokoteza kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya Anthony Blinken wa Marekani na Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel.
Pale wawili hao walipotafautina juu ya kupambana na Hamas Benjamin Netanyahu,kwa kujiamini na ukali alimtamkia Blinken kuwa yeye alichukua kiapo cha kuifuta Hamas na Palestina na hakuna wa kumzuia.
Kila hatua itakayochukuliwa katika mzozo huu ni Israel na Marekani kuzama kwenye tope na kuwaingiza kwenye mzozo mwengine utakawadhoofisha kwa namna tofauti.Mimi nitaanza kujadili vipengele viwili tu,cha 3 na 4.
Saudia na UAE wanaweza wakakataa kibarua cha kulinda maslahi ya Israel Gaza dhidi ya maslahi ya waislamu,na kama wakichukua jukumu hilo hawatoweza kuendelea kuzuia fukuto lililopo kwenye raia wa nchi hizo na kunaweza kukatikisa tawala zao na hatimae kupinduliwa kabisa.
Kupambana na Hamas kumekuwa kugumu na kurefusha vita zaidi ya miezi 2 sasa.Jukumu la kupambana na Hizbulllah watalifanya wakati Hizbullah wamekuwa na nguvu sana na wanaendesha harakati zao kwa uwazi na kushirikiana na wenzao kote kuanzia Syria,Iraq,Iran na Yemen.
Jukumu hilo la kuendeleza vita Israel itakuwa wanalifanya wakati sehemu kubwa ya watu duniani wameshaerevuka na kuwa wapinzani wa sera zake.Na mwiba mkubwa itakuwa ni kuwa dhaifu kiuchumi yeye na mwenzake Marekani baada ya kujiingiza kwenye mizozo mingi bila umuhimu wowote,
Kudhoofika kijeshi na kiuchumi kwa Israel na Marekani kutawapa nguvu wapinzani kwenye nchi zote za kiarabu ambazo hazitokuwa tena na ulinzi kutoka kwa wale waliokuwa wakiwategemea.Hatimae wapinzani wataziangusha serikali za nchi zao na kuelekea kuikomboa masjid alAqsa na kuliunda kwa uhakika wake taifa la Palestina.
Kazi ipi mkuu???Huwa tunaomba dua na tunaingia kazini kama kule Gaza.
Hakuna msaada kwa dua tupu.Lazima iambatane na juhudi.Ukifanya hivyo daima wewe ndiye utakayekuwa mshindi.
Wajukuu wa mudi mna mawazo ya kipuuzi sana.Wao wanapanga hivi na Allah anapanga yake. Mara unasikia tetemeko la ardhi limewaondoa Isreal nusu milioni