Tufanye Check-Up Mara kwa Mara

Tufanye Check-Up Mara kwa Mara

PastorPetro

Senior Member
Joined
Feb 25, 2008
Posts
189
Reaction score
36
Wana Jamii Forum wenzangu, ninawasihii tufanye check up za afya mara kwa mara, yaani Physical Check-Up. Hapa USA tunafanya kila mwaka. Kama kuna tatitzo la afya wanaweza kuwahi kutibu kabla hali haijawa mbaya hadi kutishia maisha yako.

Nimeshituka sana kuona Rais wetu mpendwa JK, ameletwa hadi USA kufanyiwa surgery ya Prostate. Nafahamu wengi waliofanyiwa prostate surgery Tanzania na wanaendelea vizuri tu. Lazima hali ya mheshimiwa ilikuwa si nzuri. Labda kachelewa.

Kupima Prostate inabidi daktari aingize kidole huko nyuma kwenye (anus). Najua wengi hatutafurahia hiyo. Na fikiria, unamtia kidole Rais. :A S 13:

Na kwa akina dada uke lazima upimwe kuhakikisha hakuna kasoro kama kansa pia. Nao wanaigiza vyuma huko kucheki Kizazi.

Kazi ipo wenzangu! Lakini ili tuishi maisha mazuri enye afya ni bora tukapime!
 
Hapo kwenye kuingiziwa dole hapana......yaani na teknolojia zooote dunia hakuna kipimo rasmi hadi upigwe dole kamanda mzima kama mimi?
 
Kutiwa kidole ni lazima! Daktari anavaa glovu, halafu anakutia kidole. Anakuambia ukohoe!

Procedure

  • The doctor will tell you that he needs to insert a finger into your rectum in order to examine the prostate gland.
  • Usually you will be asked to stand, feet apart, facing the examination couch and bending forward so that your arms or elbows are on the couch. If you're nervous about not being able to see what's going on, this is a good time to ask the doctor to describe each step to you before it happens.
  • The doctor will put on a surgical glove and will cover a finger in lubricant.
  • The finger will be inserted in a downwards angle as if pointing to the umbilicus (belly button). You may feel a little pressure, but there shouldn't be any pain or discomfort. If it hurts, tell the doctor immediately.
  • A few seconds may elapse as the doctor waits for the external sphincter muscle to relax.
  • You may be aware of some movement of the finger before it is removed. :der:
 
Hapo kwenye kuingiziwa dole hapana......yaani na teknolojia zooote dunia hakuna kipimo rasmi hadi upigwe dole kamanda mzima kama mimi?
hehehe ngoja wenyewe waje
 
Hahaha kidole ni lazima kuingia kwenye makalio ukitaka kupima prostate, ndugu yetu tena ameshashughulikiwa fastjet marinda hana tena haha tumshaurini na lemutuz naye akapime prostate na sababu yeye marinda ameshatolewa zamani us basi atafurahi kweli doctor kumpima prostate.
 
.. PastorPetro unasema vitu vya msingi na kweli lakini dah mada hii itageuka soon kuwa baraaaaa
 
Last edited by a moderator:
We utakuwa umetoroka mirembe wewe, sio bure, unashusha hadhi ya jukwaa..
 
Wana Jamii Forum wenzangu, ninawasihii tufanye check up za afya mara kwa mara, yaani Physical Check-Up. Hapa USA tunafanya kila mwaka. Kama kuna tatitzo la afya wanaweza kuwahi kutibu kabla hali haijawa mbaya hadi kutishia maisha yako.

Nimeshituka sana kuona Rais wetu mepndwa JK, ameletwa hadi USA kufanyiwa surgery ya Prostate. Nafahamu wengi waliofanyiwa prostate surgery Tanzania na wanaendelea vizuri tu. Lazima hali ya mheshimiwa ilikuwa si nzuri. Labda kachelewa.

Kupima Prostate inabidi daktari aingize kidole huko nyuma kwenye (anus). Najua wengi hatufurahia hiyo. Na fikiria, unamtia kidole Rais. :A S 13:

Na kwa akina dada uke lazima upimwe kuhakikisha hakuna kasoro kama kansa pia. Nao wanaigiza vyuma huko kucheki Kizazi.

Kazi ipo wenzangu! Lakini ili tuishi maisha mazuri enye afya ni bora tukapime!

mtoa mada, asante kwa ushauri, ila naomba kusaidiwa mambo yafuatayo kama utayaweza.

1.kwanza ugonjwa kama huu ulio msumbua mheshimiwa rais, unasababishwa na nini?
2.Pili ni dalili gani mgonjwa anaweza kuzipata akiwa na ugonjwa huo?
3.Mwisho ungonjwa huo ni mbaya sana kiasi kwamba mtu akizembea unaweza kuleta madhala makubwa? na kama ni ndio ni madhala gani? tatizo uku bongo siasa nyingi habari za afya zetu hatuzingatii sana!!
 
mtoa mada, asante kwa ushauri, ila naomba kusaidiwa mambo yafuatayo kama utayaweza.

1.kwanza ugonjwa kama huu ulio msumbua mheshimiwa rais, unasababishwa na nini?
2.Pili ni dalili gani mgonjwa anaweza kuzipata akiwa na ugonjwa huo?
3.Mwisho ungonjwa huo ni mbaya sana kiasi kwamba mtu akizembea unaweza kuleta madhala makubwa? na kama ni ndio ni madhala gani? tatizo uku bongo siasa nyingi habari za afya zetu hatuzingatii sana!!

Asante kwa maswali, na ninafurahi kuona mnajali afya zenu.

Mwanaume yeyote anaweza kupatwa na matatizo ya Prostate, uzuri ukiwahi unaweza kutibiwa na kuendelea kuishi maisha marefu eneye afya. Ukichelewa kutibiwa unaweza kufa. Wanaume wengi wanakufa shauri ya kuzembea kupima prostate zao kwa kuona 'haya':redfaces: ya kuchekiwa.

Dalili chache za ugonjwa, mkojo unatoka kwa shida, unapata shida kusimamisha ume, mkojo kwenye damu. Hamu ya kujamiana na mpenzi wako unapungua.

Tatizo Tanzania ni kuwa hatujazoea kufanya check-up, Tunakwenda hospitalini tukiona dalili ya ugonjwa.
 
Wana Jamii Forum wenzangu, ninawasihii tufanye check up za afya mara kwa mara, yaani Physical Check-Up. Hapa USA tunafanya kila mwaka. Kama kuna tatitzo la afya wanaweza kuwahi kutibu kabla hali haijawa mbaya hadi kutishia maisha yako.

Nimeshituka sana kuona Rais wetu mepndwa JK, ameletwa hadi USA kufanyiwa surgery ya Prostate. Nafahamu wengi waliofanyiwa prostate surgery Tanzania na wanaendelea vizuri tu. Lazima hali ya mheshimiwa ilikuwa si nzuri. Labda kachelewa.

Kupima Prostate inabidi daktari aingize kidole huko nyuma kwenye (anus). Najua wengi hatufurahia hiyo. Na fikiria, unamtia kidole Rais. :A S 13:

Na kwa akina dada uke lazima upimwe kuhakikisha hakuna kasoro kama kansa pia. Nao wanaigiza vyuma huko kucheki Kizazi.

Kazi ipo wenzangu! Lakini ili tuishi maisha mazuri enye afya ni bora tukapime!

Heee....!! Hili zito la mwaka, huumwi then uende hospitali umwambie dokta akupime prostate duuh!!

Dalili za ushoga maana utapigwa finga kila mwaka teh teh teh
 
Asante kwa maswali, na ninafurahi kuona mnajali afya zenu.

Mwanaume yeyote anaweza kupatwa na matatizo ya Prostate, uzuri ukiwahi unaweza kutibiwa na kuendelea kuishi maisha marefu eneye afya. Ukichelewa kutibiwa unaweza kufa. Wanaume wengi wanakufa shauri ya kuzembea kupima prostate zao kwa kuona 'haya':redfaces: ya kuchekiwa.

Dalili chache za ugonjwa, mkojo unatoka kwa shida, unapata shida kusimamisha ume, mkojo kwenye damu. Hamu ya kujamiana na mpenzi wako unapungua.

Tatizo Tanzania ni kuwa hatujazoea kufanya check-up, Tunakwenda hospitalini tukiona dalili ya ugonjwa.

asante. ukipata elimu nyingine tujuze tu mkuu. Mungu akubariki
 
nna swali .. PastorPetro
hii kitu ina sababishwa na nini hadi inamtokea mtu, mfano kama mheshimiwa wetu huyo?
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na maelezo na ushauri mzuri wa mleta mada,hoja je ni kweli hakuna vipimo vingine zaidi ya kutiana vidole.?
 
Ukitaka kujiwa ustaarab wa jamii fulani basi fuatilia mijadala yao. Hii mada imevuka mipaka na kukosa ustaarab kabisa.

MODs, Mhariri tafadhali naomba muifute.
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kujiwa ustaarab wa jamii fulani basi fuatilia mijadala yao. Hii mada imevuka mipaka na kukosa ustaarab kabisa.

MODs, tafadhali naomba muifute.
pata elimu hiyoo
 
Back
Top Bottom