Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Ningekuona wa maana kama ungepigania hoja ya Waafrika walivyopambana na Wakoloni kupata uhuru wao. Lakini kutetea hoja za kidini kwa karne hii ya 21 it's too low.Huihui,
Muhammad Ali katika kitabu chake, "The Greatest My Own Story," anasema ulifika wakati akiwaonea huruma wapinzani wake na kutamani muamuzi amalize pambano ili mpinzani wake asiendelee kutabika.
Nyie ndio wale mara nyingine mnadhania na nyinyi ni waarabu kwa vile tu ni Waislamu. Nawashangaa sana Waafrika wenzangu. Pengine hapo ulipo unalaani kwa nini Mungu alikuumba na ngozi nyeusi ukazaliwa Tanganyika. Yawezekana unatamani ungezaliwa Yemen au Afghanistan.
Be proud you are an African hizi sentiments za kidini unajidhalilisha tu hata kama ungeandika vitabu vikajaa Maktaba ya Taifa pale barabara ya Bibi Titi Mohamed