Tufanye nini na hizi clip zinazopotosha Historia ya Tanzania?

Tufanye nini na hizi clip zinazopotosha Historia ya Tanzania?

Stux...
Mimi kawaida yangu ni kusomesha historia hii kwa kueleza niyajuayo kwa ushahidi.

Umepata kuona picha yeyote Nyerere kapiga akiwa na viongozi wa kanisa wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika?

Mimi si mtu wa kubishana.

Kwanza nakusihi tusimwingize Nyerere katika suala la dini.

Hapana haja.
Unataka kujadili kitu usichokijua.

Ila ukipenda kujua msome Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002).

Rejea zote hizi zipo katika uzi huu nimeziweka na kueleza umuhimu wa vitabu hivyo.

Nimejizuia kuweka paper yangu "Islam and Politics in Tanzania," (1989) ambayo ipo hapa ikiwa unataka kulijua somo hili.

Paper hii inatengeneza Part Three "Conspiracy Against Islam," katika kitabu changu: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika," Minerva Press London 1989.

Tanganyika haikupata kuwa na tatizo la ukabila.

Tatizo lililokuwa toka ukoloni ni kubaguliwa Waislam na wakoloni na baada ya uhuru kubaguliwa na serikali huru ya Tanganyika.

Ushahidi upo.
Soma rejea hizo utajua.

Wasomi wakubwa waliosimama kunipinga wote waliamua kukaa kimya hawakurejea baada ya kusoma rejea hizo.
Hizo ni njozi zako tu wala hazina maana, zitakufa na wewe utakapokufa. Yaani maishani elimu yako yote imekutuma kuandika vitabu vya chokochoko.

Kama maandishi yako yangekuwa na tija kama unavyoandika basi leo tungekuwa na mvutano mkubwa sana kati ya Waislamu na Wakristo. Ila watu wameona hizo ni pumba tu, labda muzisome madrassa.

Ila uzuri siku hizi hata Waislamu wameng'amua. Wanapeleka mtoto madrassa kujifunza misingi ya Uislamu, then baadaye anaingia shule za kawaida. Huko anakwenda kufundishwa elimu ya kisasa na anasafishwa indoctrination yote mliyomjaza madrassa.

Haya mambo ya kulazimisha udini ni ya hovyo sana, umechagua falsafa mbaya
 
Hizo ni njozi zako tu wala hazina maana, zitakufa na wewe utakapokufa. Yaani maishani elimu yako yote imekutuma kuandika vitabu vya chokochoko.

Kama maandishi yako yangekuwa na tija kama unavyoandika basi leo tungekuwa na mvutano mkubwa sana kati ya Waislamu na Wakristo. Ila watu wameona hizo ni pumba tu, labda muzisome madrassa.

Ila uzuri siku hizi hata Waislamu wameng'amua. Wanapeleka mtoto madrassa kujifunza misingi ya Uislamu, then baadaye anaingia shule za kawaida. Huko anakwenda kufundishwa elimu ya kisasa na anasafishwa indoctrination yote mliyomjaza madrassa.

Haya mambo ya kulazimisha udini ni ya hovyo sana, umechagua falsafa mbaya
Stux...
Huu ni ukweli si njozi.
Nitakupa ushahidi wangu kidogo siwezi kukupa wote nafasi ni ndogo hapa:

qRvJdizi4a49PW4M1zlj1kVCZS8YE_4dRL1CDRdr-Km1_VBu1fIPmBg6RlTnp-LdNF4Go9DDaYISXpJn4gXgJBzUEuMVuSysrMiMz46OS5a04pujCA-JjEpv9g9lLR1evj5spwK4HJCjfw6AZ9XketXpfgMvAfW5Co65UHkMJZL3efKy3WoOowUnoCDqOO8Xc8uo12dWpqQuk9H8497TSXh3ioLyJ4I0NPelINsPBKm1Lpcy9-mozHtM0kTc6acoRYjHK6_1RHZ_oYZxWNeqAVIgO8LbTgDRXYfvb2Vpv55KpVLo49f5dYpcXecZeUrPnYkpPOQfYODIlufGRIyhNiW-WUejADsCeGwjiYv6sT62tpamu2_YDaIqGOrRCve1I7VrrTzeQhHbAK5YfUkcEOXNSO9lrQKRrTvOphrBTjjP6ahLbWkfEgF3gh9N8iDGCqSyEOVT3J8m8y5gKdJ5JjJ-595ry4hxuDhF2aOHkBLYqKo5W0639C1heG5sOjP-i7LtO-O2l7gogn1FsSEYjriNemOlgZRkiZKdb4QXmRduYCqJC2Da9htiwNjY4pVtLF31iFPAv428BLEEnd57x8ChQJcxKspIPLi24esb_z_2Fu-Sq82pbVCg1OdBiEoWhDRttXPzWSaHnMY0cbI8TrNGAMLhvCQb6fzOgxDRKAsmOnMEEjCzVgXz7todFCc5hA7bHGUWGoTIrflrDA2PO4_BT2CE9wvjBVUUI0gJKHJDSJs3FY9rdJcVU1wVPc5VDoxJ1pVLw8As-sOptpSg9jFoDzbTMYoiPAfPWvfUGQhD1pwyo_f3ElQUJOeyjnEYdqWZEWT8820Ohg9u_TtGFMW6TDqP7TDySoEKQfwIPgX7FpcX58PuFGUG63x2-PVcQ4ypK2eYhNMrtVVh55cB0CDVT7w64_LOBXFbV5RmMuHkB7wKkgYJXneCWIz7fpQIEWM696aHlaC7E5Z4tMg=w480-h360-s-no

Darasani nasomesha Undergraduates University of Iowa Department of African History
Picha inazungumza maneno 1000.
Hii si ndoto ni ukweli.

Vitabu ninavyoandika vimeongeza elimu katika jamii:

1680552691670.png

Second Edition
Hao hapo juu ni Oxford University Press, Nairobi naamini unaijua heshima yao katika dunia ya uchapaji vitabu.

Hii si ndoto ni kweli kabisa na kitabu kinasomwa Afrika ya Mashariki shule za msingi kwa ajili ya kufundisha Historia na Kiingereza.

1680552995704.jpeg

Nilihariri kitabu hiki

1680553184130.jpeg

Picha hii nikihojiwa na TBC 1 kuhusu, "Nyerere Biography."
Nilishirikishwa katika kueleza maisha ya Mwalimu Nyerere alipofika Dar es Salaam 1952 na kupokewa na wazee wangu hadi uhuru ulipopatikana na yaliyotokea baada ya uhuru 1961
Hayo mengine ya madrasa, mvutano, udini nk. yanahitaji ufungue uzi In Shaa Allah nitakuja kuchangia.

Nakushauri kuhusu suala la udini soma rejea nilizoweka hapa katika uzi huu: Bergen (1981), Sivalon (1992), Njozi (2002) ujue ukweli.

Tusipoteze muda kwa wewe kujadili somo ambalo hulijui.
 
unapondea hawa makafir lakini kila kukicha uko vyuoni kwao unazurura na kanzu lako kukubali mialiko.
Lukubuzo,
Inaelekea una ugomvi na kanzu:

1680554809987.jpeg

Hali ya hewa baadhi ya nyakati haikuruhusu kuvaa kanzu Chicago.
NjdZuBoaaQns_Z8gjSycbGaSc-jLxKIt9BQT9vsc5vq837VkRJDn-yKyKSBAMe5g92ZIPH8RuwvnXSHKuKvvbJ7pDkeVVdN59T8pmNfPYMoYMfNp7ZfiaiG4LBlBriF6HgarNj1laiiyRLER8x-D9_aXjILg0hA-q5g4xR1klXUnd-a0SqdrKqeOHflI9ozhKp7K7fgLi6-VNCKx11HK3KL9pES6gORy0NwwjMxzFX-teapUZs2kTCY_uLnO7zKG-HSSKF5WJzwDpAW1RXclg4rEvlt9lnVgdDC7t9LzE-onlz16A94Gty0gWZgmLtnUvKtNUXIViYsaJIUJdYdrNaMRt1F5ZnA-4oG1tnvKjnCRJ4moNeTnp98MuQHflsBonX6xxlEzPeO7chTaHEJytYg3Is_j-Z7Ko0vGALFclJGdQlN3I641eYB812YRRu8KDRLJWr6XMyEIjclO-3Xxr2qe8JK__Npf2NF5_z3UBanI0VRa9FkaLtQZToLf-1OGZ0dyM_HmiPyp_cuCqaEyZClv6sGlAUVaP5WhZ1k78W_nW-thwVg-hV_uq-BEZiQnndlh4edBILvzEp4tGvUKIpvK-36xxI7HX78hNf0dTKNO4AhpBi8H2E3voB_7EjmzD87Kv_racIP-UF1FEVJ_FCZhBCHosu4ND96iRnaYmwJthtz2rA92rmTrg6kVTbzzkiSK2m4R1Xcn7YHCi98CiZC3HHFELpRJNQvQyQWe0j12o-Rhfo49Fa8FS-IC9uae7gVvyzqgibqs9mNHGCdNzF9yzJttPeF8IirAPm7LHD82Z-O0SWupgj-JPqljigkfi7plQP9Z-NJpC1DPjhcoOtMlueJlePD28FyYIHGnUZhaLH3E_rBxf1fEJrX1z9O6-jP6qKuyjTNM1VbX5FoIY6ltGEZDlBqlgd2gZtzNbKsQdcqLqWxPOjieTWDzIDwUs0agzeNmtZOBBUQJthM=w1156-h650-s-no

Makka
Nimevaa kanzu


 
339430913_1177349606291773_2984438518429968789_n.jpg

Kushoto wa kwanza: Bi. Tatu bint Mzee
Kulia wa kwanza Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Titi Mohamed na katikati Julius Nyerere wanamsindikiza uwanja wa ndege safari ya kwanza UNO 1955.​

"Mohamed Said Kwenye hii post alipotajwa na kuonyesha picha ya Bi.Tatu bint Mzee nikasema moyoni hapa tunamgusa bingwa wa historia za siasa nchini Bwana Mohammed Said punde unatuonyesha ushahidi halisi wa picha wa bibi yetu Bi.Tatu hongera sana kaka wewe ni hazina isiyoonekana au iliyojificha Tanzania, nakufuatilia sana kwenye post zako ila sasa hv uko kimya sana."
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Bi. Tatu bint Mzee alihudhuria mikutano ya matayarisho ya mikutano ya TANU iliyokuwa ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes jioni siku moja kabla ya Nyerere kuhutubia Viwanja Vya Mnazi Mmoja au baadae Jangwani.

Hapo walikuwa wakikutana viongozi wa juu wa TANU na akina mama: Bi. Tatu bint Mzee, Bi. Titi Mohamed, Bi. Hawa bint Maftah, Bi. Halima Khamis, Bi. Chiku bint Said Kisusa kwa kuwataja wachache.

Bi. Tatu bint Mzee kama Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya TANU chini ya mwenyekiti Clement Mohamed Mtamila alikuwapo katika kikao kilichojadili Nyerere kuacha kazi ya ualimu na kuwa mtumishi wa TANU.

Picha hii ya Tatu bint Mzee nilizipata kutoka kwa Jim Bailey wa gazeti la Drum.

Nilisikitishwa sana kuona historia ya TANU kugeuzwa kuwa historia ya Nyerere peke yake.

Ndipo nilipoamua kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika kusahihisha makosa haya.

+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
"Mohamed Said Tupe madini kaka mimi nakufuatilia sana unanifundisha mambo mengi ya uhuru wa nchi hii wengine tumezaliwa siku chache baada ya uhuru kwahiyo mambo mengi tumesoma na kuyasikia kaka Mohammed Said."
 

Attachments

  • 1680557110351.jpeg
    1680557110351.jpeg
    39.7 KB · Views: 5
  • 1680557290151.jpeg
    1680557290151.jpeg
    46.2 KB · Views: 4
Puna,
Limepita hilo ndugu yangu.
Clip hiyo hapo chini:


Clip ndogo hiyo ambayo ni computer generated yenye makosa mengi tu inakufanya ulipuke mzee mwenzangu hadi uanzishe thread? Au ni kwa sababu kosa mojawapo lilikuwa linahusu dini? Yaani wewe mtu mchambuzi mahiri umeshindwa kuliona hilo hadi ukalipuka hivi. Mungu wetu tuongoze sisi waja wako tukutumikie vizuri bila kuendeshwa na milipuko ya hisia na jazba.
 
339430913_1177349606291773_2984438518429968789_n.jpg

Kushoto wa kwanza: Bi. Tatu bint Mzee
Kulia wa kwanza Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Titi Mohamed na katikati Julius Nyerere wanamsindikiza uwanja wa ndege safari ya kwanza UNO 1955.​

Mohamed Said Kwenye hii post alipotajwa na kuonyesha picha ya Bi.Tatu bint Mzee nikasema moyoni hapa tunamgusa bingwa wa historia za siasa nchini Bwana Mohammed said punde unatuonyesha ushaihidi halisi wa picha wa bibi yetu Bi.Tatu hongera sana kaka wewe ni hazina isiyoonekana au iliyojificha Tanzania, nakufuatilia sana kwenye post zako ila sasa hv uko kimya sana.
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Bi. Tatu bint Mzee alihudhuria mikutano ya matayarisho ya mikutano ya TANU iliyokuwa ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes jioni siku moja kabla ya Nyerere kuhutubia Viwanja Vya Mnazi Mmoja au baadae Jangwani.

Hapo walikuwa wakikutana viongozi wa juu wa TANU na akina mama: Bi. Tatu bint Mzee, Bi. Titi Mohamed, Bi. Hawa bint Maftah, Bi. Halima Khamis, Bi. Chiku bint Said Kisusa kwa kuwataja wachache.

Bi. Tatu bint Mzee kama Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya TANU chini ya mwenyekiti Clement Mohamed Mtamila alikuwapo katika kikao kilichojadili Nyerere kuacha kazi ya ualimu na kuwa mtumishi wa TANU.

Picha hii ya Tatu bint Mzee nilizipata kutoka kwa Jim Bailey wa gazeti la Drum.

Nilisikitishwa sana kuona historia ya TANU kugeuzwa kuwa historia ya Nyerere peke yake.

Ndipo nilipoamua kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika kusahihisha makosa haya.

+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Mohamed Said Tupe madini kaka mimi nakufuatilia sana unanifundisha mambo mengi ya uhuru wa nchi hii wengine tumezaliwa siku chache baada ya uhuru kwahiyo mambo mengi tumesoma na kuyasikia kaka Mohammed Said.
Hiyo Clip iliyokutia Jazba haina uhusiano kabisa na haya uliyoandika hapa, ambayo ni propaganda za kididni tu.
 
Clip ndogo hiyo ambayo ni computer generated yenye makosa mengi tu inakufanya ulipuke mzee mwenzangu hadi uanzishe thread? Au ni kwa sababu kosa mojawapo lilikuwa linahusu dini? Yaani wewe mtu mchambuzi mahiri umeshindwa kuliona hilo hadi ukalipuka hivi. Mungu wetu tuongoze sisi waja wako tukutumikie vizuri bila kuendeshwa na milipuko ya hisia na jazba.
Kichuguu,
Sidhani kama kuna mlipuko katika uchangiaji wangu.

Kama wewe unaona kuna matusi na lugha kali katika maneno yangu hebu nionyeshe hapa.

Lakini mbona wenye milipuko wananishambulia kila uchao na wewe umekuwa kimya?
 
Hiyo Clip iliyokutia Jazba haina uhusiano kabisa na haya uliyoandika hapa, ambayo ni propaganda za kididni tu.
Kichuguu,
Kama ni propaganda au chochote kingine ni wajib kujibiwa.

Nadhani hakuna ubaya kufanya hivi.
 
Hiyo Clip iliyokutia Jazba haina uhusiano kabisa na haya uliyoandika hapa, ambayo ni propaganda za kididni tu.
Huyu mzee ana uraibu wa dini, na uraibu huu ni mbaya kuliko hata madawa ya kulevya. Mohamed Said ni religious fanatic. Huyu akiambiwa vaa mabomu kajilipue kwenye kadamnasi, atavaa tu
 
Stux...
Huu ni ukweli si njozi.
Nitakupa ushahidi wangu kidogo siwezi kukupa wote nafasi ni ndogo hapa:

qRvJdizi4a49PW4M1zlj1kVCZS8YE_4dRL1CDRdr-Km1_VBu1fIPmBg6RlTnp-LdNF4Go9DDaYISXpJn4gXgJBzUEuMVuSysrMiMz46OS5a04pujCA-JjEpv9g9lLR1evj5spwK4HJCjfw6AZ9XketXpfgMvAfW5Co65UHkMJZL3efKy3WoOowUnoCDqOO8Xc8uo12dWpqQuk9H8497TSXh3ioLyJ4I0NPelINsPBKm1Lpcy9-mozHtM0kTc6acoRYjHK6_1RHZ_oYZxWNeqAVIgO8LbTgDRXYfvb2Vpv55KpVLo49f5dYpcXecZeUrPnYkpPOQfYODIlufGRIyhNiW-WUejADsCeGwjiYv6sT62tpamu2_YDaIqGOrRCve1I7VrrTzeQhHbAK5YfUkcEOXNSO9lrQKRrTvOphrBTjjP6ahLbWkfEgF3gh9N8iDGCqSyEOVT3J8m8y5gKdJ5JjJ-595ry4hxuDhF2aOHkBLYqKo5W0639C1heG5sOjP-i7LtO-O2l7gogn1FsSEYjriNemOlgZRkiZKdb4QXmRduYCqJC2Da9htiwNjY4pVtLF31iFPAv428BLEEnd57x8ChQJcxKspIPLi24esb_z_2Fu-Sq82pbVCg1OdBiEoWhDRttXPzWSaHnMY0cbI8TrNGAMLhvCQb6fzOgxDRKAsmOnMEEjCzVgXz7todFCc5hA7bHGUWGoTIrflrDA2PO4_BT2CE9wvjBVUUI0gJKHJDSJs3FY9rdJcVU1wVPc5VDoxJ1pVLw8As-sOptpSg9jFoDzbTMYoiPAfPWvfUGQhD1pwyo_f3ElQUJOeyjnEYdqWZEWT8820Ohg9u_TtGFMW6TDqP7TDySoEKQfwIPgX7FpcX58PuFGUG63x2-PVcQ4ypK2eYhNMrtVVh55cB0CDVT7w64_LOBXFbV5RmMuHkB7wKkgYJXneCWIz7fpQIEWM696aHlaC7E5Z4tMg=w480-h360-s-no

Darasani nasomesha Undergraduates University of Iowa Department of African History
Picha inazungumza maneno 1000.
Hii si ndoto ni ukweli.

Vitabu ninavyoandika vimeongeza elimu katika jamii:

View attachment 2575608
Second Edition
Hao hapo juu ni Oxford University Press, Nairobi naamini unaijua heshima yao katika dunia ya uchapaji vitabu.

Hii si ndoto ni kweli kabisa na kitabu kinasomwa Afrika ya Mashariki shule za msingi kwa ajili ya kufundisha Historia na Kiingereza.

View attachment 2575610
Nilihariri kitabu hiki

View attachment 2575613
Picha hii nikihojiwa na TBC 1 kuhusu, "Nyerere Biography."
Nilishirikishwa katika kueleza maisha ya Mwalimu Nyerere alipofika Dar es Salaam 1952 na kupokewa na wazee wangu hadi uhuru ulipopatikana na yaliyotokea baada ya uhuru 1961
Hayo mengine ya madrasa, mvutano, udini nk. yanahitaji ufungue uzi In Shaa Allah nitakuja kuchangia.

Nakushauri kuhusu suala la udini soma rejea nilizoweka hapa katika uzi huu: Bergen (1981), Sivalon (1992), Njozi (2002) ujue ukweli.

Tusipoteze muda kwa wewe kujadili somo ambalo hulijui.
Sema tu hivyo vyuo vimeamua tu kukupa hela kama wanavyotoa kwenye charities zingine. Sidhani kusema eti unafundisha African History ni kitu cha ajabu sana kwa wazungu. Hukwe Zawose (RIP) wazungu walimpa mpaka PhD kwa kupiga ngoma tu wakati elimu yake kutoea Tanzania ilikuwa chini ya Sekondari.

Unachokosea ni kuonyesha kuwa Uislamu ndiyo uliosababisha tukapata uhuru. This is nonsense, kadanganye wenzio kwenye mihadhara
 
Huyu mzee ana uraibu wa dini, na uraibu huu ni mbaya kuliko hata madawa ya kulevya. Mohamed Said ni religious fanatic. Huyu akiambiwa vaa mabomu kajilipue kwenye kadamnasi, atavaa tu
Stux...
Mimi unasema nimekuwa fanatic na naweza kuua watu na mabomu niliyojibebesha.

Kitu gani kinakufanya wewe useme maneno haya?

Unategemea watu wataamini maneno yako?

Hapa nimeshiriki kwa miaka sasa 11 naeleza historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika.

Historia ambayo wazee wangu walikuwa mstari wa mbele kuupigania uhuru huo.

Nimeweka hapa picha zao na historia zao.

Mara moja moja anatokea msomaji kuniuliza mbona historia hii hatukupata kufundishwa si shule ya msingi, sekondari wala Chuo Kikuu?

Lakini mara nyingi historia hii imewaghadhibisha wasomaji wengine.

Sababu ya ghadhabu hizi ni kuona historia yote ya ukombozi wa Tanganyika kwa kiasi kikubwa sana imetawaliwa na Waislam.

Hili haliwapendezi.
Hawaitaki historia hii.

Wanatamani kama nisingeiandika.

Ukweli ni kuwa kama nisingeiandika historia hii nchi yetu ingekuwa haina historia ya kupigania uhuru wake kutoka kwa Waingereza.

Kama nisingeandika historia hii nchi yetu ingekuwa haina historia ya kweli ya Baba wa Taifa.

Waislam wamenipa tuzo mara mbili kwa kazi hii.

Halikadhalika JF wameniadhimisha mara mbili mfululizo kwa uandishi wangu.

Yapo mengi siwezi kueleza yote.

Stux...
Wewe ulichokiona kwangu ni kuwa mimi ni gaidi.

Swali langu kwako ni hili.

Wale waliofuta historia ya uhuru wa Tanganyika na kupachika historia yao ya uongo unawaonaje?

Ushawatafutia jina?

Huna lolote la kusema kuhusu watu hawa?

Huna lolote la kusema kuhusu Waislam kuzuiwa kujenga taasisi za elimu?

Nimeeleza hapa jinsi EAMWS ilivyohujumiwa na kupigwa marufuku mwaka wa 1968 kwa kuwa ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.

Nimeeleza hapa jinsi serikali ilivyozuia OIC isijenge Chuo Kikuu Tanzania katika miaka ya 1970 na chuo hicho kikajengwa Mbale, Uganda.

Nimeeleza hapa vipi Darul Imaan ya Saudi Arabia ilivyohujumiwa isijenge Chuo Cha Ufundi Kibaha mwaks 1997.

Yapo mengi ya hujuma tunatendewa.

Mbona umekuwa kimya kwa dhulma hii iliyoelekezwa kwa watu wa imani moja katika jamii?

Mohamed Said hayuko hapa kufanya utani.

Niko hapa kwa sura, sauti na kwa jina langu halisi.

Sijajificha.

Niko hapa kwa mapenzi ya nchi yangu na mapenzi ya wazee wangu waliojitolea kwa hali na mali kupigania uhuru wa Tanganyika kuweka haki na usawa kwa wote.
 
Sema tu hivyo vyuo vimeamua tu kukupa hela kama wanavyotoa kwenye charities zingine. Sidhani kusema eti unafundisha African History ni kitu cha ajabu sana kwa wazungu. Hukwe Zawose (RIP) wazungu walimpa mpaka PhD kwa kupiga ngoma tu wakati elimu yake kutoea Tanzania ilikuwa chini ya Sekondari.

Unachokosea ni kuonyesha kuwa Uislamu ndiyo uliosababisha tukapata uhuru. This is nonsense, kadanganye wenzio kwenye mihadhara
Huihui,
Mbona umeghadhibika kufikia kutukana?

Unaweza ukaeleza kuwa si kweli kuwa Waislam walipigania uhuru nk. nk.

Wasomaji wataelewa.
Lugha za matusi za nini?

Sababu ya kitabu cha Abdul Sykes kugusa hisia za Vyuo Vikuu Marekani, Ulaya na hapa Afrika ni anuani ya kitabu, "....Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika."

Historia ya Wakikuyu kama kabila kunyanyua silaha chini ya Mau Mau dhidi ya Waingereza wakiongozwa na Dedan Kimathi ni mashuhuri inafahamika.

Historia hii inasomeshwa kama, "Peasant Uprising," katika Afrika pamoja na historia ya Zapata wa Mexico, Latin America.

Lakini historia ya Waislam Tanganyika kupambana na ukoloni wa Waingereza historia hii haikuwa inafahamika.

Hili lilikuwa somo jipya.

Kitu kingine kilichowavutia ni hili jina la "Abdulwahid Kleist Sykes."

Mbona majina haya la kwanza jina la Kiarabu yanayofuatia majina ya Kijerumani?

Kitu kingine kilichowavutia ni jina la Julius Nyerere.

Mwalimu Nyerere ni kiongozi mkubwa duniani na ikifahamika kuwa ndiye aliyeongoza harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.

Huyu Abdul Sykes na Waislam wanaingia vipi katika historia hii?

Wataalamu wa African History wakaingia kazini.

Haraka wakatambua kuwa kwa miaka zaidi ya 50 walikuwa wakisomesha historia ya utaifa wa Tanganyika na historia ya Julius Nyerere iliyokuwa na upungufu mkubwa sana.

Wakatambua kuwa mikononi mwao katika kitabu cha Abdul Sykes wameshika kitu kinachoitwa, "Corrective History," kitabu kinachosahihisha historia kilichoandikwa kwa mtindo wa "Biographical Approach."

Mwandishi anaisahihisha historia ya uhuru wa Tanganyika kupitia maisha ya kwanza Kleist Sykes (1894 - 1949) na kupitia mwanae Abdul Sykes (1924 - 1968).

Kitabu kikafanyiwa "book review" na John Iliffe, Jonathon Glassman na James Brennan na kuchapwa katika Cambridge Journal of African History.

Jonathon Glassman akanilika chuoni kwake Northwestern University kuzungumza.

Chuo hiki kinaongoza duniani katika African History.

Kilichofuatia nikatiwa katika kundi la waandishi wapatao 500 kutoka sehemu mbalimbali za dunia kuandika Dictionary of African Biography (DAB) mradi wa Harvard na Oxford University Press, New York.

Nikapewa kazi ya kuandika historia ya Kleist Sykes.

Yapo mengi lakini naamini haya yanatosha kukitambulisha kitabu hiki kwako.
 
Stux...
Mimi unasema nimekuwa fanatic na naweza kuua watu na mabomu niliyojibebesha.

Kitu gani kinakufanya wewe useme maneno haya?

Unategemea watu wataamini maneno yako?

Hapa nimeshiriki kwa miaka sasa 11 naeleza historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika.

Historia ambayo wazee wangu walikuwa mstari wa mbele kuupigania uhuru huo.

Nimeweka hapa picha zao na historia zao.

Mara moja moja anatokea msomaji kuniuliza mbona historia hii hatukupata kufundishwa si shule ya msingi, sekondari wala Chuo Kikuu?

Lakini mara nyingi historia hii imewaghadhibisha wasomaji wengine.

Sababu ya ghadhabu hizi ni kuona historia yote ya ukombozi wa Tanganyika kwa kiasi kikubwa sana imetawaliwa na Waislam.

Hili haliwapendezi.
Hawaitaki historia hii.

Wanatamani kama nisingeiandika.

Ukweli ni kuwa kama nisingeiandika historia hii nchi yetu ingekuwa haina historia ya kupigania uhuru wake kutoka kwa Waingereza.

Kama nisingeandika historia hii nchi yetu ingekuwa haina historia ya kweli ya Baba wa Taifa.

Waislam wamenipa tuzo mara mbili kwa kazi hii.

Halikadhalika JF wameniadhimisha mara mbili mfululizo kwa uandishi wangu.

Yapo mengi siwezi kueleza yote.

Stux...
Wewe ulichokiona kwangu ni kuwa mimi ni gaidi.

Swali langu kwako ni hili.

Wale waliofuta historia ya uhuru wa Tanganyika na kupachika historia yao ya uongo unawaonaje?

Ushawatafutia jina?

Huna lolote la kusema kuhusu watu hawa?

Huna lolote la kusema kuhusu Waislam kuzuiwa kujenga taasisi za elimu?

Nimeeleza hapa jinsi EAMWS ilivyohujumiwa na kupigwa marufuku mwaka wa 1968 kwa kuwa ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.

Nimeeleza hapa jinsi serikali ilivyozuia OIC isijenge Chuo Kikuu Tanzania katika miaka ya 1970 na chuo hicho kikajengwa Mbale, Uganda.

Nimeeleza hapa vipi Darul Imaan ya Saudi Arabia ilivyohujumiwa isijenge Chuo Cha Ufundi Kibaha mwaks 1997.

Yapo mengi ya hujuma tunatendewa.

Mbona umekuwa kimya kwa dhulma hii iliyoelekezwa kwa watu wa imani moja katika jamii?

Mohamed Said hayuko hapa kufanya utani.

Niko hapa kwa sura, sauti na kwa jina langu halisi.

Sijajificha.

Niko hapa kwa mapenzi ya nchi yangu na mapenzi ya wazee wangu waliojitolea kwa hali na mali kupigania uhuru wa Tanganyika kuweka haki na usawa kwa wote.
Benjamin Mkapa kwenye miaka ya 2000 alitoa majengo na miundombinu ya iliyokuwa Chuo cha TANESCO pale Morogoro ili yatumike kwa kinachoitwa "Muslim University". Je toka kimeanza mpaka leo unadhani kina nafasi ya ushindani kwenye academic world? Je Mzazi wa Kiisalmu mwenye mwanaye amepata Division 1, ataanza kumshawishi mwanaye akasome wapi kati ya Muslim University na UDSM au SUA?

Unalilia kuwa wazazi wako hawakutajwa kwenye historia ya uhuru wa Tanganyika!! This is absurd and totally nonsensical. Hsitory takes big picture only not those trivials. Any way kama Waislamu wamekupa tuzo kwa kuandika pumba its well and good kwa sababu hizo ndiyo wanapenda kusikiliza.

Nimetembea Senegal yenye Waislamu zaidi ya 95%, wala sikukuta Waislamu wenye roho za kulalamika kama wewe. Rais wa kwanza wa Senegal Leopold Sedar Senghor ni Mkristu na alitawala kwa muda mrefu kuanzia 1960 hadi 1980, na Waislamu walimpokea na kushirikiana naye. Senegal ni nchi ya mfano ya Waislamu ambao hawana itikadi ya ki mujahedeen. Wanaswali vizuri bila kelele kwenye minarets zao, hawana shida na minorities Wakristu na nguruwe zao na wala huwezi kuuwakuta vijana wao kwenye operesheni za Al Shabab au Bokoharam.

Ila I swear to you kuwa endelea kuandika hizo propaganda zako lakini haziwezi kubadili History tuliosomeshwa na Wizara ya Elimu ya Tanzania. Hizo za kwako zitabakia story tu kama zaEric Shigongo au vikatuni vya SANI
 
Huihui,
Mbona umeghadhibika kufikia kutukana?

Unaweza ukaeleza kuwa si kweli kuwa Waislam walipigania uhuru nk. nk.

Wasomaji wataelewa.
Lugha za matusi za nini?

Sababu ya kitabu cha Abdul Sykes kugusa hisia za Vyuo Vikuu Marekani, Ulaya na hapa Afrika ni anuani ya kitabu, "....Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika."

Historia ya Wakikuyu kama kabila kunyanyua silaha chini ya Mau Mau dhidi ya Waingereza wakiongozwa na Dedan Kimathi ni mashuhuri inafahamika.

Historia hii inasomeshwa kama, "Peasant Uprising," katika Afrika pamoja na historia ya Zapata wa Mexico, Latin America.

Lakini historia ya Waislam Tanganyika kupambana na ukoloni wa Waingereza historia hii haikuwa inafahamika.

Hili lilikuwa somo jipya.

Kitu kingine kilichowavutia ni hili jina la "Abdulwahid Kleist Sykes."

Mbona majina haya la kwanza jina la Kiarabu yanayofuatia majina ya Kijerumani?

Kitu kingine kilichowavutia ni jina la Julius Nyerere.

Mwalimu Nyerere ni kiongozi mkubwa duniani na ikifahamika kuwa ndiye aliyeongoza harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.

Huyu Abdul Sykes na Waislam wanaingia vipi katika historia hii?

Wataalamu wa African History wakaingia kazini.

Haraka wakatambua kuwa kwa miaka zaidi ya 50 walikuwa wakisomesha historia ya utaifa wa Tanganyika na historia ya Julius Nyerere iliyokuwa na upungufu mkubwa sana.

Wakatambua kuwa mikononi mwao katika kitabu cha Abdul Sykes wameshika kitu kinachoitwa, "Corrective History," kitabu kinachosahihisha historia kilichoandikwa kwa mtindo wa "Biographical Approach."

Mwandishi anaisahihisha historia ya uhuru wa Tanganyika kupitia maisha ya kwanza Kleist Sykes (1894 - 1949) na kupitia mwanae Abdul Sykes (1924 - 1968).

Kitabu kikafanyiwa "book review" na John Iliffe, Jonathon Glassman na James Brennan na kuchapwa katika Cambridge Journal of African History.

Jonathon Glassman akanilika chuoni kwake Northwestern University kuzungumza.

Chuo hiki kinaongoza duniani katika African History.

Kilichofuatia nikatiwa katika kundi la waandishi wapatao 500 kutoka sehemu mbalimbali za dunia kuandika Dictionary of African Biography (DAB) mradi wa Harvard na Oxford University Press, New York.

Nikapewa kazi ya kuandika historia ya Kleist Sykes.

Yapo mengi lakini naamini haya yanatosha kukitambulisha kitabu hiki kwako.
Hakuna nilipotumia matusi ila mimekuona wewe ni mbaguzi sana. Sasa na wapagani nao waliopigana kuleta uhuru wa Tanganyika nao wakaandike kitabu chao? vipi kuhusu Mabaniani? tusimame kwenye reli tubakie na historia rasmi, hizi zingine ni ubinafsi na uwongo mtupu
 
Benjamin Mkapa kwenye miaka ya 2000 alitoa majengo na miundombinu ya iliyokuwa Chuo cha TANESCO pale Morogoro ili yatumike kwa kinachoitwa "Muslim University". Je toka kimeanza mpaka leo unadhani kina nafasi ya ushindani kwenye academic world? Je Mzazi wa Kiisalmu mwenye mwanaye amepata Division 1, ataanza kumshawishi mwanaye akasome wapi kati ya Muslim University na UDSM au SUA?

Unalilia kuwa wazazi wako hawakutajwa kwenye historia ya uhuru wa Tanganyika!! This is absurd and totally nonsensical. Hsitory takes big picture only not those trivials. Any way kama Waislamu wamekupa tuzo kwa kuandika pumba its well and good kwa sababu hizo ndiyo wanapenda kusikiliza.

Nimetembea Senegal yenye Waislamu zaidi ya 95%, wala sikukuta Waislamu wenye roho za kulalamika kama wewe. Rais wa kwanza wa Senegal Leopold Sedar Senghor ni Mkristu na alitawala kwa muda mrefu kuanzia 1960 hadi 1980, na Waislamu walimpokea na kushirikiana naye. Senegal ni nchi ya mfano ya Waislamu ambao hawana itikadi ya ki mujahedeen. Wanaswali vizuri bila kelele kwenye minarets zao, hawana shida na minorities Wakristu na nguruwe zao na wala huwezi kuuwakuta vijana wao kwenye operesheni za Al Shabab au Bokoharam.

Ila I swear to you kuwa endelea kuandika hizo propaganda zako lakini haziwezi kubadili History tuliosomeshwa na Wizara ya Elimu ya Tanzania. Hizo za kwako zitabakia story tu kama zaEric Shigongo au vikatuni vya SANI
Stux...
Unaandika umeghadhibika sana.

Lakini nitakueleza machache.

Kama mimi ni mwandishi wa pumba ni wazi kuwa Cambridge Journal of African History ni wapenzi wa pumba.

Usiniseme mimi peke yangu waseme na Northwestern University halikadhalika.

MUM ni wazi haiwezi kushindana na SAUT.

Umesema kweli.
Itaanzia wapi?

Leopold Sedar hakula njama ya kuuhujumu Uislam.

Hakuwadhulumu watu wake.
Dhulma siku zote huangamiza.

Eric Shigogo nashukuru kwa kunifananisha na mtunzi huyu hodari.

Lakini ingekuwa sawa kama ungeniunganisha na James Clavell au Irving Wallace kwani mimi ni wa enzi hizo za kale.

Kuhusu mtaala wa historia kubadilika.

Hilo ni jambo la muda tu kwani uongo siku zote ni wenye kupotea mbele ya ukweli.

Jukwaa la Historia la JF ni darsa kubwa na wamenipa tuzo.

Usiniambie kuwa JF nao wanapenda kubwia pumba.

Nimesomesha wengi hapa.

Mwisho.

Nakuelewa vizuri sana ukiandika Kiswahili bila kuchanganya na Kiingereza.

English Language Cambridge Examination English Oral: Merit Pass.
 
Hakuna nilipotumia matusi ila mimekuona wewe ni mbaguzi sana. Sasa na wapagani nao waliopigana kuleta uhuru wa Tanganyika nao wakaandike kitabu chao? vipi kuhusu Mabaniani? tusimame kwenye reli tubakie na historia rasmi, hizi zingine ni ubinafsi na uwongo mtupu
Huihui,
Umezungumza kuhusu ubaguzi.

Somo zuri na tunaweza kujadili lakini kwanza usome rejea hizi: Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002).

Bila ya wewe kusoma rejea hizo huwezi kufanya mjadala wa maana.

Nimeandika historia ya uhuru wa Tanganyika kuanzia 1929 sijakutana na Wapagani.

Angalia waasisi wa AA: Cecil Matola, Kleist Sykes, Mzee bin Sudi, Suleiman Majisu, Ali Said Mpima, Zibe Kidasi, Ibrahim Hamisi, Raikes Kusi na Rawson Watts.

Hakuna Mpagani.

1950 wajumbe wa TAA Political Subcommittee: Dr. Vedasto Kyaruzi, Abdul Sykes, Hamza Mwapachu, Mufti Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, John Rupia na Steven Mhando.

Waasisi wa TANU 1954 hao hapo chini:

1680601555391.jpeg

Hakuna Wapagani.

Waliohudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Ukumbi wa Arnautoglo hao hapo chini:

Julius Nyerere, Abdulwahid na Ally Sykes, Dossa Aziz, John Rupia, Mshume Kiyate, Makisi Mbwana, Jumbe Tambaza, Juma Waziri, Clement Mtamila, Rajabu Diwani, Schneider Abdillah Plantan, Marsha Bilali, Rashid Ally Meli, Frederick Njiliwa, Iddi Faiz Mafongo, Iddi Tulio, na Denis Phombeah.

Hakuna Wapagani wala Baniani.

Ikiwa hawakuwapo wataandika kitabu gani?

Waliokuwapo hao hapo chini na historia yao ndiyo hii tunajadili hapa:

1680601686497.jpeg

Baraza la Wazee wa TANU Mwenyekiti Sheikh Suleiman Takadiri​

Kuna Wapagani hapo?

Ati historia yangu ni ya uongo.
Kitabu kimechapwa mara nne tunakwenda toleo la tano.

Historia za uongo vitabu vyake vyote vimekufa.
Kitabu changu sasa kina umri wa miaka 25 na bado hadi leo tunakijadili.

1680602082607.jpeg
 
Huihui,
Umezungumza kuhusu ubaguzi.

Somo zuri na tunaweza kujadili lakini kwanza usome rejea hizi: Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002).

Bila ya wewe kusoma rejea hizo huwezi kufanya mjadala wa maana.

Nimeandika historia ya uhuru wa Tanganyika kuanzia 1929 sijakutana na Wapagani.

Angalia waasisi wa AA: Cecil Matola, Kleist Sykes, Mzee bin Sudi, Suleiman Majisu, Ali Said Mpima, Zibe Kidasi, Ibrahim Hamisi, Raikes Kusi na Rawson Watts.

Hakuna Mpagani.

1950 wajumbe wa TAA Political Subcommittee: Dr. Vedasto Kyaruzi, Abdul Sykes, Hamza Mwapachu, Mufti Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, John Rupia na Steven Mhando.

Waasisi wa TANU 1954 hao hapo chini:


Hakuna Wapagani.

Waliohudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Ukumbi wa Arnautoglo hao hapo chini:

Julius Nyerere, Abdulwahid na Ally Sykes, Dossa Aziz, John Rupia, Mshume Kiyate, Makisi Mbwana, Jumbe Tambaza, Juma Waziri, Clement Mtamila, Rajabu Diwani, Schneider Abdillah Plantan, Marsha Bilali, Rashid Ally Meli, Frederick Njiliwa, Iddi Faiz Mafongo, Iddi Tulio, na Denis Phombeah.

Hakuna Wapagani wala Baniani.
Ikiwa hawakupo wataandika kitabu gani?

Waliokuwapo hao hapo chini na historia yao ndiyo hii tunajadili hapa:

View attachment 2576060
Baraza la Wazee wa TANU Mwenyekiti Sheikh Suleiman Takadiri​

Kuna Wapagani hapo?

Ati historia yangu ni ya uongo.
Kitabu kimechapwa mara nne tunakwenda toleo la tano.

Historia za uongo vitabu vyake vyote vimekufa.
Kitabu changu sasa kina umri wa miaka 25 na bado hadi leo tunakijadili.

Kani unatambua dini ya mtu kwa kuangalia jina? huko bara watu walikuwa wanaita majina yeyote tu na wala hawakuwa wafuasi wa dini hizo.
 
Kani unatambua dini ya mtu kwa kuangalia jina? huko bara watu walikuwa wanaita majina yeyote tu na wala hawakuwa wafuasi wa dini hizo.
Huihui,
Muhammad Ali katika kitabu chake, "The Greatest My Own Story," anasema ulifika wakati akiwaonea huruma wapinzani wake na kutamani muamuzi amalize pambano ili mpinzani wake asiendelee kutabika.
 
Back
Top Bottom