Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #21
Bufa,Unaangalia kila kitu kwa miwani ya dini inakua ngumu kuKuchukulia seriously.
Kiarabu ni official language TZ? Kama ni official language Znz, kwanini hujalalamika huyo mtu kusema ni official language hadi TZ mainland?
Hapana,Haahaaa hao ni wajukuu. Wamezaliwa kuanzia 2005 hao. Ndiyo wamejaa humu
Bwana Mohamed Said, natamani kukutunukia shahada maalum juu ya utetezi wa Imani yako na waumini wenzako. Upo vizuri one day yesKuna clip inazunguka mitandaoni ikieleza mengi kuhusu Tanganyika.
Kubwa linaloshtua watu wengi ni kusema imani kuu nchini ni Ukristo.
Nimeandika makala hiyo hapo chini kutanabaisha kuhusu historia ya Tanganyika nikijaribu kueleza imekuwaje tumefikia hali hii:
MEETING OF THE MINDS
Alikuwa Dr James Kwegyir Aggrey, Mwafrika kutoka Ghana ndiye mtu aliyemtia Kleist hamu ya kuingia katika siasa. Dr Aggrey alikuja Tanganyika mwaka 1924.
Dr Aggrey alikuwa katika Phelps-Stokes Commissions iliyokuwa imeundwa kuchunguza elimu ya Waafrika.
Ilikuwa katika kipindi hiki akiwa ndani ya kamisheni hii ndipo alipokuja Tanganyika. Dr Aggrey alikataliwa kupanga New Africa Hotel kwa kuwa alikuwa mtu mweusi.
Ikabidi Gavana Donald Cameron amtafutie chumba Government House ajisitiri kwa malazi.
Wakati huu alipokuwa Dar es Salaam ndipo Dr Agrrey alipokutana na Kleist.
Dr Aggrey alimtunukia Kleist moja ya vitabu vyake na akakitia sahihi yake.
Hakuna hata mtoto mmoja wa Kleist ambae anakumbuka jina la kitabu hiki.
Kleist alikithamini kitabu hiki na kilipamba shubaka lake la vitabu kwa miaka mingi.
Mwaka wa 1929 Kleist na baadhi ya rafiki zake wa karibu kama Mzee bin Sudi, ambaye wazazi wake walikuwa Wamanyema kutoka Belgian Congo, Ibrahim Hamis - Mnubi ambaye baba yake alitoka Daffur nchini Sudan, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima - Mzaramo, Suleiman Majisu, Raikes Kusi, Rawson Watts na Cecil Matola - Myao kutoka Masasi walianzisha African Association, Matola akiwa President na Kleist Secretary.
Historia ya uhuru wa Tanganyika iligeuzwa ikawa historia ya Julius Kambarage Nyerere.
Historia ya TANU ikawa historia ya mtu mmoja.
Hili lilifanikiwa kwa kuwa tulikaa kimya lau kama walikuwapo wazalendo wenyewe walioupigania uhuru kwa hali na mali zao.
Sasa tueleze harakati za uhuru wapi zilianzia.
Tunaweka picha ya Dictionary of African Biography (DAB).
Kinawekwa kipande kifupi kinachomweleza Dr. Kwegyir Aggrey (1875 - 1927) kisha ndani ya Kamusi hilo hilo tunatoa na kumwekea mtazamaji wa clip yetu kipande kifupi cha Kleist Abdallah Sykes (1894 - 1949).
Wazalendo hawa waliotajwa ndani ya Kamusi hilo tunaeleza hawamo katika historia rasmi ya Tanganyika.
Mazungumzo kati ya Waafrika hawa wawili Dar-es-Salaam mwaka wa 1924 ndiyo yalisababisha Kleist kuunda African Association mwaka wa 1929 kisha kuunda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) mwaka wa 1933.
Vyama vyote hivi viwili vilitawaliwa na Waislam.
Watafute wazalendo hawa katika historia ya Tanganyika hutowakuta popote.
Jambo la kusikitisha ni kuwa watu waliamini kuwa ile historia iliyokuwa ikisomeshwa ndiyo historia ya kweli.
Kleist Abdallah Sykes
Dr. Kwegyir Aggrey
Dictionary of African Biography
(DAB)
Picha ya juu ni Kleist Abdallah Sykes, inayofuata ni Dr. Kwegyir Aggrey na chini ni Dictionary of African Biography.
Ninaposomesha historia ya utaifa wa Tanganyika huanza kwa kuwapa wanafunzi wangu rejea katika Dictionary of African Biography (DAB) niwaambia wamsome Dr. Aggrey wakimaliza wamsome Kleist Sykes.
Kipande hiki nimekipa jina: ''Meeting of the Minds.''
Big...Bwana Mohamed Said, natamani kukutunukia shahada maalum juu ya utetezi wa Imani yako na waumini wenzako. Upo vizuri one day yes
Kleist hatokei sana kwenye historia ya Tanganyika kwa sababu hakuwa Mzawa wa hapa Tanganyika. Huyu alikuwa Mzulu wa Afrika ya Kusini.Kuna clip inazunguka mitandaoni ikieleza mengi kuhusu Tanganyika.
Kubwa linaloshtua watu wengi ni kusema imani kuu nchini ni Ukristo.
Nimeandika makala hiyo hapo chini kutanabaisha kuhusu historia ya Tanganyika nikijaribu kueleza imekuwaje tumefikia hali hii:
MEETING OF THE MINDS
Alikuwa Dr James Kwegyir Aggrey, Mwafrika kutoka Ghana ndiye mtu aliyemtia Kleist hamu ya kuingia katika siasa. Dr Aggrey alikuja Tanganyika mwaka 1924.
Dr Aggrey alikuwa katika Phelps-Stokes Commissions iliyokuwa imeundwa kuchunguza elimu ya Waafrika.
Ilikuwa katika kipindi hiki akiwa ndani ya kamisheni hii ndipo alipokuja Tanganyika. Dr Aggrey alikataliwa kupanga New Africa Hotel kwa kuwa alikuwa mtu mweusi.
Ikabidi Gavana Donald Cameron amtafutie chumba Government House ajisitiri kwa malazi.
Wakati huu alipokuwa Dar es Salaam ndipo Dr Agrrey alipokutana na Kleist.
Dr Aggrey alimtunukia Kleist moja ya vitabu vyake na akakitia sahihi yake.
Hakuna hata mtoto mmoja wa Kleist ambae anakumbuka jina la kitabu hiki.
Kleist alikithamini kitabu hiki na kilipamba shubaka lake la vitabu kwa miaka mingi.
Mwaka wa 1929 Kleist na baadhi ya rafiki zake wa karibu kama Mzee bin Sudi, ambaye wazazi wake walikuwa Wamanyema kutoka Belgian Congo, Ibrahim Hamis - Mnubi ambaye baba yake alitoka Daffur nchini Sudan, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima - Mzaramo, Suleiman Majisu, Raikes Kusi, Rawson Watts na Cecil Matola - Myao kutoka Masasi walianzisha African Association, Matola akiwa President na Kleist Secretary.
Historia ya uhuru wa Tanganyika iligeuzwa ikawa historia ya Julius Kambarage Nyerere.
Historia ya TANU ikawa historia ya mtu mmoja.
Hili lilifanikiwa kwa kuwa tulikaa kimya lau kama walikuwapo wazalendo wenyewe walioupigania uhuru kwa hali na mali zao.
Sasa tueleze harakati za uhuru wapi zilianzia.
Tunaweka picha ya Dictionary of African Biography (DAB).
Kinawekwa kipande kifupi kinachomweleza Dr. Kwegyir Aggrey (1875 - 1927) kisha ndani ya Kamusi hilo hilo tunatoa na kumwekea mtazamaji wa clip yetu kipande kifupi cha Kleist Abdallah Sykes (1894 - 1949).
Wazalendo hawa waliotajwa ndani ya Kamusi hilo tunaeleza hawamo katika historia rasmi ya Tanganyika.
Mazungumzo kati ya Waafrika hawa wawili Dar-es-Salaam mwaka wa 1924 ndiyo yalisababisha Kleist kuunda African Association mwaka wa 1929 kisha kuunda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) mwaka wa 1933.
Vyama vyote hivi viwili vilitawaliwa na Waislam.
Watafute wazalendo hawa katika historia ya Tanganyika hutowakuta popote.
Jambo la kusikitisha ni kuwa watu waliamini kuwa ile historia iliyokuwa ikisomeshwa ndiyo historia ya kweli.
Kleist Abdallah Sykes
Dr. Kwegyir Aggrey
Dictionary of African Biography
(DAB)
Picha ya juu ni Kleist Abdallah Sykes, inayofuata ni Dr. Kwegyir Aggrey na chini ni Dictionary of African Biography.
Ninaposomesha historia ya utaifa wa Tanganyika huanza kwa kuwapa wanafunzi wangu rejea katika Dictionary of African Biography (DAB) niwaambia wamsome Dr. Aggrey wakimaliza wamsome Kleist Sykes.
Kipande hiki nimekipa jina: ''Meeting of the Minds.''
Kinyungu,Kleist hatokei sana kwenye historia ya Tanganyika kwa sababu hakuwa Mzawa wa hapa Tanganyika. Huyu alikuwa Mzulu wa Afrika ya Kusini.
Nafananisha historia ya Kleist hapa Tanganyika na ile ya Okello kule Zanzibar. Naye hatajwi sana kwa vile siyo Mzanzibar. Inaonekana tabia ya kudharau wageni waliochangia pakubwa uhuru wetu ni watu wa bara na visiwani
😅😅
Unatuambia kuwa wakristu, wapagani, wahindu wasio na dini hawana nafasi katika historia yako ya uhuru wa Tanganyika. Historia ya uhuru Tanganyika ni historia ya wazee wako na rafiki zao! Kwa mtazamo wako hata waislamu ambao hawakutoka Tabora na Gerezani nao hawana nafasi katika historia ya hiyo Tanganyika.Big...
Sitetei imani nikiwa na maana Uislam kama dini.
Elimu hii sina kiasi cha kuweza kuhubiri.
Ninachotetea ni historia ya uhuru wa Tanganyika ambayo ni historia ya Waislam wa Tanganyika kwa umoja wao.
Historia hii ni historia ya wazee wangu babu na baba zangu.
Fundi...Unatuambia kuwa wakristu, wapagani, wahindu wasio na dini hawana nafasi katika historia yako ya uhuru wa Tanganyika. Historia ya uhuru Tanganyika ni historia ya wazee wako na rafiki zao! Kwa mtazamo wako hata waislamu ambao hawakutoka Tabora na Gerezani nao hawana nafasi katika historia ya hiyo Tanganyika.
Kwa mtazamo huu una tofauti gani na wale ambao waliigeuza historia ya Nyerere kuwa ndio historia ya uhuru wa Tanganyika? Hautofautiani nao kwa sababu kwako wewe historia sahihi ya uhuru wa Tanganyika ni ya wakina Sykes.
Amandla....
Mohamed, mbona unakana ulicho andika? Nimekuwekea ulichoandika lakini bado unaruka! Mimi ninaowajua ndio hao unasema historia ya Tanganyika sio yao kwa sababu wao sio waislamu.Fundi...
Hapana siwezi kusema hivyo.
Kitabu cha Abdul Sykes nimejitahidi kueleza mengi.
Muhimu hapa ni ikiwa wewe unaona wapo ambao mimi sikuwataja ukachukua fursa hii kuwataja wakajulikana.
mudi unaonaje umpelekee samia mswada afute historia ya nyerere mashuleni na vyuoni ili ifundishwe ya wazee wako wacheza bao ?Kuna clip inazunguka mitandaoni ikieleza mengi kuhusu Tanganyika.
Kubwa linaloshtua watu wengi ni kusema imani kuu nchini ni Ukristo.
Nimeandika makala hiyo hapo chini kutanabaisha kuhusu historia ya Tanganyika nikijaribu kueleza imekuwaje tumefikia hali hii:
MEETING OF THE MINDS
Alikuwa Dr James Kwegyir Aggrey, Mwafrika kutoka Ghana ndiye mtu aliyemtia Kleist hamu ya kuingia katika siasa. Dr Aggrey alikuja Tanganyika mwaka 1924.
Dr Aggrey alikuwa katika Phelps-Stokes Commissions iliyokuwa imeundwa kuchunguza elimu ya Waafrika.
Ilikuwa katika kipindi hiki akiwa ndani ya kamisheni hii ndipo alipokuja Tanganyika. Dr Aggrey alikataliwa kupanga New Africa Hotel kwa kuwa alikuwa mtu mweusi.
Ikabidi Gavana Donald Cameron amtafutie chumba Government House ajisitiri kwa malazi.
Wakati huu alipokuwa Dar es Salaam ndipo Dr Agrrey alipokutana na Kleist.
Dr Aggrey alimtunukia Kleist moja ya vitabu vyake na akakitia sahihi yake.
Hakuna hata mtoto mmoja wa Kleist ambae anakumbuka jina la kitabu hiki.
Kleist alikithamini kitabu hiki na kilipamba shubaka lake la vitabu kwa miaka mingi.
Mwaka wa 1929 Kleist na baadhi ya rafiki zake wa karibu kama Mzee bin Sudi, ambaye wazazi wake walikuwa Wamanyema kutoka Belgian Congo, Ibrahim Hamis - Mnubi ambaye baba yake alitoka Daffur nchini Sudan, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima - Mzaramo, Suleiman Majisu, Raikes Kusi, Rawson Watts na Cecil Matola - Myao kutoka Masasi walianzisha African Association, Matola akiwa President na Kleist Secretary.
Historia ya uhuru wa Tanganyika iligeuzwa ikawa historia ya Julius Kambarage Nyerere.
Historia ya TANU ikawa historia ya mtu mmoja.
Hili lilifanikiwa kwa kuwa tulikaa kimya lau kama walikuwapo wazalendo wenyewe walioupigania uhuru kwa hali na mali zao.
Sasa tueleze harakati za uhuru wapi zilianzia.
Tunaweka picha ya Dictionary of African Biography (DAB).
Kinawekwa kipande kifupi kinachomweleza Dr. Kwegyir Aggrey (1875 - 1927) kisha ndani ya Kamusi hilo hilo tunatoa na kumwekea mtazamaji wa clip yetu kipande kifupi cha Kleist Abdallah Sykes (1894 - 1949).
Wazalendo hawa waliotajwa ndani ya Kamusi hilo tunaeleza hawamo katika historia rasmi ya Tanganyika.
Mazungumzo kati ya Waafrika hawa wawili Dar-es-Salaam mwaka wa 1924 ndiyo yalisababisha Kleist kuunda African Association mwaka wa 1929 kisha kuunda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) mwaka wa 1933.
Vyama vyote hivi viwili vilitawaliwa na Waislam.
Watafute wazalendo hawa katika historia ya Tanganyika hutowakuta popote.
Jambo la kusikitisha ni kuwa watu waliamini kuwa ile historia iliyokuwa ikisomeshwa ndiyo historia ya kweli.
Kleist Abdallah Sykes
Dr. Kwegyir Aggrey
Dictionary of African Biography
(DAB)
Picha ya juu ni Kleist Abdallah Sykes, inayofuata ni Dr. Kwegyir Aggrey na chini ni Dictionary of African Biography.
Ninaposomesha historia ya utaifa wa Tanganyika huanza kwa kuwapa wanafunzi wangu rejea katika Dictionary of African Biography (DAB) niwaambia wamsome Dr. Aggrey wakimaliza wamsome Kleist Sykes.
Kipande hiki nimekipa jina: ''Meeting of the Minds.''
The Messenger of Allah [SAW] said: 'Whoever changes his religion, kill him.'Dunia tunaishi kwa hisani ya ukristo. Mungu ndiyo ana hukumu, fanya dhambi ila Mungu mwenye nguvu atakuhumu.
Iran mwanamke hajafunika kichwa wanamuua. Wewe hauna dhambi mpaka umuue mwenzako? Dini ina mahakama? Ahaaa
Wewe ni nani unihukumu mimi? Ingekuwa dini ni ya Mungu huko Uarabuni ambako uislam umezaliwa ingekuwa ni sehemu salama za kuishi na zingekuwa zimebarikiwa sana.
Pale Zanzibar, watu wakifunga wanaanza kuchapa watu viboko. Ule saa 9 au saa 10 halafu saa 7 mchana umuone mtu anakula ubebe kiboko anakutamanisha.
Umefunga kula au umefunga ili uache dhambi? Imani yako kwanini iwe kero kwangu?
Mimi ni mpagani (sina dini)
Fundi...Mohamed, mbona unakana ulicho andika? Nimekuwekea ulichoandika lakini bado unaruka! Mimi ninaowajua ndio hao unasema historia ya Tanganyika sio yao kwa sababu wao sio waislamu.
Amandla...
Mimi sizungumzii kitabu chako ambacho kwa kweli sina mpango wa kukisoma.Fundi...
Mimi si mtu wa mabishano.
Huenda tatizo kwako ni jinsi unavyotafsiri niliyoandika.
Historia hii nimeiandika kitabu kina miaka 25 tunakwenda chapa ya 4.
Kitabu kimesahihisha historia iliyokuwako.
Mimi sina sababu ya kurejea tena kwenye kitabu hiki.
Mohamed, hivi ndivyo ulivyoandika leo.Big...
Sitetei imani nikiwa na maana Uislam kama dini.
Elimu hii sina kiasi cha kuweza kuhubiri.
Ninachotetea ni historia ya uhuru wa Tanganyika ambayo ni historia ya Waislam wa Tanganyika kwa umoja wao.
Historia hii ni historia ya wazee wangu babu na baba zangu.
Ilifutwa ikawa historia inayofundishwa ni ya Julius Nyerere peke yake.
View attachment 2532039
''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968)
The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,''
Minerva Press, London 1998
Luku...mudi unaonaje umpelekee samia mswada afute historia ya nyerere mashuleni na vyuoni ili ifundishwe ya wazee wako wacheza bao ?
Fundi...Mohamed, hivi ndivyo ulivyoandika leo.
Nilicho "quote" kabla ni hicho nilicho bold. Umesema kuwa historia ya Tanganyika ni historia ya waislamu na historia hiyo ni ya wazee wako babu na baba zako. Kwa maneno haya, si unamaanisha kuwa wasio waislamu historia ya Tanganyika haiwahusu? Au kuwa mchango wao ni mdogo mno kulinganisha wa waislamu hasa wale ambao una undugu nao? Haya ni maneno yako, sio yangu. Kama tafsiri yangu ina walakini nielimishe ulikuwa una maana gani ulipoandika haya maneno.
Amandla....
Mohamed, mbona awali ulikana maneno hayo? Maneno ambayo yanaweka wazi kuwa kwako wewe Nyerere na wakristu wenzake walikuwa "supporting act" ya ndugu na jamaa zako. Unajua kusema kuwa uliambiwa na Profesa Othman kuwa kitabu chako ndicho kilichomfanya Mwalimu akubali historia yake iandikwe. Mimi binafsi sijawahi kukupinga kwenye suala la kuandika historia ya ndugu zako. Ninachokupinga ni wewe kufanya historia yao ndio historia ya nchi yangu. Naamini kuwa historia ya Tanganyika sio ya waislamu peke yao, bali ni historia ya wale wote ambao bila kujali dini, kabila, rangi, utaifa ( kuna wakenya, waingereza, wamarekani, waghana, waganda,na wanyasaland wengi tu waliochangia historia ya hii nchi) na jinsia zao. Wakina Abdul Wahid hawakushirikiana na wakina Julius kwa sababu walitaka waislamu waongoze nchi hii. Ni wewe ndio unaowavisha hilo joho la udini. Hao wakina mama waliomsindikiza mkatoliki airport (na unajua hawakuwa peke yao) hawakufanya hivyo kwa sababu ya uislamu wao bali kwa utanganyika wao. Hapo airport walikuwepo watu wa dini zote.Fundi...
Hakika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ni historia ya Waislam na kitabu changu kimesema hivyo: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika."
Mimi sitaabishwi na vipi utatafsiri maneno yangu.
Naweza nikipenda nikakunyamazia kama baadhi ya watu wanavyonishauri.
Hii ni historia ya wazee wangu na nimeiandika kwa msaada wao wengine wameushi na kukiona kitabu na wengine wametangulia mbele ya haki kabla ya kazi kukamilika.
Ninachoshukuru ni kuwa Mwalimu Nyerere kakidiriki kitabu na kakisoma.
Kutokana na kitabu hiki ndipo alipomkubalia Prof. Haroub Othman atengeneze jopo waandike maisha yake.
Mazungumzo ya Mwalimu Nyerere na Prof. Haroub Othman ninayo nimeyahifadhi kama nilivyoyapokea kutoka kwake.
Nilikuwa mmoja wa watu waliochangia kitabu hicho katika kueleza historia ya Mwalimu Nyerere alivyopokelewa na wazee wangu alipofika Dar es Salaam mwaka wa 1952.
Nalishukuru jopo hili kwa kueleza kuwa Maktaba yangu ni katika maktaba tatu bora zilizohifadhi kumbukumbu nyingi za Babu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Maktaba nyingine ni ya Salim Ahmed Salim na ya Brig.General Hashim Mbita.
Picha hiyo hapo chini TBC 1 wakinihoji kuhusu Nyerere Biography
Fundi...Mohamed, mbona awali ulikana maneno hayo? Maneno ambayo yanaweka wazi kuwa kwako wewe Nyerere na wakristu wenzake walikuwa "supporting act" ya ndugu na jamaa zako. Unajua kusema kuwa uliambiwa na Profesa Othman kuwa kitabu chako ndicho kilichomfanya Mwalimu akubali historia yake iandikwe. Mimi binafsi sijawahi kukupinga kwenye suala la kuandika historia ya ndugu zako. Ninachokupinga ni wewe kufanya historia yao ndio historia ya nchi yangu. Naamini kuwa historia ya Tanganyika sio ya waislamu peke yao, bali ni historia ya wale wote ambao bila kujali dini, kabila, rangi, utaifa ( kuna wakenya, waingereza, wamarekani, waghana, waganda,na wanyasaland wengi tu waliochangia historia ya hii nchi) na jinsia zao. Wakina Abdul Wahid hawakushirikiana na wakina Julius kwa sababu walitaka waislamu waongoze nchi hii. Ni wewe ndio unaowavisha hilo joho la udini. Hao wakina mama waliomsindikiza mkatoliki airport (na unajua hawakuwa peke yao) hawakufanya hivyo kwa sababu ya uislamu wao bali kwa utanganyika wao. Hapo airport walikuwepo watu wa dini zote.
Kwenye hili la udini nitakupinga siku zote. Kunijibu au kuninyamazia ni uamuzi wako. Mimi kila ninapoweza nitakujibu.
Amandla...
Dingii ka approval kiarabu ni lugha ya taifa hilo halina shaka kwake