Natumaini wote mu wazima,
Mama lao sina maneno mengi ila tuseme tu ukweli Kili Marathon ishapoteza mvuto sio kama zile Kili za zamani tulizokuwa tunazosikiaa kipindi hicho. Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano, kila ufuska huwa unafanyika Moshi
Yaani kuna kudanga na kudangwa sio kila mtu anaenda kwa ajili ya Marathon ila wanatumiaa mgongo wa Marathon kwenda Moshi kujivinjari
Hasa Wanaume manake unakuta mtu anaaga nyumbani kuwa anaenda kwa Marathon kumbe kashaandaa kiburudishi pembeni same applied to wadangaji nao washafanya ni chimbo la kupatiaa Wanaume.
Thats why unakutaa siku hizi kilaa mtu anajifanya anapenda Marathon.
Jamani Wanawake wenzangu kuweni macho na haya ma-marathon ya kila siku ambao yameshakuwa kama fashooooni mjini haya mama, marathon 25% ndo wapo kimarathon zaidi but the rest 75% ni kwa ajili ya kwenda kusaka na kusakwa niliyo yaona Moshi yanatoshaa jaman
Wewe mbona sijakuona Moshi rafiki?yaan kuna rafiki zangu wameenda huwez amini hata hawajakimbiaa lakin ofisini wameagaa wanaenda kill woyiiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Madam acha watu waamke kwenye michezo. Ukiona tabu na wewe nenda na mwenzako mkafukuze upepo. Kajifunze mbinu za kukaba.na kwenye mpiraa na gym yaan muamko umekuwa ni wa grade A kwa wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie kazi yangu itakua kukufuta jasho tuu, kwenye BIMA MARATHON 😂 😂Penye wengi hakukosi mengi. Nashiriki marathon sana na haya mambo yapo na ni ya kawaida. Msiseme Kili marathon tu mkumbuke hata makanisani haya mambo yapo.
Tukiendelea kuhukumu makusanyiko ya wanawake na wanaume ipo siku tutaambiana msiruhusu wake/waume zenu waende kanisani wataliwa.
Kama mtu una nia ya dhati ya mbio kakimbie, kama umefuata mboga/madanga akili kumkichwa. Tukumbushane tu umakini ila hamna cha ajabu kinachofanyika kwenye marathon na wengine wanasema gym hakifanyiki sehemu nyingine.
Btw Kili Marathon ilikua nzuri
Wakimbiaji wenzangu tukutane BIMA MARATHON [emoji6][emoji6][emoji6]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie kazi yangu itakua kukufuta jasho tuu, kwenye BIMA MARATHON [emoji23] [emoji23]
Much obliged!! 🤝🤝
Duuhh aisee
baby nimekumiss balaaa shooo sidhan kama kuna elaaa[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Kilimarathon imekua KilimaDangathon
Bagwell
Na mimi ijayo nitashiriki kama ndio hiviAcha wivu..kwani mtu akienda kumatathon kwa bed Kuna tofauti gani na yule anayekimbia barabarani.
View attachment 1374439
Maisha yamebadilika, waoaji wamepungua kwasababuya vijana wanaopaswa kuoa kutokuwa na kazi. Sisi wenye kipato chetu afu mahandsome, tunagomaniwa. Kuna mabinti hawakujaaliwa hivyo hawapati hata jock kwa wakaa. Ukisema salaam hawakosi si kweli, wanasema wenyewe.sina cha kukujibu hivi kuna mwanamke anakosaga mwanaume??labda aaamuee kuwa hataki
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kumbe uko wapi nikutafute... huwezi jua mipango ya mungu ujue ( hii "mungu" ilivyoandikwa na ieleweke hivyohivyo)
Bima marathon tena, wapi? Naona kampuni za bima zinataka kufanya yao ama?Mie kazi yangu itakua kukufuta jasho tuu, kwenye BIMA MARATHON [emoji23] [emoji23]
Ndo inavyokuwaga, hata mume akiwa anachepuka unakuwa wa mwisho kujua.Duh mkeo akiwa analiwa nje mume unakuwa wa mwisho kujua!