Tufunge Ukurasa: Kili Marathon ya siku hizi ni makutano ya wasaliti wa ndoa na mahusiano

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie mimi na mambo za kukimbia siwezi hata acha niwe shabiki wako tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

kaa vizur usome shoga angi then utaelewaaa nilichoandika otherwise hongera kwa kumaliza mboo za km 42[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
yan wanakula na kuliwa tunda kimasihara ? daaahh kweli RICKBOY THE SATANIST ALIONA MBALI 🤣🤣🤣[emoji2]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pagumu sana. Lile fukuto plus kwenda chumvini na kurudi mkwakwani ndo panachosha zaidi. Kwanza medal nasikia hawajabadilisha. Mbio zinazoumiza za mwaka jana zote mwaka huu sizikimbii Tanga na Rock City zikiwemo
Nilikimbia mwaka uliopita,Tanga city marathon ni ngumu sana, Kilimanjaro Marathon inasubiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eeh.. Mambo yote Joy eslava.

Ukimaliza marasoni unakutana na promotion ya Castle Unlock. [emoji16][emoji16] + nguruwe wa kuchoma.

Marathon zote za Goba zinaishia na bata wanaweza wakaishia Joy eslava au Tripple B.

Hata hii ya trh 02/02 ilikua na bata mwisho.
 
Fukuto ndio balaa,mbaya zaidi ukiwa unatokea chumvini kuelekea mkwakwani jua linakupiga usoni ......bora mbio zingeanza saa kumi na mbili.
Pagumu sana. Lile fukuto plus kwenda chumvini na kurudi mkwakwani ndo panachosha zaidi. Kwanza medal nasikia hawajabadilisha. Mbio zinazoumiza za mwaka jana zote mwaka huu sizikimbii Tanga na Rock City zikiwemo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…