Tuheshimu Ikulu, Tuwaheshimu viongozi wote Wateule, ni Watanzania wenzetu, Tuwaheshima kama ambavyo Baba na Mama yako anastahili heshima

Tuheshimu Ikulu, Tuwaheshimu viongozi wote Wateule, ni Watanzania wenzetu, Tuwaheshima kama ambavyo Baba na Mama yako anastahili heshima

Ni kweli Duniani kote mawazo tofauti kutoka kwa watu ni Muhimu, wala haijawahi tokea Tanzania ipate uluru kuna mtu amekataza kutoa mawazo, ninacho kisema ni uzuzu kutukana Viongozi, kusingizia, kuwadhalilisha, kutweza heshima yao kwa kisingizio cha Uhuru wa kutoa maoni MastaKiraka
Kwamba kiongozi akiina na kuuza Mali zetu tutumie lugha tofauti na ile tunayotumia Kwa wahalifu wengine!!? Acha hizo
 
Ni bora, vyema, uungwana na uzalendo mkubwa kila Mtanzania akajifunza kuheshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.


Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Wewe unaweza kumheshimu mkoloni? Mkoloni ni mnyonyaji na mkandamizaji. Ikulu kwasasa imekaliwa na matapeli na majinga tu. Hivi inapofikia hatua ya kuteua marehemu,kweli unataka tuwaheshimu? Majizi na matapeli ya ikulu kufeni haraka Sana
 
Ukitaka kueshimiwa jiheshim kwanza, yani upore, mabaya yote uwafanyie binadam wenzako alafu unasema upewe heshima ,bora watu bado wanawastahi ,ipo siju watu watukuja kuchapwa viboko adhalani , watu wanafanya uhuni mpaka wanapitiliza ila at wanataka heshima
Watu wamekuwa wakiwalisha maneno bila hata kuchunguza, unaweza thibitisha nini kimeporwa ? 4 7mbatizaji
 
Hatuwezi kuheshimu viongozi waliopatikana kwa wizi wa kura. Ni kama majambazi wengine tu
Huo ni mtazamo wako, naheshimu maoni yako, hujavunja sheria na wala hujatukana, japo sijui kama unaweza thibitisha hicho unachokisema kuhusu kura Gulwa
 
Je hao unaowatetea wanatuheshimu sisi raia????
Ndio maaana kuna viongozi wanasimamishwa, kuna wanaopelekwa mahakamani, kifupi Tanzania kuna Utawala unafuata, Sheria, haki ,utu na demokrasia, ndio maana hata ukitaka kuandamana unapewa mpaka police wakulinde
 
Hapa nilipoa najiandaa kutukana viongozi kwa ujinga wanaoufanya kwa sasa. Na niko hatua za mwisho kutengeneza vilipuzi kwa kutumia "potassium nitrate na maganda ya mayai" . Uchaguzi ujao patachimbika uchaguzi ukichezewa.
You will regret mkuu, unaweza jenga hoja yako ikasikika badala ya kutukana viongozi, never do that G4N
 
Ni bora, vyema, uungwana na uzalendo mkubwa kila Mtanzania akajifunza kuheshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.

Ukikaa kwenye kisimbusi chako, unatukana, unadhalilisha viongozi, ipo siku utatamani maneno unayosema na maandishi unayoandika ingekuwa tofauti, Watanzania wengi tudanganywa na Wanaharakati wanaoeneza uongo, uzushi, kupandikiza chuki, kupandikiza fitina na chuki kwa Watanzania.

Tuwakatae Wanaharakati ambao kusema uongo ni jadi yao, wanafaidika kea kusema uongo, Tuipende Tanzania yetu, tutaishi na kustawi hapa.

Tuwe Wazalendo, Serikali ipo, Mamlaka zipo, Tanzania iko salama, Wakenya, Wamalawi na wengine wengi wana tamani kuwa Watanzania.

Yupo mtu kazi yake akiamka yeye kutukana viongozi na familia zao, kea sababu anahisi yeye kuwa nje ya Tanzania ni tiketi ya kusema uongo, kudhalilisha watu na kusingizia uongo mkubwa viongozi- amesahau kuna Mungu wa mbinguni

Yupo Mwanasiasa yeye baada ya kuona wenzake hawamweli anataka nini, kufeli kwa michango(upigaji- maana ana ukwasi wa kutosha, kama ni uongo aweke wazi account yake ya benk- miezi kadhaa nyuma kamhamishia mtu kutoka account yake Tsh 500,000,000- kwa Sababu ya Sheria za JF sitataja bank)sasa ameanza kusema uongo na kusingizia vitu vya uongo,

Yupo mwingine huko X kazi ya ni kutukana Serikali hii toka enzi za Mwalimu, wakati baba yake amekuwa Waziri na anapata benefit zote mpaka sasa, ila kila siku ni kueneza chuki, kuchonganisha, kugombanisha, kufitinisha, kusingizia na kusema uongo ili kuwachafua viongozi na Serikali ya awamu ya sita- ajue tu anaowatukana ni Wazazi, wana familia, wana ndugu, ni Viongozi kama ambavyo aliwahi kuwa baba yake anaye mheshimu.

Ni vyema tukajifunza kukosoa kwa hoja na sio kwa matusi, kuchonganisha, kusema uongo, kudhalilisha viongozi na Serikali ya awamu ya sita, kuchochea ubaguzi etc

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Je wanao ahirisha kufikiri Kwa nafsi utafanyaje yaani wanao jizima data chumvi wanakwambia sukari mafuta asali,
 
Ni bora, vyema, uungwana na uzalendo mkubwa kila Mtanzania akajifunza kuheshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.

Ukikaa kwenye kisimbusi chako, unatukana, unadhalilisha viongozi, ipo siku utatamani maneno unayosema na maandishi

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Well said!!
 
Ni bora, vyema, uungwana na uzalendo mkubwa kila Mtanzania akajifunza kuheshimu Mamlaka zilizopo kisheria na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muunga wa Tanzania.

Ukikaa kwenye kisimbusi chako, unatukana, unadhalilisha viongozi, ipo siku utatamani maneno unayosema na maandishi unayoandika ingekuwa tofauti, Watanzania wengi tudanganywa na Wanaharakati wanaoeneza uongo, uzushi, kupandikiza chuki, kupandikiza fitina na chuki kwa Watanzania.

Tuwakatae Wanaharakati ambao kusema uongo ni jadi yao, wanafaidika kea kusema uongo, Tuipende Tanzania yetu, tutaishi na kustawi hapa.

Tuwe Wazalendo, Serikali ipo, Mamlaka zipo, Tanzania iko salama, Wakenya, Wamalawi na wengine wengi wana tamani kuwa Watanzania.

Yupo mtu kazi yake akiamka yeye kutukana viongozi na familia zao, kea sababu anahisi yeye kuwa nje ya Tanzania ni tiketi ya kusema uongo, kudhalilisha watu na kusingizia uongo mkubwa viongozi- amesahau kuna Mungu wa mbinguni

Yupo Mwanasiasa yeye baada ya kuona wenzake hawamweli anataka nini, kufeli kwa michango(upigaji- maana ana ukwasi wa kutosha, kama ni uongo aweke wazi account yake ya benk- miezi kadhaa nyuma kamhamishia mtu kutoka account yake Tsh 500,000,000- kwa Sababu ya Sheria za JF sitataja bank)sasa ameanza kusema uongo na kusingizia vitu vya uongo,

Yupo mwingine huko X kazi ya ni kutukana Serikali hii toka enzi za Mwalimu, wakati baba yake amekuwa Waziri na anapata benefit zote mpaka sasa, ila kila siku ni kueneza chuki, kuchonganisha, kugombanisha, kufitinisha, kusingizia na kusema uongo ili kuwachafua viongozi na Serikali ya awamu ya sita- ajue tu anaowatukana ni Wazazi, wana familia, wana ndugu, ni Viongozi kama ambavyo aliwahi kuwa baba yake anaye mheshimu.

Ni vyema tukajifunza kukosoa kwa hoja na sio kwa matusi, kuchonganisha, kusema uongo, kudhalilisha viongozi na Serikali ya awamu ya sita, kuchochea ubaguzi etc

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Watu hawaheshimu kwasababu wanajua fika wengi wateule sio wa Raisi na wala hawafahamu. Watu wengine ndiyo wanachomekea wawapendao sio Raisi.

Hii inaonyesha katiba mbaya tuliyonayo. Hivyo badala ya kufukia moshi wa ukweli tafuta muda kujifunza chanzo cha tatizo 🤔
 
Kwa hiyo tukisema Mama Abdul anakopa saana hilo nalo ni tusi kwani?
Inayokopa ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkuu huoni miradi ya Afya na miundo mbinu yake huko mtaani? Miradi ya Elimu, barabara, Etc
 
  • Dislike
Reactions: K11
Back
Top Bottom