Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Mtetezi wa wanyonge anapopora ardhi ya wanyonge!!!
Kwa kutumia Madaraka ya Urahisi......🤣🤣🤣!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtetezi wa wanyonge anapopora ardhi ya wanyonge!!!
Hatujibu upuuzi mtu anunue kwa pesa yake wewe ulete kelele huyo ni mwanasheria aende mahakamani akashtaki
Akiangalia vitendo vyale na madhara waliyoyapata wanyonge, huyu ni mnyongaji wa wanyonge.Mtetezi wa wanyonge anapopora ardhi ya wanyonge!!!
John hawezi ijibu hii hoja, ni kaa la motoNashindwa kuamini kuwa mpaka muda huu hakuna hata mmoja wao miongoni waliotajwa aliweza kutoka hadharani kukanusha au kufafanua juu ya tuhuma hizi. Yaani hata ofisi zao zimeshindwa kuwatetea!
Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?
Tutaelewana tu mwaka huu.
PhD yake aliifanya kwa lugha gani?Magufuli ni smart hawezi kujishughulisha na taarifa za udaku
Au hujui kwamba Chato nzima katika watu wachache wenye Phd adimu Magufuli ni mmoja wao ?
Na akimjibu utasemaje?Lisu ni debe tupu!
Magu ana mambo mengi ya kufanya hana muda wa kujibishana na wapuuzi!
Lisu size yake ni kina polepole
Nashindwa kuamini kuwa mpaka muda huu hakuna hata mmoja wao miongoni waliotajwa aliweza kutoka hadharani kukanusha au kufafanua juu ya tuhuma hizi. Yaani hata ofisi zao zimeshindwa kuwatetea!
Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?
Tutaelewana tu mwaka huu.
Tuambiwe pia kama kodi ya serikali kalipia kikamilifu?Mshahara na mapato yake ni kiasi gani cha fedha hadi anunue Hector 25,000 za Ardhi?Mh.Rais anafanya Biashara gani nyingine nje ya Utumishi wa Umma?Maajabu kama haya yanaweza kutokea hapa Tanzania pekee hapa Duniani.Bado anaweza kuwa Rais wa Wanyonge?Ekari 25000 sio mchezo tufanye kila hekari moja ni 1M
1,000,000 × 25000 = 25,000,000,000/=
Sasa jiulize magufuli anao uwezo huo?
Na kama anao huo uwezo atuambie alinunua kwa nani na kwa utaratibu upi?
Huyu Mzee amepoteza Legitimacy yake yote kwa kufanya mambo yake kwa kukurupuka,alitaifisha mashamba yaliyoitwa Pori kumbe naye analo Pori la Hector Elfu 25?Kama kila rais, mawaziri wakuu, wakuu wa mikoa, etc wataanza kujimilikisha Ekari maelfu, tukifikia kuwa na marais 40 huenda ardhi yote ya Tanzania itakuwa inamilikiwa na familia au koo zao!
Mwalimu alifuta ukabaila na Nyarubanja za Machifu kumiliki ardhi kubwa za maeneo yao kwa sababu aliona mbali!, watu wanageuzwa wapangaji katika nchi yao wenyewe!
Hivi wewe unaijua hekta? Soma tena uliyoandika.Ananunuaje hekta 25 huku wananchi hawana mahali pa kupata makazi?
Halafu "hajanunua". Amepora.
Atanunuaje ardhi anayoimiliki mwenyewe? Hapo amefanya kujisevia kifisadi.
Hii ya maganda ya korosho? Ungemshauri ahamie Mtwara baada ya 28 oct akaitumie Pii echi dii yake vizuri.Magufuli ni smart hawezi kujishughulisha na taarifa za udaku
Au hujui kwamba Chato nzima katika watu wachache wenye Phd adimu Magufuli ni mmoja wao ?
Magufuli anapata pesa wapi za kuweza kununua eneo lote hilo hapa Tz?Hatujibu upuuzi mtu anunue kwa pesa yake wewe ulete kelele huyo ni mwanasheria aende mahakamani akashtaki
Mtetezi wa wanyonge anapopora ardhi ya wanyonge!!!
Wewe hutumiki? Mbona unatumika tu sana.Tulikuonya mapema sana kwamba unatumika tu huku ukiwa huwajui unaowatumikia
Magufuli ni kipenz cha wanyonge, tuzidi kumuunga mkonoKwanini akiwa hana madarakani hakuweza kumiliki hilo eneo kubwa hivyo?