Tuhuma nzito ya ufisadi wa kupora ardhi mpaka sasa haijajibiwa

Tuhuma nzito ya ufisadi wa kupora ardhi mpaka sasa haijajibiwa

Mataga wanasema Magu hatakuwa rais wa kwanza kujimilikisha eneo kubwa hivyo hapa Tz, yeye anafuata nyayo za watangulizi wake. Kama Mwinyi, Mkapa na Kikwete wanamiliki maeneo hayo makubwa, kipi cha ajabu kwa Magu?!
Magufuli ni muumini wa kikristu mzuri, hawezi kufuata nyayo za Mafisadi kama Kikwete, mkapa na Mwinyi

Kamwe msimfananishe Magufuli na utopolo
 
Jiwe ni kabaila, bwanyenye, mnyonyaji, kupe, Mnyarubanja Halafu anajidai kumuenzi baba wa Taifa. Miaka mitano tu umeshajichukulia ardhi kubwa namna hiyo je ukikaa 10?

Baba wa Taifa alikaa madarakani miaka 23 lakini alishindwa kujenga nyumba yoyote ya maana kijijini kwake mpaka alipojengewa na Jeshi!, wewe miaka 5 una hector 25000!

Acheni kuita CCM chama cha kijamaa, hakuna ujamaa wa kutumia cheo chako kwa maslahi binafsi!. CCM ya leo ni makupe!, Wanyonyaji wakubwa!

Wanajifanya eti wanakata mirija, kumbe wao wanasimika mirija mikubwamikubwa tena ya chuma. Wanyonyaji wakubwa!
 
Nashindwa kuamini kuwa mpaka muda huu hakuna hata mmoja wao miongoni waliotajwa aliweza kutoka hadharani kukanusha au kufafanua juu ya tuhuma hizi. Yaani hata ofisi zao zimeshindwa kuwatetea!

Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?

Tutaelewana tu mwaka huu.
HAWEZI KUIJIBU HOJA HII , NI NZITO KWAKE ATABAKI NAYO MOYONI TU MPAKA ANATOKA MADARAKANI.
 
Ekari 25000 sio mchezo tufanye kila hekari moja ni 1M

1,000,000 × 25000 = 25,000,000,000/=

Sasa jiulize magufuli anao uwezo huo?
Na kama anao huo uwezo atuambie alinunua kwa nani na kwa utaratibu upi?
Aliekuambia hekari maoja no 1M ni Nani?
 
Magufuli anapata pesa wapi za kuweza kununua eneo lote hilo hapa Tz?

Ni sheria gani inampa mtu ruhusa ya kununua eneo lote hilo wakati kuna maelfu ya watu hawana ardhi ya kulima kuzunguka eneo hilo hilo?

Kama sheria inatoa hiyo nafasi kwa mtu mwenye pesa, basi huenda Mo Dewji angekuwa leo hii anamiliki eneo lote la mikoa ya Singida na Dodoma au Bakheresa akainunua Zanzibar yote.
Kuna maeneo huku tupo jamaa yangu moja anamiliki hekari 1500 na si mfanyakazi, wakati huohuo Kuna watu kinijini hapo hata hekari 1hawana. Hebu punguzeni ujinga
 
Sio kila upuuzi lazima ujibiwe! Karagwe na mkoa wa Kagera kwa ujumla ardhi ipo ya kutosha na ndio sababu hapajawahi kuwepo na migogoro ya ardhi kama mikoa mingine, kuna mapoli mengi yanayohitaji uwekezaji!

Akili zako za umaskini ndio unaanzisha mada ya kijinga, kwa wenye akili tutanunua mashamba jirani na Mheshimiwa ili tufaidi miundombinu, huduma za ugani na masoko!
Ahh eka elfu 25!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Nashindwa kuamini kuwa mpaka muda huu hakuna hata mmoja wao miongoni waliotajwa aliweza kutoka hadharani kukanusha au kufafanua juu ya tuhuma hizi. Yaani hata ofisi zao zimeshindwa kuwatetea!

Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?

Tutaelewana tu mwaka huu.
Ukiona kimya ujue ni kweli
 
Sio kila upuuzi lazima ujibiwe! Karagwe na mkoa wa Kagera kwa ujumla ardhi ipo ya kutosha na ndio sababu hapajawahi kuwepo na migogoro ya ardhi kama mikoa mingine, kuna mapoli mengi yanayohitaji uwekezaji!

Akili zako za umaskini ndio unaanzisha mada ya kijinga, kwa wenye akili tutanunua mashamba jirani na Mheshimiwa ili tufaidi miundombinu, huduma za ugani na masoko!
Ya Ngoswe mwachie Ngoswe, Soma hapa ‘Migogoro ya ardhi husababisha mauaji na hapa Migogoro ya ardhi Kagera yachangia ongezeko la mauaji - TimesMaijira
 
Mkuu ulizia wenyeji wa Kagera na hasa hasa wilaya za Muleba, Bukoba, Karagwe na kadhalika...Wenyeji wa kule migogoro ya ardhi huwa ni ya "EKIBANJA" mashamba ya ukoo yenye migomba na mibuni...hiyo ndiyo migogoro ambayo kesi zake huwa zinafika hadi makama za rufaa! mtu anaweka hadi wakili kwa kesi ya kipande kidogo cha mita 75 za mraba! Ardhi aliyomilikishwa JPM kule inafahamika kama "ORWEYA" kwa maana ya mbuga na mapoli nyingi zipo chini ya serikali za vijiji ambao hata wewe unaweza kwennda kununua kwa ajili ya kuwekeza!
 
Back
Top Bottom