Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Magufuli ni muumini wa kikristu mzuri, hawezi kufuata nyayo za Mafisadi kama Kikwete, mkapa na MwinyiMataga wanasema Magu hatakuwa rais wa kwanza kujimilikisha eneo kubwa hivyo hapa Tz, yeye anafuata nyayo za watangulizi wake. Kama Mwinyi, Mkapa na Kikwete wanamiliki maeneo hayo makubwa, kipi cha ajabu kwa Magu?!
Kamwe msimfananishe Magufuli na utopolo