Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Magufuli ni muumini wa kikristu mzuri, hawezi kufuata nyayo za Mafisadi kama Kikwete, mkapa na MwinyiMataga wanasema Magu hatakuwa rais wa kwanza kujimilikisha eneo kubwa hivyo hapa Tz, yeye anafuata nyayo za watangulizi wake. Kama Mwinyi, Mkapa na Kikwete wanamiliki maeneo hayo makubwa, kipi cha ajabu kwa Magu?!
HAWEZI KUIJIBU HOJA HII , NI NZITO KWAKE ATABAKI NAYO MOYONI TU MPAKA ANATOKA MADARAKANI.Nashindwa kuamini kuwa mpaka muda huu hakuna hata mmoja wao miongoni waliotajwa aliweza kutoka hadharani kukanusha au kufafanua juu ya tuhuma hizi. Yaani hata ofisi zao zimeshindwa kuwatetea!
Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?
Tutaelewana tu mwaka huu.
Aliekuambia hekari maoja no 1M ni Nani?Ekari 25000 sio mchezo tufanye kila hekari moja ni 1M
1,000,000 × 25000 = 25,000,000,000/=
Sasa jiulize magufuli anao uwezo huo?
Na kama anao huo uwezo atuambie alinunua kwa nani na kwa utaratibu upi?
Kuna maeneo huku tupo jamaa yangu moja anamiliki hekari 1500 na si mfanyakazi, wakati huohuo Kuna watu kinijini hapo hata hekari 1hawana. Hebu punguzeni ujingaMagufuli anapata pesa wapi za kuweza kununua eneo lote hilo hapa Tz?
Ni sheria gani inampa mtu ruhusa ya kununua eneo lote hilo wakati kuna maelfu ya watu hawana ardhi ya kulima kuzunguka eneo hilo hilo?
Kama sheria inatoa hiyo nafasi kwa mtu mwenye pesa, basi huenda Mo Dewji angekuwa leo hii anamiliki eneo lote la mikoa ya Singida na Dodoma au Bakheresa akainunua Zanzibar yote.
Wewe ndo unaona upuuzi but message sentHahahaa!!!Maji yamezidi unga!
Hayo ni majivuno na majigambo binadamu wote ni sawa mbele ya MunguLissu ni debe tupu!
Magu ana mambo mengi ya kufanya hana muda wa kujibishana na wapuuzi!
Lissu size yake ni kina polepole
Ahh eka elfu 25!Sio kila upuuzi lazima ujibiwe! Karagwe na mkoa wa Kagera kwa ujumla ardhi ipo ya kutosha na ndio sababu hapajawahi kuwepo na migogoro ya ardhi kama mikoa mingine, kuna mapoli mengi yanayohitaji uwekezaji!
Akili zako za umaskini ndio unaanzisha mada ya kijinga, kwa wenye akili tutanunua mashamba jirani na Mheshimiwa ili tufaidi miundombinu, huduma za ugani na masoko!
Kuna sehemu nmesema Lisu ni mnyama?Hayo ni majivuno na majigambo binadamu wote ni sawa mbele ya Mungu
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Hebu tuonyeshe mahakama ya mafisadi aliyoihubiri JohnHahhahahha... Tangu lini CHADEMA mmeanza kupinga ufisadi? Agenda hiyo ilishakufa tangu 2015 pale mlipogeuka madodoki ya kusafisha watu.
Kuna sehemu nmeongelea hiyo mahakama?Hebu tuonyeshe mahakama ya mafisadi aliyoihubiri John
Mbona una'danki danki' Kama nyani aliyevimbiwa ndizi?Kuna sehemu nmeongelea hiyo mahakama?
Ukiona kimya ujue ni kweliNashindwa kuamini kuwa mpaka muda huu hakuna hata mmoja wao miongoni waliotajwa aliweza kutoka hadharani kukanusha au kufafanua juu ya tuhuma hizi. Yaani hata ofisi zao zimeshindwa kuwatetea!
Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?
Tutaelewana tu mwaka huu.
Wizi wiziHahhahahha... Tangu lini CHADEMA mmeanza kupinga ufisadi? Agenda hiyo ilishakufa tangu 2015 pale mlipogeuka madodoki ya kusafisha watu.
Ya Ngoswe mwachie Ngoswe, Soma hapa ‘Migogoro ya ardhi husababisha mauaji na hapa Migogoro ya ardhi Kagera yachangia ongezeko la mauaji - TimesMaijiraSio kila upuuzi lazima ujibiwe! Karagwe na mkoa wa Kagera kwa ujumla ardhi ipo ya kutosha na ndio sababu hapajawahi kuwepo na migogoro ya ardhi kama mikoa mingine, kuna mapoli mengi yanayohitaji uwekezaji!
Akili zako za umaskini ndio unaanzisha mada ya kijinga, kwa wenye akili tutanunua mashamba jirani na Mheshimiwa ili tufaidi miundombinu, huduma za ugani na masoko!
Khaaa! Phd za kukopi na kupaste?
Mkuu ulizia wenyeji wa Kagera na hasa hasa wilaya za Muleba, Bukoba, Karagwe na kadhalika...Wenyeji wa kule migogoro ya ardhi huwa ni ya "EKIBANJA" mashamba ya ukoo yenye migomba na mibuni...hiyo ndiyo migogoro ambayo kesi zake huwa zinafika hadi makama za rufaa! mtu anaweka hadi wakili kwa kesi ya kipande kidogo cha mita 75 za mraba! Ardhi aliyomilikishwa JPM kule inafahamika kama "ORWEYA" kwa maana ya mbuga na mapoli nyingi zipo chini ya serikali za vijiji ambao hata wewe unaweza kwennda kununua kwa ajili ya kuwekeza!Ya Ngoswe mwachie Ngoswe, Soma hapa ‘Migogoro ya ardhi husababisha mauaji na hapa Migogoro ya ardhi Kagera yachangia ongezeko la mauaji - TimesMaijira
KirundiPhD yake aliifanya kwa lugha gani?