Mbona wengine wamenunua kea pesa zao lkn wamepokwa maeneo yao tuacheni ushabiki ni dhambi kutetea maovu.Hatujibu upuuzi mtu anunue kwa pesa yake wewe ulete kelele huyo ni mwanasheria aende mahakamani akashtaki
AiseeHatujibu upuuzi mtu anunue kwa pesa yake wewe ulete kelele huyo ni mwanasheria aende mahakamani akashtaki
Kwahiyo huko kwenu ni pachafu ?Hahhahahha... Tangu lini CHADEMA mmeanza kupinga ufisadi? Agenda hiyo ilishakufa tangu 2015 pale mlipogeuka madodoki ya kusafisha watu.
Katika bandiko lako uliandika kuwa kagera hakuna migogoro ya ardhi, lakini katika utetezi ukasema iko migogoro, Rekebisha kauli yako halafu tuendelee.Mkuu ulizia wenyeji wa Kagera na hasa hasa wilaya za Muleba, Bukoba, Karagwe na kadhalika...Wenyeji wa kule migogoro ya ardhi huwa ni ya "EKIBANJA" mashamba ya ukoo yenye migomba na mibuni...hiyo ndiyo migogoro ambayo kesi zake huwa zinafika hadi makama za rufaa! mtu anaweka hadi wakili kwa kesi ya kipande kidogo cha mita 75 za mraba! Ardhi aliyomilikishwa JPM kule inafahamika kama "ORWEYA" kwa maana ya mbuga na mapoli nyingi zipo chini ya serikali za vijiji ambao hata wewe unaweza kwennda kununua kwa ajili ya kuwekeza!
Jamaa hata asipotangazwa na NEC lakini tutampigia kura za heshima kwa kutufungua mambo mengi sana watanzaniaNashindwa kuamini kuwa mpaka muda huu hakuna hata mmoja wao miongoni waliotajwa aliweza kutoka hadharani kukanusha au kufafanua juu ya tuhuma hizi. Yaani hata ofisi zao zimeshindwa kuwatetea!
Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?
Tutaelewana tu mwaka huu.
Madodoki mbona mna lalanayo na kuamka nayo kwa sasaHahhahahha... Tangu lini CHADEMA mmeanza kupinga ufisadi? Agenda hiyo ilishakufa tangu 2015 pale mlipogeuka madodoki ya kusafisha watu.
Si nilisikia Waziri mkuu wa zamani walimnyang'anya!Mataga wanasema Magu hatakuwa rais wa kwanza kujimilikisha eneo kubwa hivyo hapa Tz, yeye anafuata nyayo za watangulizi wake. Kama Mwinyi, Mkapa na Kikwete wanamiliki maeneo hayo makubwa, kipi cha ajabu kwa Magu?!