Huyo le mutuz nime mdharau..
Kuna muda tunajikuta tunaingia kwenye dhambi ambazo hazituhusu!!!
Sasa swala la Mond na waziri Ruge anaingiaje hapa..ki uhalisia yale maneno aliyo yatoa Mondi kwenye twitter juzi hayafurahishi hata kidogo...
Hakuna mtu asiye jua kuwa Basata kuna tatizo na vilele wasanii wanajua kabisa wanaongozwà na sheria ambazo zimepitwa na wakati na sheria zenyewe za utamaduni ambazo haziendani na mabadikiko yalio fanyika kwenye sanaa ya kipindi hiki..
Sasa mtu anaye jiita akili kubwa kama le mutuz anashindwa kufikiri hata hivi vitu vidogo nilijua atamshauri vizuri Mondi ila ni tofauti.....
Najiuliza kitu hapa Ina maana LE MUTUZ ,TALE, SALLAM NA MOND hawakusikikiza mjadala kati ya BASATA, WIZARA na wadau wa sanaa ulio itishwa na XXL? au kwa kuwa ndo bifu na ishu kama ile wameshindwa kuifatilia?
Tukio sikiliza tulijua dhahili kabisa ndani ya Basata kuna tatizo na sio dogo ni ishu ya mfumo ndani ya basata. Ndomana hata maswali waliyo kuwa wakiulizwa walikuwa wanashindwa kuyajibu....
Huyu Le Mutuz hafai kuwa rafiki...
Ukiwa na Rafiki muda wote akawa ana kusifia kwa unacho kifanya jua dhahiri huyo ndo anakupoteza..Ukweli humuongoza mtu.panapo stahili tutasifia na pasipo stahili tuseme....Ningekuwa mimi Le mutuz nisinge ungana nae labda kwasababu ni shabiki wa Mond.....
MOND AOMBE MSAMAHA TU KWA MANENO ALIYO YATOA..MUSIKI UENDELEE