So sad indeedJust imagine wakikuta mzee anatoka kutafuta riziki ya watoto wake wanakula ugoko.
Wakikuta bibi katoka feli kununua samaki ili akakaange auze kwa ajili ya kujipatia riziki ya kusomesha watoto na wajuu zake jamaa wanaondoka na ndoo ya samaki huku bibi akishushiwa kipigo cha mbwa mwizi.
Afu linatokea jitu kuwatetea hawa wavunja sheria.
Kwanza mwanajeshi ndie alienza ugomvi.Na nyinyi raia wekeni utii kwa askari wenu. Kumfanyia baya askari ni kulishushia heshima jeshi. Kama kuna uonevu jeshi lina mamlaka zake, ukiripoti jambo linafanyiwa kazi.
Muuaji ni mtu mmoja, na tayari alikuwa ashakamatwa. Raia wanaopigwa hawakumuua mtu , wala kuwepo eneo la tukio, na wengine hata taarifa ya huyo mwanajeshi kuuwawa walikuwa hawana.nyie wapumbavu hamjui hata maana ya jeshi, Monduli pale duka bovu walivunjaga mpaka vinyumba vya wamasai baada ya kumpiga mwanajeshi na sime. Huko tena wameua? Vijana wa Dsm ni washamba sana na wapumbavu. Lazima aliyeua apatikane na bado mtapigwa sana mpaka mshike adabu. Heshimu wanajeshi hivyo visiasa vyenu uchwara kafanyieni huko vijiweni kwenu.
Kiongozi kauwawa na mtu mmoja, lkn waliopigwa na kujeruhiwa ni zaidi ya watu mia moja, ambao hawakuwa eneo la tukio, na wala hawakuwa wanafahamu kilichotokea.Sasa ndo wanalikimbilia kuumuua kiongozi
mnaua luten kanali mchekewe?lazima mpate doso mbebe dunia.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, nafikiri wengi wetu hapa JF tumesikia, tumesoma na wengine kuona kile kinachosemekana kufanywa na jeshi letu, ambalo tumelipa jina la "Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Jeshi hilo tulilipa jina hilo kwa kuamini kwamba, jeshi hilo limeundwa kwa ajili ya kumlinda, na kumpigania mwananchi wa Tanzania.
Lakini pia liliundwa kwa ajili ya kuilinda mipaka ya Tanzania, pamoja na viongozi wa Tanzania akiwemo raisi wa nchi (ambae ni amiri jeshi wao mkuu) mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine mbali mbali. Hilo ndio lilikuwa lengo la kuundwa kwa jeshi hilo, lkn pia kupewa jina hilo (JWTZ)
Sasa inashangaza sana jeshi ambalo lingewalinda na kuwapigania wananchi, ndio linageuka kuwa jeshi la kuwapiga hovyo wananchi, kuwatesa wananchi na hata wengine kuwauwa wananchi bila sababu za msingi.
Yes tunajua kwamba kila binadamu ana mapungufu yake, hivyo wapo wananchi wanaofanya makosa, au mambo mabaya kwa jeshi letu. Lakini kuna sheria na mahakama ambavyo vinaweza kutumika kuwaadhifu wale wanaofanya mambo mabaya kwa jeshi letu, na sio jeshi hilo kukimbilia tu kujichukulia sheria mkononi mpaka kupelekea maafa kama yaliotokea Kawe na kwengineko.
Malalamiko ya wananchi au raia dhidi ya jeshi hayakuanza leo, ila cha kushangaza badala ya kumalizwa kwa njia ya amani, ndio yanazidi kuongezeka kwa njia za kuchochewa na jeshi hilo hilo lililopewa dhamana ya kutulinda.
Kwa kilichotokea juzi huko Kawe, nafikiri viongozi wengi wa kiserikali wanalifahamu, lkn kwa vile pengine sio wahusika wakuu wa maswala ya kiusalama ndio maana hawahitaji kuliingilia swala hili.
Hivyo sisi wananchi tunamuomba waziri husika wa ulinzi mama yetu Stergomena Tax, pamoja na waziri wa mambo ya ndani brother Masauni waingilie kati swala hili kwa kuonya, kulaani na kutolea maelezo swala husika.
Msingoje mpaka raisi aje kulizungumzia mwenyewe, na wakati nyinyi kama mawaziri mmepewa dhamana ya kutulinda.
Kwa niaba ya wananchi wanyonge, ni mimi mpigania haki zao Mr Dudumizi wa somewhere in Kawe.
Soma hapo chini, maana naona baadhi yenu hamjajua kwanini nimeandika hii thread.mnaua luten kanali mchekewe?lazima mpate doso mbebe dunia.
Kiongozi kauwawa na mtu mmoja, lkn waliopigwa na kujeruhiwa ni zaidi ya watu mia moja, ambao hawakuwa eneo la tukio, na wala hawakuwa wanafahamu kilichotokea.
Hapana mkuu, yalimkuta baba yangu mdogo (umri miaka 55) aliekuwa anatokea kwake Tabata kuelekea Kawe kumtizama mdogo wake (bamdogo) ambae ni mgonjwa.Mkuu yalikukuta nini?
Wakipelekwaga kule mara nyingi huishia kukutwa gest na mabinti wa kinyarwanda wanaovuka boda kwenda kuchuma falanga (pesa)Congo.Kama wana hamu ya kupiga waende Congo wakawapige M23
Very very sad mkuu...So sad indeed
Mkuu ulichoandika hapa kinaonesha kuwa wewe ni mtu muungwa san, unaweza kuishi vizuri na watu mbali mbali tena kwa amani.Kuna shida kwa wanajeshi wetu. Uwezo wao wa kuwaza na kung'amua mambo ni Mdogo sana na pia ni washamba. Hao raia wanaopigwa na surubishwa ndio waliomuua huyo mkuu wao ?? Hii ndio Shida ya kuchukua form four failure. Uwezo mdogo wa kufikiri kuanzia kwa Ma luetenants. Kulikuwa na shida gani kama angempisha huyo dogo au kumpotezea tu akaendelea na safari.
Huo ni usela mavi soja.Sasa unataka nini ? Raia wamechokoza geshi? ...tuwe subira yatapita ni upepo mbaya tuuu.......karibu kambini tuyajenge
Jeshi lolote iwe jwtz, polisi, uhamiaji nk hawaruhusiwi kuvunja sheria.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, nafikiri wengi wetu hapa JF tumesikia, tumesoma na wengine kuona kile kinachosemekana kufanywa na jeshi letu, ambalo tumelipa jina la "Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Jeshi hilo tulilipa jina hilo kwa kuamini kwamba, jeshi hilo limeundwa kwa ajili ya kumlinda, na kumpigania mwananchi wa Tanzania.
Lakini pia liliundwa kwa ajili ya kuilinda mipaka ya Tanzania, pamoja na viongozi wa Tanzania akiwemo raisi wa nchi (ambae ni amiri jeshi wao mkuu) mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine mbali mbali. Hilo ndio lilikuwa lengo la kuundwa kwa jeshi hilo, lkn pia kupewa jina hilo (JWTZ)
Sasa inashangaza sana jeshi ambalo lingewalinda na kuwapigania wananchi, ndio linageuka kuwa jeshi la kuwapiga hovyo wananchi, kuwatesa wananchi na hata wengine kuwauwa wananchi bila sababu za msingi.
Yes tunajua kwamba kila binadamu ana mapungufu yake, hivyo wapo wananchi wanaofanya makosa, au mambo mabaya kwa jeshi letu. Lakini kuna sheria na mahakama ambavyo vinaweza kutumika kuwaadhifu wale wanaofanya mambo mabaya kwa jeshi letu, na sio jeshi hilo kukimbilia tu kujichukulia sheria mkononi mpaka kupelekea maafa kama yaliotokea Kawe na kwengineko.
Malalamiko ya wananchi au raia dhidi ya jeshi hayakuanza leo, ila cha kushangaza badala ya kumalizwa kwa njia ya amani, ndio yanazidi kuongezeka kwa njia za kuchochewa na jeshi hilo hilo lililopewa dhamana ya kutulinda.
Kwa kilichotokea juzi huko Kawe, nafikiri viongozi wengi wa kiserikali wanalifahamu, lkn kwa vile pengine sio wahusika wakuu wa maswala ya kiusalama ndio maana hawahitaji kuliingilia swala hili.
Hivyo sisi wananchi tunamuomba waziri husika wa ulinzi mama yetu Stergomena Tax, pamoja na waziri wa mambo ya ndani brother Masauni waingilie kati swala hili kwa kuonya, kulaani na kutolea maelezo swala husika.
Msingoje mpaka raisi aje kulizungumzia mwenyewe, na wakati nyinyi kama mawaziri mmepewa dhamana ya kutulinda.
Kwa niaba ya wananchi wanyonge, ni mimi mpigania haki zao Mr Dudumizi wa somewhere in Kawe.
Kweli kbsHuo ni usela mavi soja.
Hakuna mtu mwenye akili anaekubaliana na matukio yote mawili. Kuua mtu au kupiga raia.Jeshi lolote iwe jwtz, polisi, uhamiaji nk hawaruhusiwi kuvunja sheria.
Kuchukua sheria mkononi ni moja ya kosa la kuvunja sheria. Hivyo wahusika wote wwaliopiga raia washuulikiwewa sheria.
Na uyo alieua askari akamatwe na kufikishwa mahakamani akajibu sababu ya mauaji.
Kwishney!
Gwaride La utambuzi lihusike! [emoji123][emoji106]Sio Mgambo,ni Askari wasio na nidhamu Wananchi wanatakiwa wapewe elimu kuwa lazima warikodi namba na Insignia za vikosi hivyo na kambi wanayotoka kisha kuripoti Polisi.
Hahaha.. kivipi mkuu!!Gwaride La utambuzi lihusike! [emoji123][emoji106]
Asubuhi Askari woote kikosini kunakuwa na Master parede!Hahaha.. kivipi mkuu!!