DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Adhabu ya mtu anayeimuibia muajiri wake ni kupigwa risasi na kufa? Huyo jamaa ni mjinga, kwa pesa alizonazo angeweza kupeleka kesi mahakamani na kuwafunga hao na kuwa fundisho kwa wengine.

Ujinga mwingine ambao amefanya ni kuubeba mwili na kwenda kuutupa kibaha. Hapo tayari inaonyesha alikusudia kufanya mauaji

Mlinzi na muuaji wote walikuwa na silaha. Hatujui kilichojiri kabla ya mauaji. Tuendelee kukusanya taarifa. Inawezekana vitendo vya muuaji ni crime of passion baada kukuta wizi unatokea mbele ya walinzi. Hii inaweza kugeuza murder to manslaughter.

Defendant is entitled to a pesumption of innocence and competent defense.
 
Hapo wasambaa watapewa pesa watakaa kushoto. Kesi itaisha. Ukiona tajiri jela jua kakosana na mamlaka.
Kosa la zumarid ni kutokuwa na connection kama wafanyavyo wamimina mafuta.
Na ili wamtoe pesa zaidi lazima wamyonjeshe jela aende kidogo mahabusu,akikaaa huko lazima ataomba poo,atatoa pesa yoyote ilimradi arudi uraiani
Ila sasa maisha yake hayato kuwa kama awali

Ova
 
Na ili wamtoe pesa zaidi lazima wamyonjeshe jela aende kidogo mahabusu,akikaaa huko lazima ataomba poo,atatoa pesa yoyote ilimradi arudi uraiani
Ila sasa maisha yake hayato kuwa kama awali

Ova
True wajinga mjini ni wa kula tu pesa zao,anafungiwa ndani kwanza kama miezi 3 hivi Ili apandishe dau hapo zaidi ya b 2 awakosi,ndugu wanapewa 700 iliyobaki mnakaa mezani.
Asipoliona jua ndo akili ukaa sawa.
Ubabe wako shibe kwa wengine.
 
Yeye kama alihisi kuna wizi, alitakiwa weka mtego...

Kampuni ya ulinzi itakuwa ilikuwa yahusika na wizi.

Hapo angeishtaki kampuni ya Ulinzi kwa wizi

Angeweka utaratibu wa hakuna chochote kutoka au kuingia ikifika muda fulani
Bilionea mshamba huyu

Watu kama hawa majumbani mwao

Wanahesabu mpaka vijiko

Ova
 
True wajinga mjini ni wa kula tu pesa zao,anafungiwa ndani kwanza kama miezi 3 hivi Ili apandishe dau hapo zaidi ya b 2 awakosi,ndugu wanapewa 700 iliyobaki mnakaa mezani.
Asipoliona jua ndo akili ukaa sawa.
Ubabe wako shibe kwa wengine.
Sahvi ni mwendo wa kula pesa zake tu

Mshamba huyu,

We bilionea unaibiwa unashindwaje

Kutumia nguvu yako kudhibiti uwizi

Ova
 
Mlinzi na muuaji wote walikuwa na silaha. Hatujui kilichojiri kabla ya mauaji. Tuendelee kukusanya taarifa. Inawezekana vitendo vya muuaji ni crime of passion baada kukuta wizi unatokea mbele ya walinzi. Hii inaweza kugeuza murder to manslaughter.

Defendant is entitled to a pesumption of innocence and competent defense.
KWA pesa atashinda kesi lakini inatakiwa aliwe kwanza,hawa malimbukeni wa utajiri ndio namna yao ya kula pesa zao
 
Hio ni mbuzi imefia kwa muuza supu unaachaje sasa pesa iliyokuja yenyewe, huyo ni wa kunyonyoa pesa mpaka basi
Kabisa

Kwanza lazima wampeleke segerea

Akifika huko wakati wa kuingia akiambiwa vua nguo chuchuma
Nk...atajiona hana thamani
Akikaa huko atatumia pesa yyt ili atoke
Mkuu asilimia kubwa ya wanao miliki silaha haziwasaidi zaidi ya kuwaingizia matatizo tu
Huyu jamaa nmemtoa thamani kbs,pesa ilikosea njia tu kwake kumfata

Ova
 
Ndiyo maana hawa jamaa wa MGas huduma imekuwa mbovu sana, kuishiwa gas walikuwa wanakuletea kabla haijakata sasa hivi inakata ndiyo wanaoleta,

Wateja kibao wanataka huduma ila vifaa hawana.

Kifupi ufanisi umepungua
Tajiri yupo bize kupambana na hatia yake lazima kampuni iyumbe,ni wakati SAsa wa kampuni shindani kuteka soko,hii biashara ni nzuri Sana imepokelewa mikono miwili, uhitaji wa soko ni Mkubwa sana
 
Wamiliki wengi wa silaha zimegeuka mzigo kwao wapo waliojiua, walioua wenzi wao, ndugu, watoto, nk. Jiulize unao ulazima wa kumiliki silaha. Kama una tabia ya silaha achana na wazo la kumiliki silaha, bora uwe na bodigadi. Halafu ukitaka silaha nunua mpya achana na hizi used nyingi zina maagano yaani tayari zishaua so ukiwa nayo ni lazima tu utaua sababu tayari imebeba damu ilishasababisha mauaji,. Ni salama zaidi kuwa na bodigadi na walinzi binafsi nyumbani kuliko kumiliki silaha. Labda uwe na utulivu wa kutosha wa akili, lakini kama huna hasira au mke au mme ana hasira achana na hio kitu. Maana Hasira ni mlango wa sebuleni wa shetani mda wowote atakuvaa utaua. Utatoka jela kwa sababu unayo pesa lakini je hatia ya kuua utaifutaje damu ni muhuri wa moto aufutiki hadi kaburini.
 
Wamiliki wengi wa silaha zimegeuka mzigo kwao wapo waliojiua, walioua wenzi wao, ndugu, watoto, nk. Jiulize unao ulazima wa kumiliki silaha. Kama una tabia ya silaha achana na wazo la kumiliki silaha, bora uwe na bodigadi. Halafu ukitaka silaha nunua mpya achana na hizi used nyingi zina maagano yaani tayari zishaua so ukiwa nayo ni lazima tu utaua sababu tayari imebeba damu ilishasababisha mauaji,. Ni salama zaidi kuwa na bodigadi na walinzi binafsi nyumbani kuliko kumiliki silaha. Labda uwe na utulivu wa kutosha wa akili, lakini kama huna hasira au mke au mme ana hasira achana na hio kitu. Maana Hasira ni mlango wa sebuleni wa shetani mda wowote atakuvaa utaua. Utatoka jela kwa sababu unayo pesa lakini je hatia ya kuua utaifutaje damu ni muhuri wa moto aufutiki hadi kaburini.
Watu wengi silaha wanazimiliki mfano wa sim tu
Silaha hizo hizo zinawatesa tu sana sana

Ova
 
Back
Top Bottom