DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
I believe that the security company is part and parcel of whole conspiracy. Death of the watchman is collateral damage. The security company may have been benefitting from whatever wrong doing happening.
Utakuta kampuni ya ulinzi aliyoiweka
Pia ndiyo zile za kajamba nani
Pesa ipo weka kampuni inayoeleweka

Ova
 
Yuko na mama anakula maisha
Screenshot_20221215-094238.png
 
Wamiliki wengi wa silaha zimegeuka mzigo kwao wapo waliojiua, walioua wenzi wao, ndugu, watoto, nk. Jiulize unao ulazima wa kumiliki silaha. Kama una tabia ya silaha achana na wazo la kumiliki silaha, bora uwe na bodigadi. Halafu ukitaka silaha nunua mpya achana na hizi used nyingi zina maagano yaani tayari zishaua so ukiwa nayo ni lazima tu utaua sababu tayari imebeba damu ilishasababisha mauaji,. Ni salama zaidi kuwa na bodigadi na walinzi binafsi nyumbani kuliko kumiliki silaha. Labda uwe na utulivu wa kutosha wa akili, lakini kama huna hasira au mke au mme ana hasira achana na hio kitu. Maana Hasira ni mlango wa sebuleni wa shetani mda wowote atakuvaa utaua. Utatoka jela kwa sababu unayo pesa lakini je hatia ya kuua utaifutaje damu ni muhuri wa moto aufutiki hadi kaburini.
Kuna mtu alishawahi kuidadavua hii mada inayohusu silaha used,sikumbuki ni nani huku...ila Damu hutaka Damu...hua haina replacement.
 
Bilionea unabeba silaha kutoka nyumban kwa ajili ya kuanzisha ugomvi ofisini
Mkewe msimamizi wa stoo ameshagundua kuna wizi unafanyika na watu wanajulikana kwann asiwaite wachukuliwe sheria
Mke kakujaza upepo ili usijione mnyonge unabeba silaha matokeo yake unaua
Oya mzabzab kuna mke ya bilionea huku iko free fanya mchakato utafune mbususu
 
Munajifariji sana kuna mzee wangu alikuwa ni mwalimu alimuua kijana ambae alikuwa mchunga wa mbuzi kosa aliwaingiza shambani kwake,alichokakifanya mzee alimpiga mpaka akampasua bandama mwaka 1998 hiyo na huyo dogo siku ile usiku alifariki,kesi ilimalizwa kwa pesa na mzee mpaka leo yupo alishastaafu tayari
sawa lakini Dunia imebadilika sana yaani TZ ya mwaka 1998 na leo ni vitu viwili tofauti sana mkuu japo pesa ni ileile
 
Bilionea unabeba silaha kutoka nyumban kwa ajili ya kuanzisha ugomvi ofisini
Mkewe msimamizi wa stoo ameshagundua kuna wizi unafanyika na watu wanajulikana kwann asiwaite wachukuliwe sheria
Mke kakujaza upepo ili usijione mnyonge unabeba silaha matokeo yake unaua
Oya mzabzab kuna mke ya bilionea huku iko free fanya mchakato utafune mbususu
Bilionea mshamba hyo

Ova
 
Munajifariji sana kuna mzee wangu alikuwa ni mwalimu alimuua kijana ambae alikuwa mchunga wa mbuzi kosa aliwaingiza shambani kwake,alichokakifanya mzee alimpiga mpaka akampasua bandama mwaka 1998 hiyo na huyo dogo siku ile usiku alifariki,kesi ilimalizwa kwa pesa na mzee mpaka leo yupo alishastaafu tayari
Huyo mzee wako asubiri kesi halali yenye majaji wasio jua rushwa akikata Moto.
 
Chief mbona una conclude kbsa kwamba aliua km ulikuwepo eneo la tukio?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sorry kama ni ndugu yako au colleague. Ila hukumu ya JF huishia humu humu wala haifiki nje. Nime conclude kwa assumption tu kwamba alichoandika mtoa thread hii ni cha kweli. Jaji at rely kwewnye ushahidi utakaotolewa basi
 
Back
Top Bottom