rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Daah noma sanaa...!!Yupo nje muda mrefu sana [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah noma sanaa...!!Yupo nje muda mrefu sana [emoji23][emoji23]
Usnilishe maneno mkuuKwa hiyo wazungu wametoa rushwa kwa Mahakama na Polisi?
Yes.... Hata mimi nmefurahiAfadhali maskini
Unafurahia wanaponunua vyombo vya haki jinai kwa fedha?? Marehemu amekuwa kama mzoga wa fisi au mbwa?? Hana haki kwa vile wazungu wametoa rushwa!!Yes.... Hata mimi nmefurahi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa mkuuUnafurahia wanaponunua vyombo vya haki jinai kwa fedha?? Marehemu amekuwa kama mzoga wa fisi au mbwa?? Hana haki kwa vile wazungu wametoa rushwa!!
Imefikia wapi hii?Bilionea unabeba silaha kutoka nyumban kwa ajili ya kuanzisha ugomvi ofisini
Mkewe msimamizi wa stoo ameshagundua kuna wizi unafanyika na watu wanajulikana kwann asiwaite wachukuliwe sheria
Mke kakujaza upepo ili usijione mnyonge unabeba silaha matokeo yake unaua
Oya mzabzab kuna mke ya bilionea huku iko free fanya mchakato utafune mbususu
Sijui imefikia wapi hiiImefikia wapi hii?
Kesi iliisha, na jamaa nasikia yuko huruImefikia wapi hii?
Hii ndio inaweza kuwa sababu kubwa ya kutoendelea na kesi. Saa nyingine hauwezi kupata ukweli uku kwenye media, nini hasa kilichotekea.Lakini ni lazima ndg watakua walimpoza DPP, maana DPP ndiyo mwenye kesi yake ya Jinai,hao ndg ni Kama mashahidi tu kwenye kesi ya Jinai!!
Wadau nimemuona Andron kwenye habari tbc leo ameingia dili kubwa aloJikaze mkuu...
Ameongia dili la Tsh ngapi? Na nani?Wadau nimemuona Andron kwenye habari tbc leo ameingia dili kubwa alo
Sijui kiasi ila nchi 3 za Europa. Hii kesi yake iliisha kumbe? Aisee daahAmeongia dili la Tsh ngapi? Na nani?