Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hahaha burna boy sahivi anatamani airudishe hio tuzo,,, wapopo walivyomkomalia anafumuliwa marinda jamaa hana hamu na hio tuzoHuyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.
Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.
Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Fatilia Hollywood kuna wale jamaa wanaitwa gate keepers ndo kama hao kwenye tuzoNapenda nijue connection iliyopo kati ya tuzo za Grammy na P Diddy
Aliliwa huyo mbwaKwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves..
Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa pdiddy na walifanya vitu vingi sana na Vingi hawezi kuvisema..
Vipi bado tumuamini Kuwa yuko safe au tupate mashaka kama ya Producer wake (Pdidy)? na wengine..
View attachment 2949658
Ikumbuke Kuwa 50 cents aliwahi kusema kuwa Alitaka Kushoot Diddy baada ya kutaka kumfanyia Shopping..
View attachment 2949669
Na hata Katt williams anasema ukialikwa kwenye Party ya Diddy usiende kama we ni mwanaume maana utaaa...
View attachment 2949670
Pasaka Njema kwa Wakristo wote na Ramadhani kareem kwa waislamu..
Haleluya kafufukaaaaa
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.
Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.
Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Shahidi atakuwa Nani mkuu??Hahaha sema kwann wagum Tz tusiamue kumshtak didy keajili ya mondi ?
Angeshinda GrammyKuna kila dalili za kwamba ameliwa kiboga
🤔🤔Kalamu ya Dhahabu na wino wa chuma
Nilitaka niku tag bana 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌Kumesha kuchaa sasa, mada pendwa ya waja iko mezani, huku wakijifanya hawatakiii.
Unafiki kwa Wabongo uko damuni, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeremia 17:1
Hyo scene ilishapangwa toka mbinguni Duniani ilikua shooting tu inafanyika sidhani kama Yuda yupo motoni saivi.....maana iliwezekana kabisa kumkomboa mwana wa adamu kwa Mungu kumuuua shetani na sio kumtoa kafara YesuYeremia 17:1
Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma, na kwa ncha ya almasi; imechorwa katika kibao cha moyo wao, na katika pembe za madhabahu zenu;
Nop sio Yuda huyo mkuu!Hyo scene ilishapangwa toka mbinguni Duniani ilikua shooting tu inafanyika sidhani kama Yuda yupo motoni saivi.....maana iliwezekana kabisa kumkomboa mwana wa adamu kwa Mungu kumuuua shetani na sio kumtoa kafara Yesu
Ooh sorry Dr! Nshachanganya madesa akili za kuwaza pilau la pasaka hiiiNop sio Yuda huyo mkuu!
Yuda anayesemwa hapo ni Mtoto wa Yakobo!
Baba wa Peresi na zera ambaye alitembea na
Mke wa Mtoto Wake ndo wakazaliwa hao watoto..
Ambao ndo kizazi kinacholeta mpaka kwa yesu!
sinza pazuri. Puff DaddyZi fwatazo ni dalili zinazo ni hakikishia kwamba huenda ikawa kweli jamaa ana kazwa
1) kulamba lamba midomo Kama demu mbele ya camera
2)mavazi yake yanatia wasiwasi Sana
3)Kutikisa matako Kama mwanamke mbele ya camera
4)maneno machafu yanavyo husiana na ngono kinyume na maumbile
5)ule gevu wa mwili jamaa ka legea Sana aiseeh
6) namba alivyo zungumza kwenye hiyo video and natia wasi wasi
Pamoja na hayo.kuna uwezekana ikawa ni kinyume na mafikilio yetu lakini Kama kweli aliingia kwa did sizani Kama Inge weza kuwa rahisi kwa mondi kuchomoka
hasa ukiangalia jamaa hakuna kitu ana penda Kama kuwa super star Nina amini anaweza fanya chochote abaki pale pale