Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

Tuhuma za P-Diddy: Diamond Platnumz alifanywa nini na P-Diddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera?

Uganda kuna mmmoja nikiwa kule tukawa tunapenda sana kwenda na shemeji yako wa kule

Tuukajuana mmmh uwezi amini siku niko na bintmu7 akaenda choonii akaja akaongea amambo ya aibu niko pemben na mwanaoo

Ur lkn....
Nyokonyoko kibao
Miss u. Na n mwanaume

Aisee

Si ahamu nao mpaka kesho
Mzee wa vilainisho kama kawaida?🤣
 

Attachments

  • 1726790914200.jpg
    1726790914200.jpg
    326.8 KB · Views: 11
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.

Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.

Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Na wizkid je?
 
Kipi
Kwani tuzo za grammy diddy ndie mmiliki?
Curious to know
ndi wasanii wa bongo walivyokuwa wanamlalamikia Ruge,ndivyo ilivyo kwa Diddy. Tuzo za nje utasikia flani kachaguliwa na Ruge pia hata issue ya wasanii kwenda ikulu. Kwamba Ruge alikuwa anapendekeza. Ndivyo ilivyo kwa Diddy .
 
unadhani kuliwa tacle mchezo muacheni aweweseke tu nyaaaambaaaaffffff simlikua mnasema tajiri kuliko wote kumbe alienda kufumuliwa malinda
 
Nimeona diamond akifanya interview ana declare alienda kwa p diddy akiwa na swiz beat kuna vitu walifnya lakni hawez kusema hadharani ana maana gani huyu Goat wa Bongo fleva?
Mm nafikiri kwa sekeseke linaloendelea angekaa kimya na story za didy
Mbaya zaidi yule mpiga picha wake wa zamani lukamba naye kaaja na mpya kwamba didy aliwaomba wapande juu wakaangalie movie wakashtuka
Wakagoma kwenda tumebaKi na simtofahamu kuhusu msanii wetu
 
Wese hatari...

Mama mkanye mwanao na wese hili ni Highly flammable..
FB_IMG_1727202760964.jpg
 
UNAAMBIWA P. DIDDY KWA 50 CENT ALIGONGA MWAMBA

50 Cent anasema siku ya kwanza alipogundua uchafu wa P. Diddy ilikua kwenye studio za tv, wakiwa katika live interview kwenye tv P. Diddy alimwambia 50 Cent, "50 nataka nikutoe out siku 1 nkufanyie shopping unaonaje ofa hiyo bro?"

50 Cent anasema alishtuka na kujibu pale pale kwa hasira, "Huyu mpuuzi anaongea upumbavu gani huu? Nitamlamba makofi hapa hapa aisee!"

50 Cent anasema kuanzia siku hiyo P. Diddy anamuogopa na walikua maadui hadi leo. 50 Cent anasema katika kipindi chote cha urafiki wao P. Diddy alikuwa hajawahi kumuonesha upuuzi huo ila siku hiyo alishtuka na kugundua jamaa ni bedui

Siku za karibuni 50 Cent amekua akiwacheka waliokua marafiki wa P. Diddy kwa kusema yeye toka P. Diddy aongee upuuzi ule kwenye tv alishajua kwamba jamaa ni nyang'au na alimuonya kwamba akithubutu kumshirikisha upuuzi wowote anampasua

Kwenye list ya mastaa 50 Cent na Mike Tyson wanatajwa hadi sasa kama ndio wababe pekee waliomshtukia P. Diddy na kukataa upuuzi wake bila kupepesa macho, Tyson nae walikytana kwenye live interview kwenye Tv P. Diddy akawa anapeleka mkono kupapasa paja la Tyson, Tyson akamshika ule mkono akamsukuma kando na kuhamia siti mbali na yeye kabisa

Msanii mwingine maarufu anayetajwa kupitia madhila ya P. Diddy ni Justin Bieber, kesho nitawaleta story yake mnikumbushe
 
Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.

Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.

Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Yeye Diddy ana Grammy awards ngapi?
 
Hizo ni propaganda wanazofanya kuaminisha watu Didy ana makosa, walikuwepo wap siku zote Mpaka wote waje kusema now?
Usher, Justin na wengine
Kumbuka wapo kwenye "industry" inayowacontrol celebrities na sababu wanataka fame na money ni lazima wafate rules,

Didy alikuwa controlled na kurekodiwa makusudi ili siku wa kumwangusha iwe rahisi Kwa kuiaminisha jamii madudu yake.

Didy anajua wapi amezingua that's why haya yote yanakuja,
Kumbuka walivyomshusha Michael Jackson, R.kelly, DMX na wengine

Wazungu ni nyoko sn industry Wanaicontrol wao, just check walimfanya Kanye West aonekane chizi na kafilisika kitu ambacho si kweli, na Kanye kasema sn they can't control him like what they are doing to Jay z, Didy and others.
Nowadays ktk industry all artist wameambiwa to go against Didy ili jamii iamini na ndo wanachofanya
 
Hizo ni propaganda wanazofanya kuaminisha watu Didy ana makosa, walikuwepo wap siku zote Mpaka wote waje kusema now?
Usher, Justin na wengine
Kumbuka wapo kwenye "industry" inayowacontrol celebrities na sababu wanataka fame na money ni lazima wafate rules,

Didy alikuwa controlled na kurekodiwa makusudi ili siku wa kumwangusha iwe rahisi Kwa kuiaminisha jamii madudu yake.

Didy anajua wapi amezingua that's why haya yote yanakuja,
Kumbuka walivyomshusha Michael Jackson, R.kelly, DMX na wengine

Wazungu ni nyoko sn industry Wanaicontrol wao, just check walimfanya Kanye West aonekane chizi na kafilisika kitu ambacho si kweli, na Kanye kasema sn they can't control him like what they are doing to Jay z, Didy and others.
Nowadays ktk industry all artist wameambiwa to go against Didy ili jamii iamini na ndo wanachofanya
Kama nakuelewa hivi
 
Back
Top Bottom