Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Mambo ya ovyo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa vilainisho kama kawaida?🤣Uganda kuna mmmoja nikiwa kule tukawa tunapenda sana kwenda na shemeji yako wa kule
Tuukajuana mmmh uwezi amini siku niko na bintmu7 akaenda choonii akaja akaongea amambo ya aibu niko pemben na mwanaoo
Ur lkn....
Nyokonyoko kibao
Miss u. Na n mwanaume
Aisee
Si ahamu nao mpaka kesho
HahahahhaaaqaaaaahahahahaaaaaaaaMzee wa vilainisho kama kawaida?🤣
Na wizkid je?Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.
Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.
Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Kwanin Pdidy mnamuita Msomali?mkuu sio kila aliefanya tu anapata tunzo, kuna performance ya aliemfurahisha vizuri Bwana Ali Msomali pia huwa inazingatiwa
ndi wasanii wa bongo walivyokuwa wanamlalamikia Ruge,ndivyo ilivyo kwa Diddy. Tuzo za nje utasikia flani kachaguliwa na Ruge pia hata issue ya wasanii kwenda ikulu. Kwamba Ruge alikuwa anapendekeza. Ndivyo ilivyo kwa Diddy .Kwani tuzo za grammy diddy ndie mmiliki?
Curious to know
Mfumo gani huo mzeee hata kama ni kiki za kuhisiwa kuliwa tacle sio poaumejaa kwenye mfumo
wenzio wanatembea na kiki
Mara ya pili naskia hiz tuhumaAagh tayari huyu😂
Yeye Diddy ana Grammy awards ngapi?Huyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.
Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.
Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.
Kama nakuelewa hiviHizo ni propaganda wanazofanya kuaminisha watu Didy ana makosa, walikuwepo wap siku zote Mpaka wote waje kusema now?
Usher, Justin na wengine
Kumbuka wapo kwenye "industry" inayowacontrol celebrities na sababu wanataka fame na money ni lazima wafate rules,
Didy alikuwa controlled na kurekodiwa makusudi ili siku wa kumwangusha iwe rahisi Kwa kuiaminisha jamii madudu yake.
Didy anajua wapi amezingua that's why haya yote yanakuja,
Kumbuka walivyomshusha Michael Jackson, R.kelly, DMX na wengine
Wazungu ni nyoko sn industry Wanaicontrol wao, just check walimfanya Kanye West aonekane chizi na kafilisika kitu ambacho si kweli, na Kanye kasema sn they can't control him like what they are doing to Jay z, Didy and others.
Nowadays ktk industry all artist wameambiwa to go against Didy ili jamii iamini na ndo wanachofanya
Kmmk 🤣🤣🤣Hahahab mwaisa alikimbia lakini 🤣🤣
View attachment 2949664