DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu Fureshimani, tunaxungumzia Tanzania na sio duniani!, fani inayoongoza kwa heshima Tanzani ni
  1. Mwanasiasa
  2. Udakitari,
  3. Sheria
Usilinganishe Bongo na Ulaya.
P
You are very delusional than i even thought.

You need to take a pill bro! Panadol, preferably!

Kwa fikra hizi, si ajabu kusikia sheria inasomwa na wateule wa Kimungu.

This is indeed a mental disease.
 
Stop nonsense we mzee.....

What is Ilboru... what have you done so far zaidi ya kupiga porojo tu...

Let the young generation get the opportunities they deserve na sio kutuletea stori za ujima za Divisheni one ya Kabudi na blah blah za ajabu ajabu.

Ujima ujima tu...
Nimeanza kumdharau huyu mzee kumbe Ni mjinga ndio maana wengi wanamchukia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
😄😄😄😄😄😄 hatari
Siyo powa kabisa yani. Kama kule kwenye BAR EXAM ARUSHA, nako kulikuwa hakufai. Kuna Professor wa UDSM alienda kufanya mtihani na akawakuta wanafunzi wake ndiyo Panelists. Aisee, walimnyoosha vibaya kweli akakalia kichwa. Dada mwingine tulikuwa naye kwa AG, ni kichwa haswaa, yaani navyokwambia ni kichwa kweli namaanisha. Kufika Arusha wajuba wakala kichwa vizuri tu....

Hata yule Prof Palagamba Kabudi isingekuwa ni Jaji Mkuu kumzawadia uwakili kwenye sahani, angeenda kule Arusha kufanya BAR EXAMS wajuba wangeshakula kichwa zamani sana. Sema jamaa lina bahati, lilipewa uwakili wa heshima bila hata kutoa jasho....
 
Hakuna lolote, sheria za watoto wa kike hizo anybody can study it.

Shida ni nyie mawakili wasomi uchwara mnaowalaghai watu kwamba sheria ni kwa ajili ya wateule wa kimungu.

Mna usomi gani HKL hizo ujinga mtupu!

Ati wakili msomi! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acheni vijana wapate fursa na sio kujitia tia usomi feki na kukumbatia taaluma kwa ajili ya mafisadi wachache!
Eti limtu Lina Soma hkl ,hgk ,hge ,nae anakuja kututambia miamba jamn mm nawangaliaga nasema HV Hawa wanajuwa mzuli ya huko tuliko sisi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaha a luminary club of enlightened minds!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

A civil procedure book can not enlighten your mind, don't be a dummy!

Ndio ninasoma username yako. Wewe ni FURUSHI kweli kweli.[emoji706]
 
Paschal leo umepuyanga..

Elimu ya juu inayoheshimika duniani zama hizi ni (STEM degree)

Hizo havard, oxford, zinaheshimika sababu ya STEM Courses

Stem inamaanisha Science , Technlogy, Engineering Na Mathematics

Kama unabisha fanya research kisha ulingainishe fani za STEM na sheria zipi ni fani ngumu na zenye heshima duniani zama hizi

Hoja yako ni subjective.

Huwezi kusema moja kwa moja udaktari au uhandisi ni fani ngumu kuliko sheria. Kwasababu hujasoma zote kupima ugumu wake.

Vile vile, huwezi kusema sheria ni ngumu kuliko udaktari au uhandisi kwasababu hujasoma vyote hivi kupima ugumu.

NB : kuna article nilisoma mahali, huyo mtu alisoma both law & medicine separately. Alikuja na conclusion = law is more harder than medicine.
 
Hahahaaa... you must be a very funny mentally unstable paralegal who is hiding somewhere in a village law firm.

Mimi ni zaidi ya huo upumbavu wa hiyo inayoitwa Law school.

Na nitaendelea kuwachana tu anytime siku saba za wiki.

Hiyo HKL yako haiwezi kunibabaisha.
Wape dawa Leo likitu limesoma hkl nae anajihita wakili msomi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yet Zambia is one of the most shithole countries in Africa!

Na unaweza kukuta malengo sio kukuza ubora wa taaluma, isipokuwa ni ku-monopolize taaluma kwa ajili ya maslahi fulani.

Haiwezekani afaulu mtu mmoja kati ya watu mia tatu, that is a crazy joke!

We must revise the system of enrollment and see if it serves for the greater good of the people.

Unakuta tu ni mafisadi machache yameatamia taaluma kwa hofu ya kutunza hadhi ya wao kuitwa MAWAKILI WASOMI.

I don't believe in such nonsense of MAWAKILI WASOMI.

Hii inazalisha ugonjwa wa akili.

Sasa wewe FURUSHI unataka tukuite WAKILI MSOMI kwa lipi labda?

Unastahili kuitwa zwazwa tu. Kutokana na upeo wako kupembua vitu hapa.

Sheria ni fani mahiri mno duniani. Angalia watu wake. Obama, Vlamdir Putin, Xi Jinping, Mahtma Gandhi, Mandela etc.

Sio wewe ngumbaru unakaa kwa shemeji, unaleta kebehi za vijiwe vya ka hawa.
 
Hoja yako ni subjective.

Huwezi kusema moja kwa moja udaktari au uhandisi ni fani ngumu kuliko sheria. Kwasababu hujasoma zote kupima ugumu wake.

Vile vile, huwezi kusema sheria ni ngumu kuliko udaktari au uhandisi kwasababu hujasoma vyote hivi kupima ugumu.

NB : kuna article nilisoma mahali, huyo mtu alisoma both law & medicine separately. Alikuja na conclusion = law is more harder than medicine.

 
Naona mmekuja kupiga siasa, na binafsi nadhani wengi mnahubiri msichokifahamu. Mtu yoyote makini huwezi kulinganisha kati ya shule ya sheria ya Tanzania iliyoanzishwa mwaka 2007 na ile ya Kenya iliyoanzishwa mwaka 1963. Utofauti, upo na mkubwa sana, kuanzia mbinu za ufundishaji (Pedagogical Methods), mbinu za kumpima mwanafunzi (Mode of Assessment) na Masomo yanayofundishwa.

The Law School of Kenya, mwanafunzi anapimwa kwa mfumo wa 20/20/60/. Ambapo Group Project Work anapewa alama 20, Oral Examination anapewa alama 20, na mitihani ya kuandika anapewa alama 60. The Law School of Tanzania, mwanafunzi anapimwa kwa mfumo wa 100, ambapo ni kuandika tu, mwanzo mwisho huku mwishoni akimaliza na Oral Examination. LST ni vurugu tupu na uhuni, siyo elimu ile.

Kama mtoto anafeli, basi afeli kiuhalali, lakini siyo kuhuni-huni tu. Lile la watu kulamba pesa na kugeuza watoto wetu miradi, hatulitaki kabisa.
Nadhani ipo haja ifanyike namna lst waje hapa kujibu tuhuma hzi za kuwafelisha watu ili kupatikane kikundi Cha watu kadha wenye hyo shule

Hapn halikubaliki hili mkuu malcom umeleta hoja kwa usahih kbsa kbsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Siyo powa kabisa yani. Kama kule kwenye BAR EXAM ARUSHA, nako kulikuwa hakufai. Kuna Professor wa UDSM alienda kufanya mtihani na akawakuta wanafunzi wake ndiyo Panelists. Aisee, walimnyoosha vibaya kweli akakalia kichwa. Dada mwingine tulikuwa naye kwa AG, ni kichwa haswaa, yaani navyokwambia ni kichwa kweli namaanisha. Kufika Arusha wajuba wakala kichwa vizuri tu....

Hata yule Prof Palagamba Kabudi isingekuwa ni Jaji Mkuu kumzawadia uwakili kwenye sahani, angeenda kule Arusha kufanya BAR EXAMS wajuba wangeshakula kichwa zamani sana. Sema jamaa lina bahati, lilipewa uwakili wa heshima bila hata kutoa jasho....
Dah kumbe mwaluko nae alizawadiwa uwakili na jaji mkuu

VIP kuhusu mwakiyembe yey uwakili wake upo VIP...

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Let the young generation get the opportunities they deserve
Hiki ndicho LST inachokifanya ni kutoa fursa kwa young generations but only the smart ones, kwa vile sasa kila mtu anaweza kusoma sheria hadi vyuo vya uchochoroni, hivyo hata vilaza wana 1st class!, vilaza wanaporundikana LST ili kula dili ya kugonga mihuri!, only the smart ones ndio wata sail through!. Vilaza wata supp na ku supp na ku supp hadi wawe smart na wasipokuwa smart hakuna jonsi ni kuzungusha tuu!.
P
 
Naona mmekuja kupiga siasa, na binafsi nadhani wengi mnahubiri msichokifahamu. Mtu yoyote makini huwezi kulinganisha kati ya shule ya sheria ya Tanzania iliyoanzishwa mwaka 2007 na ile ya Kenya iliyoanzishwa mwaka 1963. Utofauti, upo na mkubwa sana, kuanzia mbinu za ufundishaji (Pedagogical Methods), mbinu za kumpima mwanafunzi (Mode of Assessment) na Masomo yanayofundishwa.

The Law School of Kenya, mwanafunzi anapimwa kwa mfumo wa 20/20/60/. Ambapo Group Project Work anapewa alama 20, Oral Examination anapewa alama 20, na mitihani ya kuandika anapewa alama 60. The Law School of Tanzania, mwanafunzi anapimwa kwa mfumo wa 100, ambapo ni kuandika tu, mwanzo mwisho huku mwishoni akimaliza na Oral Examination. LST ni vurugu tupu na uhuni, siyo elimu.

Kama mtoto anafeli, basi afeli kiuhalali, lakini siyo kuhuni-huni tu. Lile la watu kulamba pesa na kugeuza watoto wetu miradi, hatulitaki kabisa.
Kuna machache yanaharibu LST.

1. Siasa

2. Kujuana

3. Kutengenezea njia wale wachache au "Elites"- yaani watoto wa wenye nazo hupewa kipaumbele lazima wapitishwe kupata cheti cha kufanya "practice".

Mifano ipo na watu hao wapo hadi leo ambapo kulikuwepo tuhuma kwamba wapo vijana walosoma nje na kufanyiwa mitihani walipitishwa hapo LST na leo wazishika nafasi nyeti.

4. Rushwa iwe ngongo au pesa.

5. Fikra dhaifu yaani kukosa kufikiri kwa mapana au "poor critical thinking capacity".

6. Wizi wa fedha za wanafunzi -yaani kuchukua idadi kubwa ya wanafunzi ambao hulipa ferdha nyinig na kisha kupiga panga kali na kuyeyusha fedha.

7. Kutengeneza magenge ya kifisadi yaani kushirikiana na mafisadi ama kutengeneza mikataba (kupitia wahitimu wachache wa hapo LST) isoeleweka au kuhalalisha maamuzi mabovu ya kesi.

Suluhisho:

1. LST iwe katika kanda nchi nzima yaani Kaskazini, kusini, magharibi, mashariki, Zanzibar na Dar iwe makao makuu.

2. LST ijipambanue na iajiri pia wataalam kutoka nje khasa nchi jirani ili kuwepo na "fairness" katika maamuzi ya mitihani. Kwenye hili tukipata wanasheria kutoka hata Kenya (wale walostaafu) au wengine kufanya part-time itasaidia.

3. Kuajiri pia watalaam wa sheria (on part-time basis) ambao wapo kwenye "field" kama akina Kibatala ili wawe wasimamia mitihani na kuangalia viwango au standards na "ethical issues".

4. LST iwe wazi zaidi yaani "more open" kuruhusu ukosoaji kwa kujibu tuhuma mara moja.

Vinginevyo LST itaendelea kuongelewa "negative" na kutakuwapo na maoni na malalamiko mengi ambayo yatakiondolea sifa zake na kuonekana ni "very corrupted institution".
 
Hoja yako ni subjective.

Huwezi kusema moja kwa moja udaktari au uhandisi ni fani ngumu kuliko sheria. Kwasababu hujasoma zote kupima ugumu wake.

Vile vile, huwezi kusema sheria ni ngumu kuliko udaktari au uhandisi kwasababu hujasoma vyote hivi kupima ugumu.

NB : kuna article nilisoma mahali, huyo mtu alisoma both law & medicine separately. Alikuja na conclusion = law is more harder than medicine.
Alisoma Laws na madicine huyo alikuwa anatafuta nn haswa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

IMG_2720.jpg
 
Hiki ndicho LST inachokifanya ni kutoa fursa kwa young generations but only the smart ones, kwa vile sasa kila mtu anaweza kusoma sheria hadi vyuo vya uchochoroni, hivyo hata vilaza wana 1st class!, vilaza wanaporundikana LST ili kula dili ya kugonga mihuri!, only the smart ones ndio wata sail through!. Vilaza wata supp na ku supp na ku supp hadi wawe smart na wasipokuwa smart hakuna jonsi ni kuzungusha tuu!.
P
We mzee lala kesho uwai kwenye Kaz yako mpya ya kugonga mihuri fcu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2382099

Usiweke screen shot weka link za source zako watu wataona na kuprove kwamba ni zimenyooka

Kuna vyuo vya elimu ya juu kibao duniani havina program za Law kabisa.. ila vipo kwenye top ranking sababu ya STEM program.

Mfano MIT, John hopkins ,Cal tech etc

Ila hakuna chuo cha elimu ya juu duniani ambacho hakina STEM program kipo kwenye top ranking.

Naomba utaje vyuo vinavyofundisha sheria ambavyo vipo kwenye top ranking bila ya kuwa na STEM program
 
Huna lolote mjinga wewe. Kwanza ushazeeka hebu kwenda kajifie huko!
Uzee sio ugonjwa!, nitakufa siku yangu ikifika na wewe pia utakufa siku yako ikifika!. Kuna mtu aliwahi hadi kupiga push ups kujionyesha alivyo fit physically, na kumdharau yule Mwamba wa Kaskazi, unajua nani alitangulia?. Hivyo unaweza kutangulia wewe,
Unajifanya smart analyst kumbe uchwara tu...

Let young people have opportunities. Law is not a special profession than any others.
 
Back
Top Bottom