FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 874
- 1,080
You are very delusional than i even thought.Mkuu Fureshimani, tunaxungumzia Tanzania na sio duniani!, fani inayoongoza kwa heshima Tanzani ni
Usilinganishe Bongo na Ulaya.
- Mwanasiasa
- Udakitari,
- Sheria
P
Nimeanza kumdharau huyu mzee kumbe Ni mjinga ndio maana wengi wanamchukiaStop nonsense we mzee.....
What is Ilboru... what have you done so far zaidi ya kupiga porojo tu...
Let the young generation get the opportunities they deserve na sio kutuletea stori za ujima za Divisheni one ya Kabudi na blah blah za ajabu ajabu.
Ujima ujima tu...
Siyo powa kabisa yani. Kama kule kwenye BAR EXAM ARUSHA, nako kulikuwa hakufai. Kuna Professor wa UDSM alienda kufanya mtihani na akawakuta wanafunzi wake ndiyo Panelists. Aisee, walimnyoosha vibaya kweli akakalia kichwa. Dada mwingine tulikuwa naye kwa AG, ni kichwa haswaa, yaani navyokwambia ni kichwa kweli namaanisha. Kufika Arusha wajuba wakala kichwa vizuri tu....😄😄😄😄😄😄 hatari
Eti limtu Lina Soma hkl ,hgk ,hge ,nae anakuja kututambia miamba jamn mm nawangaliaga nasema HV Hawa wanajuwa mzuli ya huko tuliko sisiHakuna lolote, sheria za watoto wa kike hizo anybody can study it.
Shida ni nyie mawakili wasomi uchwara mnaowalaghai watu kwamba sheria ni kwa ajili ya wateule wa kimungu.
Mna usomi gani HKL hizo ujinga mtupu!
Ati wakili msomi! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acheni vijana wapate fursa na sio kujitia tia usomi feki na kukumbatia taaluma kwa ajili ya mafisadi wachache!
Hahahahaha a luminary club of enlightened minds!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
A civil procedure book can not enlighten your mind, don't be a dummy!
Paschal leo umepuyanga..
Elimu ya juu inayoheshimika duniani zama hizi ni (STEM degree)
Hizo havard, oxford, zinaheshimika sababu ya STEM Courses
Stem inamaanisha Science , Technlogy, Engineering Na Mathematics
Kama unabisha fanya research kisha ulingainishe fani za STEM na sheria zipi ni fani ngumu na zenye heshima duniani zama hizi
Wape dawa Leo likitu limesoma hkl nae anajihita wakili msomiHahahaaa... you must be a very funny mentally unstable paralegal who is hiding somewhere in a village law firm.
Mimi ni zaidi ya huo upumbavu wa hiyo inayoitwa Law school.
Na nitaendelea kuwachana tu anytime siku saba za wiki.
Hiyo HKL yako haiwezi kunibabaisha.
Yet Zambia is one of the most shithole countries in Africa!
Na unaweza kukuta malengo sio kukuza ubora wa taaluma, isipokuwa ni ku-monopolize taaluma kwa ajili ya maslahi fulani.
Haiwezekani afaulu mtu mmoja kati ya watu mia tatu, that is a crazy joke!
We must revise the system of enrollment and see if it serves for the greater good of the people.
Unakuta tu ni mafisadi machache yameatamia taaluma kwa hofu ya kutunza hadhi ya wao kuitwa MAWAKILI WASOMI.
I don't believe in such nonsense of MAWAKILI WASOMI.
Hii inazalisha ugonjwa wa akili.
Hoja yako ni subjective.
Huwezi kusema moja kwa moja udaktari au uhandisi ni fani ngumu kuliko sheria. Kwasababu hujasoma zote kupima ugumu wake.
Vile vile, huwezi kusema sheria ni ngumu kuliko udaktari au uhandisi kwasababu hujasoma vyote hivi kupima ugumu.
NB : kuna article nilisoma mahali, huyo mtu alisoma both law & medicine separately. Alikuja na conclusion = law is more harder than medicine.
Nadhani ipo haja ifanyike namna lst waje hapa kujibu tuhuma hzi za kuwafelisha watu ili kupatikane kikundi Cha watu kadha wenye hyo shuleNaona mmekuja kupiga siasa, na binafsi nadhani wengi mnahubiri msichokifahamu. Mtu yoyote makini huwezi kulinganisha kati ya shule ya sheria ya Tanzania iliyoanzishwa mwaka 2007 na ile ya Kenya iliyoanzishwa mwaka 1963. Utofauti, upo na mkubwa sana, kuanzia mbinu za ufundishaji (Pedagogical Methods), mbinu za kumpima mwanafunzi (Mode of Assessment) na Masomo yanayofundishwa.
The Law School of Kenya, mwanafunzi anapimwa kwa mfumo wa 20/20/60/. Ambapo Group Project Work anapewa alama 20, Oral Examination anapewa alama 20, na mitihani ya kuandika anapewa alama 60. The Law School of Tanzania, mwanafunzi anapimwa kwa mfumo wa 100, ambapo ni kuandika tu, mwanzo mwisho huku mwishoni akimaliza na Oral Examination. LST ni vurugu tupu na uhuni, siyo elimu ile.
Kama mtoto anafeli, basi afeli kiuhalali, lakini siyo kuhuni-huni tu. Lile la watu kulamba pesa na kugeuza watoto wetu miradi, hatulitaki kabisa.
Dah kumbe mwaluko nae alizawadiwa uwakili na jaji mkuuSiyo powa kabisa yani. Kama kule kwenye BAR EXAM ARUSHA, nako kulikuwa hakufai. Kuna Professor wa UDSM alienda kufanya mtihani na akawakuta wanafunzi wake ndiyo Panelists. Aisee, walimnyoosha vibaya kweli akakalia kichwa. Dada mwingine tulikuwa naye kwa AG, ni kichwa haswaa, yaani navyokwambia ni kichwa kweli namaanisha. Kufika Arusha wajuba wakala kichwa vizuri tu....
Hata yule Prof Palagamba Kabudi isingekuwa ni Jaji Mkuu kumzawadia uwakili kwenye sahani, angeenda kule Arusha kufanya BAR EXAMS wajuba wangeshakula kichwa zamani sana. Sema jamaa lina bahati, lilipewa uwakili wa heshima bila hata kutoa jasho....
Hiki ndicho LST inachokifanya ni kutoa fursa kwa young generations but only the smart ones, kwa vile sasa kila mtu anaweza kusoma sheria hadi vyuo vya uchochoroni, hivyo hata vilaza wana 1st class!, vilaza wanaporundikana LST ili kula dili ya kugonga mihuri!, only the smart ones ndio wata sail through!. Vilaza wata supp na ku supp na ku supp hadi wawe smart na wasipokuwa smart hakuna jonsi ni kuzungusha tuu!.Let the young generation get the opportunities they deserve
Kuna machache yanaharibu LST.Naona mmekuja kupiga siasa, na binafsi nadhani wengi mnahubiri msichokifahamu. Mtu yoyote makini huwezi kulinganisha kati ya shule ya sheria ya Tanzania iliyoanzishwa mwaka 2007 na ile ya Kenya iliyoanzishwa mwaka 1963. Utofauti, upo na mkubwa sana, kuanzia mbinu za ufundishaji (Pedagogical Methods), mbinu za kumpima mwanafunzi (Mode of Assessment) na Masomo yanayofundishwa.
The Law School of Kenya, mwanafunzi anapimwa kwa mfumo wa 20/20/60/. Ambapo Group Project Work anapewa alama 20, Oral Examination anapewa alama 20, na mitihani ya kuandika anapewa alama 60. The Law School of Tanzania, mwanafunzi anapimwa kwa mfumo wa 100, ambapo ni kuandika tu, mwanzo mwisho huku mwishoni akimaliza na Oral Examination. LST ni vurugu tupu na uhuni, siyo elimu.
Kama mtoto anafeli, basi afeli kiuhalali, lakini siyo kuhuni-huni tu. Lile la watu kulamba pesa na kugeuza watoto wetu miradi, hatulitaki kabisa.
Alisoma Laws na madicine huyo alikuwa anatafuta nn haswaHoja yako ni subjective.
Huwezi kusema moja kwa moja udaktari au uhandisi ni fani ngumu kuliko sheria. Kwasababu hujasoma zote kupima ugumu wake.
Vile vile, huwezi kusema sheria ni ngumu kuliko udaktari au uhandisi kwasababu hujasoma vyote hivi kupima ugumu.
NB : kuna article nilisoma mahali, huyo mtu alisoma both law & medicine separately. Alikuja na conclusion = law is more harder than medicine.
We mzee lala kesho uwai kwenye Kaz yako mpya ya kugonga mihuri fcuHiki ndicho LST inachokifanya ni kutoa fursa kwa young generations but only the smart ones, kwa vile sasa kila mtu anaweza kusoma sheria hadi vyuo vya uchochoroni, hivyo hata vilaza wana 1st class!, vilaza wanaporundikana LST ili kula dili ya kugonga mihuri!, only the smart ones ndio wata sail through!. Vilaza wata supp na ku supp na ku supp hadi wawe smart na wasipokuwa smart hakuna jonsi ni kuzungusha tuu!.
P
View attachment 2382099
Usiweke screen shot weka link za source zako watu wataona na kuprove kwamba ni zimenyooka
Kuna vyuo vya elimu ya juu kibao duniani havina program za Law kabisa.. ila vipo kwenye top ranking sababu ya STEM program.
Mfano MIT, John hopkins ,Cal tech etc
Ila hakuna chuo cha elimu ya juu duniani ambacho hakina STEM program kipo kwenye top ranking.
Naomba utaje vyuo vinavyofundisha sheria ambavyo vipo kwenye top ranking bila ya kuwa na STEM program
Uzee sio ugonjwa!, nitakufa siku yangu ikifika na wewe pia utakufa siku yako ikifika!. Kuna mtu aliwahi hadi kupiga push ups kujionyesha alivyo fit physically, na kumdharau yule Mwamba wa Kaskazi, unajua nani alitangulia?. Hivyo unaweza kutangulia wewe,Huna lolote mjinga wewe. Kwanza ushazeeka hebu kwenda kajifie huko!
Unajifanya smart analyst kumbe uchwara tu...
Let young people have opportunities. Law is not a special profession than any others.