DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

DOKEZO Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna machache yanaharibu LST.

1. Siasa

2. Kujuana

3. Kutengenezea njia wale wachache au "Elites"- yaani watoto wa wenye nazo hupewa kipaumbele lazima wapitishwe kupata cheti cha kufanya "practice".

Mifano ipo na watu hao wapo hadi leo ambapo kulikuwepo tuhuma kwamba wapo vijana walosoma nje na kufanyiwa mitihani walipitishwa hapo LST na leo wazishika nafasi nyeti.

4. Rushwa iwe ngongo au pesa.

5. Fikra dhaifu yaani kukosa kufikiri kwa mapana au "poor critical thinking capacity".

6. Wizi wa fedha za wanafunzi -yaani kuchukua idadi kubwa ya wanafunzi ambao hulipa ferdha nyinig na kisha kupiga panga kali na kuyeyusha fedha.

7. Kutengeneza magenge ya kifisadi yaani kushirikiana na mafisadi ama kutengeneza mikataba (kupitia wahitimu wachache wa hapo LST) isoeleweka au kuhalalisha maamuzi mabovu ya kesi.

Suluhisho:

1. LST iwe katika kanda nchi nzima yaani Kaskazini, kusini, magharibi, mashariki, Zanzibar na Dar iwe makao makuu.

2. LST ijipambanue na iajiri pia wataalam kutoka nje khasa nchi jirani ili kuwepo na "fairness" katika maamuzi ya mitihani. Kwenye hili tukipata wanasheria kutoka hata Kenya (wale walostaafu) au wengine kufanya part-time itasaidia.

3. Kuajiri pia watalaam wa sheria (on part-time basis) ambao wapo kwenye "field" kama akina Kibatala ili wawe wasimamia mitihani na kuangalia viwango au standards na "ethical issues".

4. LST iwe wazi zaidi yaani "more open" kuruhusu ukosoaji kwa kujibu tuhuma mara moja.

Vinginevyo LST itaendelea kuongelewa "negative" na kutakuwapo na maoni na malalamiko mengi ambayo yatakiondolea sifa zake na kuonekana ni "very corrupted institution".
Imeshakuwa corrupt institution chakufanya ni kubadili structure nzima kama wadau wanavyoshauri humu kuna ushauri mzuri huu utasaidia.
Wale waliohusika kwa tuhuma na kashfa hizo wawajibishwe iwe funzo kwa wengine bila hivyo haya mambo yanakua kama sifa vile watu wanafanya uhuni tu wanavyotaka wanajua wataondolewa hapa watateuliwa pale wanarudia uhuni vilevile sababu hakuna kuwajibika kwa ushenzi uliofanya.

Najiuliza tutakuja kufikia level za wenzetu kweli kama hali ni hii vyuo kama Massachusetts Institute of Technology (MIT) taasisi zetu za elimu pamoja na mifumo yake imeoza kabisa.

Ukitazama elimu ya MIT ulinganishe na huu upuuzi unaoendelea kwenye taasisi za elimu Tanzania hakika huezi kufahamu ulie au ucheke.
 
Hiki ndicho LST inachokifanya ni kutoa fursa kwa young generations but only the smart ones, kwa vile sasa kila mtu anaweza kusoma sheria hadi vyuo vya uchochoroni, hivyo hata vilaza wana 1st class!, vilaza wanaporundikana LST ili kula dili ya kugonga mihuri!, only the smart ones ndio wata sail through!. Vilaza wata supp na ku supp na ku supp hadi wawe smart na wasipokuwa smart hakuna jonsi ni kuzungusha tuu!.
P
Nakuunga mkono. Vijana wanataka shortcut za kupata mhuri. LST izidi tu kukaza ili pumba na mchele vijitenge.
 
Hii sio hoja BWANA MDOGO. Acha ubabaishaji.

Ukileta upumbavu nakutandika tu makwenzi. Sivumilii ujinga mimi.

Akili zake abaki nazo na mkewe huko, akiandika upumbavu tutamjibu upumbavu mara mbili zaidi.

I like to fight with fools!
We jamaa una utoto mwingi sana. Unakimbilia kutukana kama kahaba flani hivi. Acha ujinga.
 
Uzee sio ugonjwa!, nitakufa siku yangu ikifika na wewe pia utakufa siku yako ikifika!. Kuna mtu aliwahi hadi kupiga push ups kujionyesha alivyo fit physically, na kumdharau yule Mwamba wa Kaskazi, unajua nani alitangulia?. Hivyo unaweza kutangulia wewe,
Huna ishu wewe ushajichokea, zama zako za ujima zilishapita.

Zile porojo zako za kale za divisheni one ya kabudi hazina nafasi.

Ati rekodi sijui ya profesa majamba! What the FukC?!

Lazima vijana wapewe nafasi kwa kadiri ya mazingira ya sasa na uhalisia uliopo.
 
Mkuu kitaaluma Mimi sio mwanasheria lakini umeshusha nondo hatari umeshuka vizuri sana yaani wahusika wakiipata hii itawasaidia sana. Umetoa vikwazo na usuluhishi ni wachache sana wanafanye hivyo big up bro.
Hapa Malcolm at his BEST!
 
Huna ishu wewe ushajichokea, zama zako za ujima zilishapita.

Zile porojo zako za kale za divisheni one ya kabudi hazina nafasi.
First Class ya Prof. Kabudi sio porojo, tena sasa tunasherehekea 60 years of UDSM, a record GPA ya 4.9 ya Kabudi bado haijavunjwa!.
Ati rekodi sijui ya profesa majamba! What the FukC?!
Kama Sheria kule nyuma zilitoka 1st Class kadhaa, halafu the last one ni 30 years back, hii inamaanisha wanafunzi wa sasa ni vilaza kuliko 30 years back, na UDSM sheria ndio huwa ina pick the top layer ya ufaulu, my son ana Div.1 ya 8 points amekosa nafasi UDSM sheria kwasababu cut of point ni Div 1 ya 7 points!. Baada ya UDSM kuanua huo utando wa Top layer, hao wengine ndio vyuo vikuu vingine vinagawana!.
Lazima vijana wapewe nafasi kwa kadiri ya mazingira ya sasa na uhalisia uliopo.
Law is a conservative profession kama ulivyo udakitari, there is no compromise kushusha ufaulu ili kuwapa fursa vijana incompetent!, hao vijana they have to be smart to study law or medicine!, bora wafeli hata darasa zima kuliko kupasisha vilaza!, tutajenga taifa la majanga!.
P
 
Sasa wewe FURUSHI unataka tukuite WAKILI MSOMI kwa lipi labda?

Unastahili kuitwa zwazwa tu. Kutokana na upeo wako kupembua vitu hapa.

Sheria ni fani mahiri mno duniani. Angalia watu wake. Obama, Vlamdir Putin, Xi Jinping, Mahtma Gandhi, Mandela etc.

Sio wewe ngumbaru unakaa kwa shemeji, unaleta kebehi za vijiwe vya ka hawa.
Baeleze baelewe!.
P
 
Come with facts. I know I had hit where it hurts, zombie. [emoji16]
Keep hitting hard where it hurts most.
Vilaza na mburulas wanavamia fani ili wapige pesa, vichwani weupe wanataka kuwa mawakili kwa ubwete!.
Law is for smart people!.
P
 
Vijana acheni upumbavu. Masomo ya sheria hayataki masikhara kabisa. Mwaka 2021 nchini Zambia alifaulu mwanafunzi mmoja tu kwenye 395 waliofanya mitihani ya Law School ya huko. Kazeni buti. Hatuwezi kuwa na rundo la wanasheria vilaza. Bora kwenye 1000 wafaulu wanne tu walio serious. Mnataka kwenda kidimbwi huku pia mnataka mpate huo uwakili.

Thanks for this!. Kila mtu rukhsa kusoma sheria, ila kuwa waklli ni only ,for the smart ones.
P
 
Simple psychology. Ulitamani kuwa kwenye noble profession ukaangukia pua.

Hutoweza kuwa Lawyer hadi unaingia kaburini, you don’t belong to the luminary club of enlightened minds.

Get over it, zombie! [emoji16]
Mkuu Amon Lisa usimkatishe tamaa!, he just needs to be smart upstairs
P
 
Binafsi naomba nisema yafuatayo kuhusu shule ya sheria Tanzania:

Mosi,
kutokana na uhitaji wa elimu ya kusoma kwa vitendo (Post-Graduate Diploma in Legal Practice) haikutakiwa kuwe na shule moja nchi nzima tena ambayo iko kwenye mji kama Dar es salaam. Walau hizi shule zingekuwepo kikanda ili kuwaepusha na kadhia wale wanafunzi wanaotoka mikoa ya mbali kuja kurudia mitihani Dar es Salaam. Mtoto anasafiri kutoka Tarime, hana hata mkopo halafu anakuja Dar es salaam kufanya mtihani akiwa na 50/50 kwamba hilo somo analorirudia atafuaulu au lah.

Pili, mbinu ya kumpima mwanafunzi (Mode of Assessment) siyo rafiki kabisa na haizingatia utaalamu wa kisaikolojia kwamba wanafunzi wana uelewa tofauti. Mtoto anasoma mwaka mzima halafu anapewa mitihani 24 ndani ya mwaka ambayo kama akifeli hata mmoja basi anaweza kupoteza zaidi hata ya miaka 2 anarudia tu kozi hiyo hiyo. Kikawaida tulitegemea kwenye elimu ya vitendo wanafunzi wapimwe kupitia kazi nyingine muhimu ambazo lazima ziwe na alama, kama PRESENTATIONS, GROUP ASSIGNMENTS, CLINICS + WORKSHOPS and INTERNSHIP WITH MARKS.

Sasa wanaitwa DIPLOMA IN LEGAL PRACTICE huku wakichukua ada ya zaidi ya milioni moja, ilhali vipimo vyote vinatolewa kupitia mitihani. Hii siyo sahihi, kwasababu hata mahakamani kwenyewe wanasheria huwa hatuviziani ila tunapewa muda wa kujiandaa. Sasa mtoto anakaa INTERNSHIP miezi zaidi ya sita huku akija kukaguliwa kihunihuni tu mara moja, bila kupewa alama yoyote ile ya muhimu. Kwanini hawa wanafunzi wasipangiwe hata miezi miwili-miwili kufanya kazi la lazima zenye alamu mahakama za mwanza, mabaraza ya ardhi, mabalaza ya usuluhishi, dawati la jinsia ???

Jingine, ambalo nimeliona ni jambo la kipumbavu kufanywa na watu wanaojiita wasomi ni kitendo cha kutoa matokeo ya mitihani yote ya mwaka mzima ndani ya siku moja, baada ya mwaka mzima na miezi mitatu kupita. Kwanini matokeo ya ICA (Individual Continous Assessment), WPE (WRITTEN PRACTICAL EXAMINATION) na FINALS NON-CORE hayatolewi mapema, ili mwanafunzi ajue mbivu na mbichi na aweze kujipanga vizuri kwenye mitihani ya mwisho ??? Pia wawekewe utaratibu maalamu kabisa wa kuyarudia haya masomo wakati hata wako shule, hasa wiki moja baada ya kumaliza WPE ???

Lingine muhimu ni kwamba LST, kuna mitihani ya WPE (Written Practical Examination) ambayo kwingineko duniani mwanafunzi huifanya kwa kufanya tafiti pamoja na majadiliano na wanafunzi wenzake, kisha baadae huenda kufanya huo mtihani. Ilhali sasa pale LST, wanafunzi wanafungiwa masaa manne (4) wakisoma mavitabu, bila kuruhusiwa kuzungumza halafu wanapewa saa moja kupumzika, ili warudi kufanya mtihani huohuo kwa masaa matatu. (It's just emotional debilitating)

Tatu, hili la kulazimisha kila anayesoma sheria awe wakili nadhani ni jambo la kishenzi ambalo lilifanywa kwa mihemko bila kufikiriwa. Miaka yote huko nyuma watu tuliajiriwa kama STATE ATTORNEYS bila hata kuwa wanasheria. Tulitakiwa tu tufanye INTERNSHIP miezi tisa kwa ATTORNEY GENERAL halafu tunaenda kufanya BAR-EXAMINATION kule Arusha. Kinachoshangaza ni kwamba wengi ambao hawakupita Law School wako vizuri kuliko hata hawa watoto wenu wa Mawasiliano nyuma kule.

Kubwa zaidi, wanasheria tuko kwenye nyanja kuu mbili ambazo ni LEGAL PRACTITIONER (ADVOCATES) na JURIST (LEGAL SCHOLARS/LEGAL RESEARCHERS). Hawa ni watu wawili tofauti na wanafanya kazi tofauti kabisa, sasa ukitaka kuwalazimisha wawe kitu kimoja utakuwa unapuyanga mno. Leo hii ushauri wa sheria wa JURIST unaweza kuwa una uzito kuliko hata ORDINARY LEGAL PRACTITIONER, kutokana na tafiti na ufahamu. Sasa kwenye nchi fulani ya kusadikika, wenyewe kwasababu hawana SPECIALIZATION basi wanalazimisha kila mtu awe wakili, kwamba hata JURIST haweza kutoa ushauri kama hana muhuri. Just Lackadaissical and Nonsensical....

Nne, mtaala wa shule ya sheria ni wa kizamani sana na hauwezi kumfanya mwanafunzi awe vizuri kwenye soko la kimataifa. Kuna baadhi ya masomo tulitegemea yafundishwe pale LST, lakini hayapo kwenye mtaala. Mfano, INTERNATIONAL COMMERCIAL ARBITRATION, INVESTMENT LAW, BASICS OF INTERNATIONAL ECONOMICS LAW/ INTERNATIONAL TRADE AND FINANCE LAW. Nchi haina wataalamu wa haya masomo, sisi tunakomaa kufundisha PROPABATE & ADMINISTRATION OF ESTATES, COMMERCIAL LAW, LEGAL ETHICS, HUMAN RIGHTS and ACCOUNTS FOR LAWYERS masomo ambayo vyuo vingi vinayafundisha na vinaweza kuyafundisha vizuri.

Kesi kubwa kama zila za makinikia, DOWANS, ESCROW n.k zinahitaji mwanasheria walau awe anajua masomo ya INTERNATIONAL COMMERCIAL ARBITRATION, ambapo anatakiwa aifahamu mikataba mikubwa BIT (Bilateral Investment Treaties), pamoja na taasisi muhumu kama ICSID, PIC, ICC. Lakini sisi tunakomaa kuwafelisha watoto masomo kama ACCOUNTS. Sijui hii nchi haina watu wenye akili kabisa. Mambo ya ajabu yanafanyika na hakuna hata anayestuka.

Tano, mradi wa LST tangu mwaka 2006 marehemu Prof. Mukoyogo aliupinga kweli kwasababu aliona hauna maana zaidi ya kuwatengenezea ulaji baadhi ya wataalamu wa pale University of Dar es Salaam. Hivi kweli, tuna uhakika kwamba haya masomo ya LST hayawezi kufundishwa vizuri kwenye vyuo ambavyo wanafunzi wanasoma wakiwa wanatafuta Shahada ya kwanza kweli ???

Jambo jingine ni kwamba wataalamu wengi wa pale LST wameamua kufanya biashara ya vitabu. Wanatunga mitihani ambayo majibu yake utayapata kama tu umenunua vitabu vyao. Hili nilishawahi kuambiwa nikathibitisha mwenyewe kwenye baadhi ya vitabu. Hii ni tabia ya kishezi ambayo inaumiza na kukwamisha wengine huku wengine wakipata ukwasi mkubwa. Mwanafunzi anataoa pesa nyingi za Ada lakini hivyo vitabu havipo maktaba, utavipata mpaka umfuate mwandishi mwenyewe na umlipe 50,000. Kwanini msiweke vitabu vingi kule maktaba wanafunzi wakavisoma ???

Sita, hivi inawezekanaje mwanafunzi ambaye amefauli vizuri shahada yake afeli vibaya kwa kiwango cha DISCONTINUE pale LST ??? Ina maana huyu mwanafunzi hafahamu kitu chochote kabisa ??? Lakini, kubwa zaidi ni hili la wanafunzi 600 kuanza pamoja, lakini wanaofaulu ni watu 30, huku nusu ingine ikiwa inafanya SUPPLEMENTARY au DISCONTINUED. Sijui kwanini hili haliwastui Majaji na Wizara. Watu hufeli, lakini siyo kwa kiwango hicho ambacho kinafanyika pale Law School.

Pia, pale pana rushwa sana ya ngono, kukomoana na kubadilishiana matokeo. Kuna jamaa niliwahi kuwa naye mahakamani aliwahi niambia kwamba kuna rafiki zake wanafundisha pale walimuahidi kwamba watamfaulisha, na kweli alifauri vizuri hadi tukashangaa. Alikuwa na maswali hata kabla mitihani haijaanza. Nikasema HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII...


TANZANIA HAKUNA KITU KINACHOFANYA KAZI VIZURI KUSEMA TUNAWEZA JIVUNIA...

Pascal Mayalla anapendekeza matumizi zaidi ya condom kuzuia maambuizi zaidi ya ukimwi. Tumefikia huko?

IMG_20221010_060218_311.jpg


NInakazia:

"Sita,
hivi inawezekanaje mwanafunzi ambaye amefauli vizuri shahada yake afeli vibaya kwa kiwango cha DISCONTINUE pale LST ??? Ina maana huyu mwanafunzi hafahamu kitu chochote kabisa ??? Lakini, kubwa zaidi ni hili la wanafunzi 600 kuanza pamoja, lakini wanaofaulu ni watu 30, huku nusu ingine ikiwa inafanya SUPPLEMENTARY au DISCONTINUED. Sijui kwanini hili haliwastui Majaji na Wizara. Watu hufeli, lakini siyo kwa kiwango hicho ambacho kinafanyika pale Law School.

Pia, pale pana rushwa sana ya ngono, kukomoana na kubadilishiana matokeo. Kuna jamaa niliwahi kuwa naye mahakamani aliwahi niambia kwamba kuna rafiki zake wanafundisha pale walimuahidi kwamba watamfaulisha, na kweli alifauri vizuri hadi tukashangaa. Alikuwa na maswali hata kabla mitihani haijaanza. Nikasema HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII..."

Cc: BALENSIAGA
 
Binafsi naomba nisema yafuatayo kuhusu shule ya sheria Tanzania:

Mosi,
kutokana na uhitaji wa elimu ya kusoma kwa vitendo (Post-Graduate Diploma in Legal Practice) haikutakiwa kuwe na shule moja nchi nzima tena ambayo iko kwenye mji kama Dar es salaam. Walau hizi shule zingekuwepo kikanda ili kuwaepusha na kadhia wale wanafunzi wanaotoka mikoa ya mbali kuja kurudia mitihani Dar es Salaam. Mtoto anasafiri kutoka Tarime, hana hata mkopo halafu anakuja Dar es salaam kufanya mtihani akiwa na 50/50 kwamba hilo somo analorirudia atafuaulu au lah.

Pili, mbinu ya kumpima mwanafunzi (Mode of Assessment) siyo rafiki kabisa na haizingatia utaalamu wa kisaikolojia kwamba wanafunzi wana uelewa tofauti. Mtoto anasoma mwaka mzima halafu anapewa mitihani 24 ndani ya mwaka ambayo kama akifeli hata mmoja basi anaweza kupoteza zaidi hata ya miaka 2 anarudia tu kozi hiyo hiyo. Kikawaida tulitegemea kwenye elimu ya vitendo wanafunzi wapimwe kupitia kazi nyingine muhimu ambazo lazima ziwe na alama, kama PRESENTATIONS, GROUP ASSIGNMENTS, CLINICS + WORKSHOPS and INTERNSHIP WITH MARKS.

Sasa wanaitwa DIPLOMA IN LEGAL PRACTICE huku wakichukua ada ya zaidi ya milioni moja, ilhali vipimo vyote vinatolewa kupitia mitihani. Hii siyo sahihi, kwasababu hata mahakamani kwenyewe wanasheria huwa hatuviziani ila tunapewa muda wa kujiandaa. Sasa mtoto anakaa INTERNSHIP miezi zaidi ya sita huku akija kukaguliwa kihunihuni tu mara moja, bila kupewa alama yoyote ile ya muhimu. Kwanini hawa wanafunzi wasipangiwe hata miezi miwili-miwili kufanya kazi la lazima zenye alamu mahakama za mwanza, mabaraza ya ardhi, mabalaza ya usuluhishi, dawati la jinsia ???

Jingine, ambalo nimeliona ni jambo la kipumbavu kufanywa na watu wanaojiita wasomi ni kitendo cha kutoa matokeo ya mitihani yote ya mwaka mzima ndani ya siku moja, baada ya mwaka mzima na miezi mitatu kupita. Kwanini matokeo ya ICA (Individual Continous Assessment), WPE (WRITTEN PRACTICAL EXAMINATION) na FINALS NON-CORE hayatolewi mapema, ili mwanafunzi ajue mbivu na mbichi na aweze kujipanga vizuri kwenye mitihani ya mwisho ??? Pia wawekewe utaratibu maalamu kabisa wa kuyarudia haya masomo wakati hata wako shule, hasa wiki moja baada ya kumaliza WPE ???

Lingine muhimu ni kwamba LST, kuna mitihani ya WPE (Written Practical Examination) ambayo kwingineko duniani mwanafunzi huifanya kwa kufanya tafiti pamoja na majadiliano na wanafunzi wenzake, kisha baadae huenda kufanya huo mtihani. Ilhali sasa pale LST, wanafunzi wanafungiwa masaa manne (4) wakisoma mavitabu, bila kuruhusiwa kuzungumza halafu wanapewa saa moja kupumzika, ili warudi kufanya mtihani huohuo kwa masaa matatu. (It's just emotional debilitating)

Tatu, hili la kulazimisha kila anayesoma sheria awe wakili nadhani ni jambo la kishenzi ambalo lilifanywa kwa mihemko bila kufikiriwa. Miaka yote huko nyuma watu tuliajiriwa kama STATE ATTORNEYS bila hata kuwa wanasheria. Tulitakiwa tu tufanye INTERNSHIP miezi tisa kwa ATTORNEY GENERAL halafu tunaenda kufanya BAR-EXAMINATION kule Arusha. Kinachoshangaza ni kwamba wengi ambao hawakupita Law School wako vizuri kuliko hata hawa watoto wenu wa Mawasiliano nyuma kule.

Kubwa zaidi, wanasheria tuko kwenye nyanja kuu mbili ambazo ni LEGAL PRACTITIONER (ADVOCATES) na JURIST (LEGAL SCHOLARS/LEGAL RESEARCHERS). Hawa ni watu wawili tofauti na wanafanya kazi tofauti kabisa, sasa ukitaka kuwalazimisha wawe kitu kimoja utakuwa unapuyanga mno. Leo hii ushauri wa sheria wa JURIST unaweza kuwa una uzito kuliko hata ORDINARY LEGAL PRACTITIONER, kutokana na tafiti na ufahamu. Sasa kwenye nchi fulani ya kusadikika, wenyewe kwasababu hawana SPECIALIZATION basi wanalazimisha kila mtu awe wakili, kwamba hata JURIST haweza kutoa ushauri kama hana muhuri. Just Lackadaissical and Nonsensical....

Nne, mtaala wa shule ya sheria ni wa kizamani sana na hauwezi kumfanya mwanafunzi awe vizuri kwenye soko la kimataifa. Kuna baadhi ya masomo tulitegemea yafundishwe pale LST, lakini hayapo kwenye mtaala. Mfano, INTERNATIONAL COMMERCIAL ARBITRATION, INVESTMENT LAW, BASICS OF INTERNATIONAL ECONOMICS LAW/ INTERNATIONAL TRADE AND FINANCE LAW. Nchi haina wataalamu wa haya masomo, sisi tunakomaa kufundisha PROPABATE & ADMINISTRATION OF ESTATES, COMMERCIAL LAW, LEGAL ETHICS, HUMAN RIGHTS and ACCOUNTS FOR LAWYERS masomo ambayo vyuo vingi vinayafundisha na vinaweza kuyafundisha vizuri.

Kesi kubwa kama zila za makinikia, DOWANS, ESCROW n.k zinahitaji mwanasheria walau awe anajua masomo ya INTERNATIONAL COMMERCIAL ARBITRATION, ambapo anatakiwa aifahamu mikataba mikubwa BIT (Bilateral Investment Treaties), pamoja na taasisi muhumu kama ICSID, PIC, ICC. Lakini sisi tunakomaa kuwafelisha watoto masomo kama ACCOUNTS. Sijui hii nchi haina watu wenye akili kabisa. Mambo ya ajabu yanafanyika na hakuna hata anayestuka.

Tano, mradi wa LST tangu mwaka 2006 marehemu Prof. Mukoyogo aliupinga kweli kwasababu aliona hauna maana zaidi ya kuwatengenezea ulaji baadhi ya wataalamu wa pale University of Dar es Salaam. Hivi kweli, tuna uhakika kwamba haya masomo ya LST hayawezi kufundishwa vizuri kwenye vyuo ambavyo wanafunzi wanasoma wakiwa wanatafuta Shahada ya kwanza kweli ???

Jambo jingine ni kwamba wataalamu wengi wa pale LST wameamua kufanya biashara ya vitabu. Wanatunga mitihani ambayo majibu yake utayapata kama tu umenunua vitabu vyao. Hili nilishawahi kuambiwa nikathibitisha mwenyewe kwenye baadhi ya vitabu. Hii ni tabia ya kishezi ambayo inaumiza na kukwamisha wengine huku wengine wakipata ukwasi mkubwa. Mwanafunzi anataoa pesa nyingi za Ada lakini hivyo vitabu havipo maktaba, utavipata mpaka umfuate mwandishi mwenyewe na umlipe 50,000. Kwanini msiweke vitabu vingi kule maktaba wanafunzi wakavisoma ???

Sita, hivi inawezekanaje mwanafunzi ambaye amefauli vizuri shahada yake afeli vibaya kwa kiwango cha DISCONTINUE pale LST ??? Ina maana huyu mwanafunzi hafahamu kitu chochote kabisa ??? Lakini, kubwa zaidi ni hili la wanafunzi 600 kuanza pamoja, lakini wanaofaulu ni watu 30, huku nusu ingine ikiwa inafanya SUPPLEMENTARY au DISCONTINUED. Sijui kwanini hili haliwastui Majaji na Wizara. Watu hufeli, lakini siyo kwa kiwango hicho ambacho kinafanyika pale Law School.

Pia, pale pana rushwa sana ya ngono, kukomoana na kubadilishiana matokeo. Kuna jamaa niliwahi kuwa naye mahakamani aliwahi niambia kwamba kuna rafiki zake wanafundisha pale walimuahidi kwamba watamfaulisha, na kweli alifauri vizuri hadi tukashangaa. Alikuwa na maswali hata kabla mitihani haijaanza. Nikasema HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII...


TANZANIA HAKUNA KITU KINACHOFANYA KAZI VIZURI KUSEMA TUNAWEZA JIVUNIA...

Pascal Mayalla anapendekeza matumizi zaidi ya condom kuzuia maambuizi zaidi ya ukimwi. Tumefikia huko?

IMG_20221010_060218_311.jpg


NInakazia:

"Sita, hivi inawezekanaje mwanafunzi ambaye amefauli vizuri shahada yake afeli vibaya kwa kiwango cha DISCONTINUE pale LST ??? Ina maana huyu mwanafunzi hafahamu kitu chochote kabisa ??? Lakini, kubwa zaidi ni hili la wanafunzi 600 kuanza pamoja, lakini wanaofaulu ni watu 30, huku nusu ingine ikiwa inafanya SUPPLEMENTARY au DISCONTINUED. Sijui kwanini hili haliwastui Majaji na Wizara. Watu hufeli, lakini siyo kwa kiwango hicho ambacho kinafanyika pale Law School.

Pia, pale pana rushwa sana ya ngono, kukomoana na kubadilishiana matokeo. Kuna jamaa niliwahi kuwa naye mahakamani aliwahi niambia kwamba kuna rafiki zake wanafundisha pale walimuahidi kwamba watamfaulisha, na kweli alifauri vizuri hadi tukashangaa. Alikuwa na maswali hata kabla mitihani haijaanza. Nikasema HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII..."
 
Waendelee hivyo hivyo.

Hatutaki vilaza kwenye practice.

Maswala ya kupeana marks za bure kama mlivyozoea huko kwenye vyuo vyenu hakuna.
 
-kuingia darasani kwa mwalimu,na kufundisha haimaanishi lazima utafaulu mtihani, kwani hujawahi kusikia mitihani mgumu, iko juu ya kiwango?, read the law and understand the law, wengi hawasomi sheria na kuzielewa, mtu anajibu swali kwa kukopi section nzima? wakati lecturer anataka statutory interpretation, maswali ya Law school unakuta ni scenario ndefu uisome,uichambue,na uielewe na utoa legal opinion on that particular aspect, wengi hawaelewi maswali ya scenario
- kwa hiyo mwalimu akiingia darasani na wanafunzi walikuwepo darasani sio hoja justification ya kufaulu


Ndivyo alivyokwambia yule nduguyo. Au ni ule utetezi wako tokea gizani? Hoja ziko wazi tupe majibu kama unayo.

Jibu hoja zilizopo. Kwani dash (-) ni marks ngapi?

Au hata unaujua tofauti ya kufeli na mass failures?
 
Back
Top Bottom