- Thread starter
- #241
Mnataka kilaa mtu awe wakili kwa kulazimisha big result now ili mje muwaite mawakili wa mchongo...Ukifel law school soma postgraduate ya education ujikite na ualimu
Umesahau kuwa hakuna anayepinga kufeli kwa haki. Kuna kufelishwa pia. Au wewe hujawahi kukusikia?