Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Utalia sanaRest in eternal peace our beloved JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utalia sanaRest in eternal peace our beloved JPM
Nazijua vizuri tu, JK alimwaga pesa zakutosha kwaajili ya njia kuu za kimkakati zilizo unganisha nchi nzima.
Na huyo John Pombe Joseph Magufuli ndio alikuwa site kama waziri wa ujenzi, kusimamia huwo mpango uliofanikiwa vizuri.
Badala uwaze mambo ya baba yako mzazi unawaza mambo ya watu wengine. Wajinga na wenye ulemavu wa akili ni wengi nchi hii. Hasara kabisa mzazi kuzaa wapumbavu kama wewe.🤣
Mkuu, soma kwanza ndipo unishambulie
Staki kutia neno lolote juu yako
Nakuacha kwa sababu leo ni J.pili! Mungu umrehemu huyu bintiBadala uwaze mambo ya baba yako mzazi unawaza mambo ya watu wengine. Wajinga na wenye ulemavu wa akili ni wengi nchi hii. Hasara kabisa mzazi kuzaa wapumbavu kama wewe.
AminaNdiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Kuna watu watanunaNdiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Kweli kabisa ndio maana katuondolea Hilo dhalimuAmezaliwa katikati ya vilaza ila katusaidia kiasi chake kutufungua macho.
Mungu hakosei.
Ningekuwa Samia ningeweka hadharani Ile ripoti ya ukaguzi wa benki kuu, na fedha za plea bargain.Ndiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Huyu ni mhutu. Wahutu asili yao ni Rwanda ama Burundi huko. Mzilankende yuleJPM akubali kuzaliwa katika nchi hii ngumu
Yes, we are. But you should remember that those who can not learn from history are doomed to repeat it. Let's learn from what the dude (rip JPM) achieved, so we can look for ways to improve on our way forward.Can we move forward!!!!
Daah! Pole zako.Ndiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Hili britanicca atakujibuKinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii kutaka nijue ni kivipi azaliwe katikati yao?
Mtoto haamui azaliwe wapi!.Na iliwezekanaje yeye JPM akubali kuzaliwa katika nchi hii ngumu
Mtoto haamui azaliwe wapi!.Kwa nini ulikubali uzaliwe katika nchi Hii! Mama mzazi wa JPM utusamehe sana,
Japo huyu Mwamba yuko peponi, Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani lakini kiukweli sijalipenda bandiko hili kwasababu lina ukweli fulani mchungu sana kumeza!, muulize Mkuu britanicca akuelezee kuhusu mtoto mmoja mdogo kwa jina la Katto, alizaliwa wapi?, baba yake halisi huyo Katto ni nani?, aliingia nchini lini?, akiwa na umri gani?, akitokea wapi?, alikuja na nani, na walifikia wapi?.Asante kwa maisha yako katika nchi usiyoistahili uzaliwe! Asante kwa uliyotuachia!
Huko uliko JPM utusamehe sana wenyeji wa nchi hii
Jifunze kutumia neno "my" achana na neno "our" kama haujatumwa na watu wengine, usitulazimishe kumpenda.Rest in eternal peace our beloved JPM
Mkuu ngoja tuendelee kunywa Supu nyama ziko chini nchi ya ahadi hii🥲Ndiyo,
Kinaniuma kwa sababu hasa ya waliostahili kuzaliwa hapa! Waliozaliwa kihalali katika nchi hii ndio hao walionipa kutaka nijue ni kivipi JPM azaliwe katikati yao?
Amen !!!!Joseph Pombe alizaliwa Burundi kwa Baba asiyefahamika. Alivuka mpaka wa Burundi ña mama yake na mama akaja kuolewa na mtu aliyeitwa Magufuli.
Tuwalaumu TISS na CCM ya Kikwette kumpitisha mkimbizi kugombea Urais wa Tanzania na kuwa Rais wetu.
Alichokuwa anafanya Joseph Pombe ni kui vuruga nchi yetu ya amani iwe kama nchi zao za Burundi, Rwanda au Somali.
Wote kwa dakika moja hapo tulipo tuseme ASANTE MUNGU kwa kutuondolea yule Shetani