Tuifahamu Wagner Group kwa undani

Tuifahamu Wagner Group kwa undani

Vipi libya NATO pia walikimbia baada ya wagner kuingia?
Hata Libya inasaidiwa na Wagner ndio maana unaona kuna wakati Marekani wanalalama.
Mara kwa mara BBC London, DW, voice of America, aljazeera nk huripoti kwa maumivu makali jinsi Wagner group wanavyotibua maslahi ya NATO huko Libya.

Naweka screenshot zinagoma
 
Hata Libya inasaidiwa na Wagner ndio maana unaona kuna wakati Marekani wanalalama.
Mara kwa mara BBC London, DW, voice of America, aljazeera nk huripoti kwa maumivu makali jinsi Wagner group wanavyotibua maslahi ya NATO huko Libya
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?


 
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini?

Siwezi kujua labda ukaulize pale Tripoli ukitoka ukaulize tena pale Moscow
 
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?


Hawakuwepo, walelienda baada ya uhalibifu wa nato
 
Lakini wamagharibi hapo tu ndio wananikera mimi kuchota rasilimali zetu mpaka watuletee mavurugu na mauaji. Wao wakae mezani waandae mikataba ya kurasa elfu 50, kwa kuwa waafrika wavivu wa kusoma ataangalia paragraph ya kwanza kisha ataenda pa kuweka signature basi habari imekwisha.
Wachukue rasilimali watuachie roho zetu.
 
Naulizaje huko wakati thread yenu imejaa sifa za hawa majangiri na umbea mwingi halafu fact hamuna si mpo karibu hapo kremlin unashindwaje kuleta data hizo dugu?
Najua lazima ujibu kwa hasira sababu hawa unaowatetea ndio majangili hadi walifikia kuligawanya bara la Afrika.
Urusi haijawahi kufanya ujangili sehemu yoyote isipokuwa majirani zake wakitaka kushirikiana na maadui zake huwa anawadunda na kuwaachia makovu ya kudumu.
Urusi tangu zamani amekuwa bega kwa bega katika kuyasaidia mataifa yanayoonewa na mabeberu
 
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?


Kelele zenu zote mnajua Urusi akishawamaliza watetezi wa ushoga na usagaji mtakosa uhuru wa kufanya huo upumbavu wenu
 
Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.

Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) 🤣🤣

Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.

Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.

Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.

Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.

Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.

Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.

NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Mwisho wa siku tambua hakuna raia wabaguzi kama warusi....

Ngoja mtetea Dunia anyamaze atuachie huyo mnaemuita mtetezi wa waafrika asambaze mamluki wake Afrika baadae waanze kugeukana ndipo utajua Waafrika tunatumiwa vibaya
 
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?


Ghadafi ameuwawa 2011, PMC limeanzishwa 2014...

Hata hivyo katika vitu anajuta Putin ni kutoingilia kumlinda Ghadafi pale Libya.

Maana Ghadafi ilikuwa ni nguzo yenye nguvu iliyokuwa Africa ambayo ingemsaidia kuwanyoosha hawa mabeberu.

Hata baada ya hapo Putin hakukubali tena mabeberu kufanya ujinga kama wa Libya pale Venezuela...Ule mtiti wa Venezuela ulikuwa sio mchezo
 
Hili kundi linafanya kazi popote penye maslahi ya Urusi tu, lilianzishwa mwaka 2014/15 likiwa na wapiganaji 250, sasa hivi linawapiganaji zaidi ya 50,000.

Jamaa nchi nyingi za Africa wapo, Africa ya Kati,Libya Mali na Burkina Faso.

Popote yalipo majeshi ya nchi za NATO, wakiingia hao jamaa NATO lazima wasepe.
Kwa nini Wakiingia sehemu NATO wanasepa au kulalamika?
 
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?


Wagner imeundwa mwaka gani na Ghadafi kauliwa mwaka gani?? Tumia hio teknolojia yako vizuri kujitoa uzuzu,,..................na hakuna vita ambayo inakosa casualties hata kama upande wenu ndo utakaoshinda,,vita sio michezo yenu ya ki lgbt......hata majangiri wa minato wanafilimbwa huko ukraine hadi hawana hamu na hio vita
 
Mwisho wa siku tambua hakuna raia wabaguzi kama warusi....

Ngoja mtetea Dunia anyamaze atuachie huyo mnaemuita mtetezi wa waafrika asambaze mamluki wake Afrika baadae waanze kugeukana ndipo utajua Waafrika tunatumiwa vibaya
Historia ya Urusi inaeleweka kwamba hana njaanjaa za ajabu ajabu kama hawa LGBTQ. Amejitosheleza
Kingine huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi kwa kulazimisha sera zake bali Urusi inajieleza kabisa kwamba, tukishirikiana pata na mimi nipate... NATO wao ukishirikiana nao hawataki uendelee ili wakitaka kukufanya chochote wakufanye
 
Mwisho wa siku tambua hakuna raia wabaguzi kama warusi....

Ngoja mtetea Dunia anyamaze atuachie huyo mnaemuita mtetezi wa waafrika asambaze mamluki wake Afrika baadae waanze kugeukana ndipo utajua Waafrika tunatumiwa vibaya
Mtetea dunia mnafiki tu,,,,mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo.....bora dunia ianze 1 tu
 
Mbona hapa anaengoea kishabiki ni wewe, kwamba wanajeshi wa Rwansa ndo waliweza kuimudu ile stuation?

Badi hili sakata kila mtu analijua kivyake.
Ni kweli Rwanda aliweka Mambo sawa.

Kwa Nini aliweza Rwanda?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"""Huwezi tatua tatizo lililotengenezwa na watu wale wale"""huo msemo hapa ulikua kinyume chake,,,,,nadhani umenielewa hapa.
 
Fiction tupu
Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.

Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) [emoji1787][emoji1787]

Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.

Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.

Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.

Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.

Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.

Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.

NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
 
Hili kundi binafsi la ulinzi Wagner linapatikana wap, yaan makao yao hasa ni wap

Ni kwa nin Putin kaamua kuwatumia wao? Ni kwamba jeshi lake ni goigoi kuliko hawa Wagner au ikoje hii wakuu.

Nauliza kwa kutaka kujua siyo ushabiki
 
Hili kundi binafsi la ulinzi Wagner linapatikana wap, yaan makao yao hasa ni wap

Ni kwa nin Putin kaamua kuwatumia wao? Ni kwamba jeshi lake ni goigoi kuliko hawa Wagner au ikoje hii wakuu.

Nauliza kwa kutaka kujua siyo ushabiki
Dunia imebadilika tupo 4th war generation hawatumii majeshi makubwa kufanya uvamizi. Bali ni vikundi vidogo vidogo vilivyoiva na zana wezeshi ndio vinaingia front kupiga ndondo na ni kampuni binafsi ila kazi za Serikali.
Kundi limesajiliwa Agentina ila wamiliki ni Warusi.
 
Back
Top Bottom