Tuifahamu Wagner Group kwa undani

Tuifahamu Wagner Group kwa undani

Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.

Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) [emoji1787][emoji1787]

Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.

Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.

Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.

Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.

Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.

Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.

NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Waende Nigeria wakawang'oe Boko kharam!
 
Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.

Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) [emoji1787][emoji1787]

Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.

Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.

Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.

Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.

Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.

Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.

NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Waende Nigeria wakawang'oe Boko kharam!
 
Subiri kidogo mkuu utajua, Vikosi vipo US vinapata mafunzo ya Patriot halaf utakuja kutuambia tena hapa kuhusu Wagner Group, ukiona Urusi inakodi mamluki kiasi hiki ndani ya mwaka mmoja kwenye vita ujue hana tena jeshi, jeshi lake limeenda na maji sasa anaamua kukodi
Jeshi la urusi linasubiri mashoga waingie direct ili liwapelekee moto vizuri saivi pambaneni na Wagner
 
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?


Mkuu, uwe na hakika usemacho si tu kusema kinachokufurahisha.

Imesemwa hili kundi liliundwa 2014, Gaddafi ameuliwa 2011, nawe unahoji kwanini halikuweza kumlinda Gadaffi. How?
 
Hili kundi binafsi la ulinzi Wagner linapatikana wap, yaan makao yao hasa ni wap

Ni kwa nin Putin kaamua kuwatumia wao? Ni kwamba jeshi lake ni goigoi kuliko hawa Wagner au ikoje hii wakuu.

Nauliza kwa kutaka kujua siyo ushabiki
Pengine labda ni kwasababu Wagner ni Wapiganaji wakulipwa na hawafuati utaratibu wa kivita wa kimataifa wanapamba kwa mbinu zozote zile wanazoona wao zitawapa mafanikio(kanyaga twende) wakati Jeshi la serikali ni waajiriwa na wanabanwa na sheria (yaani kuna utaratibu wanaopaswa kuuzingatia wawapo vitani)kwahiyo wanakuwa na tahadhari kwa kila hatua wanayochukua!
 
Subiri kidogo mkuu utajua, Vikosi vipo US vinapata mafunzo ya Patriot halaf utakuja kutuambia tena hapa kuhusu Wagner Group, ukiona Urusi inakodi mamluki kiasi hiki ndani ya mwaka mmoja kwenye vita ujue hana tena jeshi, jeshi lake limeenda na maji sasa anaamua kukodi

Kumbuka alianza na jeshi lake, baadae akakodi kutoka Islamic State, akaingiza wafungwa lakini na vijana wa mtaani wakapewa mafunzo na juzi hatima yao umeisikia 400 wameondoka na hao Wagner wape muda kiduchu uje hapa utueleze tena
Hii imeandikwa na nani? Na ghost of Kieve?
 
Urusi hana njaa ya natural resources ,Ndio Nchi pekee hapa Duniani inaaongoza kwa rasilimali nyingi za kila aina-ndio maana USA na Ulaya nzima kila kukicha mipango hao ni kuisambaratisha nia yao iwe kama Afrika isiyoojitambua.
Ukitaka uitawale hii Dunia lazima umukalishe chini Urusi na China vinginevyo ni kutwanga maji kwenye kinu.
Daaaah..... Huwa ni nani anawadanganya nyie watu? Sometimes mpaka mnatia huruma.
 
Wapi umeona kuna vita na hawatumii majeshi??
Dunia imebadilika tupo 4th war generation hawatumii majeshi makubwa kufanya uvamizi. Bali ni vikundi vidogo vidogo vilivyoiva na zana wezeshi ndio vinaingia front kupiga ndondo na ni kampuni binafsi ila kazi za Serikali.
Kundi limesajiliwa Agentina ila wamiliki ni Warusi.
 
Wale wazee wa upinde wakisikia Wagner Group suruali zinanuka kinyesi..

Wagner Group ni kikundi kilianzishwa na makomando wastaafu wa urusi. Wao hukodiwa kwenda kupigana vita sehemu yoyote duniani. Hawa wanaume wakitimba mahali marekani na vibaraka wake wanakacha chap. Maana hawanaga show ndogo. Mfano kuna kipindi mwaka juzi huko Venezuela, marekani walitaka kumpindua Maduro. Maduro akavuta waya, mara zikaonekana kuna ndege 2 zimeingia na wanajeshi wa kirusi, mpaka leo husikii tena story ya kumpindua Maduro. Syria marekani alijifanya anapigana na Islamic State miaka 2, wahuni walivyoingia wiki 2 tukasikia marekani anatoa milio na magaidi wakapoteana, ndo ikawa mwisho wa vita vya Allepo na Syria kwa ujumla.

Sasa hivi dunia nzima walishajua mwanaume wa kweli kivita ni mrusi, ukiangalia hata nchi zilizokuwa marafiki wakubwa wa marekani kama Saudia Arabia, Qatar nk wameanza kujisogeza kwa mrusi baada ya kuona mziki wa Wagner Group sehemu mbalimbali za dunia. Unawaona wanamualika Putin kwa mapokezi ya kihistoria. Wagner Group wameiheshimisha sana urusi.
 
Hahahaaa!! Eti mwanaume wakati anakodi NDONDO
 
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?


Ficha ujinga wako basi... Hata kama unapenda mambo ya upinde na kupinda usipitilize hivyo. Facts ni
1) Vita vya Libya vilipiganwa mwaka 2011 na Wagner group limeanzishwa mwaka 2014
2) Ghadaf ametolewa madarani wakati Putin sio rais wa Urusi, angewanyoosha wanaupinde na hamna kitu mnaweza fanya kama anavyowanyoosha huko Ukraine. Ukraine kila siku anapigwa mabomu, lakin huwezi kusikia mashoga wa NATO waliojaa huko Ukraine wakarusha bomu likaangukia Moscow likaua watu.. wanajua kitakachofata ni kushikishwa ukuta
 
Nachojua n kikundi binafsi Cha ulinzi Kutoka Russia

Kinapokea oda yoyote toka kwa mtu yeyote kikubwa pesa yako tu wanatoa ulinzi wa mtu mmoja mmoja had eneo kubwa iwe mkoa na hata nchi mfuko wako tu

Wengi wanalihusisha kuwa na mafungamano na serikali ya RUSSIA lakn wao wanakataa na wanasema n kundi binafsi la ulinzi

Nitarud kwa ajil ya mission zao nchi zp wapo mission walizofanikiwa na walizoshindwa na uhusika wao katka vita vya Ukraine
Vipi Ukraine naye akiamua kutoa oda ya askari Wagner Group, itakuwaje? Maana umesema hawana mafungamano na serikali ya Russia wao ni mshiko tu then wanatoa ulinzi na military actions.
 
Back
Top Bottom