Hata Libya inasaidiwa na Wagner ndio maana unaona kuna wakati Marekani wanalalama.Vipi libya NATO pia walikimbia baada ya wagner kuingia?
Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandaleHata Libya inasaidiwa na Wagner ndio maana unaona kuna wakati Marekani wanalalama.
Mara kwa mara BBC London, DW, voice of America, aljazeera nk huripoti kwa maumivu makali jinsi Wagner group wanavyotibua maslahi ya NATO huko Libya
Siwezi kujua labda ukaulize pale Tripoli ukitoka ukaulize tena pale MoscowWakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini?
Prominent Wagner fighter who fought in Haftar's offensive on Tripoli shot dead in Ukraine
A member of the notorious Russian Wagner Group has been killed fighting in Ukraine, Russian and Ukrainian media have confirmed. Vladimir Andonov, 44 -also known as "The Executioner" for his brutality in previous wars he served in Libya and Syria- was shot dead by a Ukrainian sniper in Kharkiv...libyaobserver.ly
Naulizaje huko wakati thread yenu imejaa sifa za hawa majangiri na umbea mwingi halafu fact hamuna si mpo karibu hapo kremlin unashindwaje kuleta data hizo dugu?Siwezi kujua labda ukaulize pale Tripoli ukitoka ukaulize tena pale Moscow
Hawakuwepo, walelienda baada ya uhalibifu wa natoWakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?
Prominent Wagner fighter who fought in Haftar's offensive on Tripoli shot dead in Ukraine
A member of the notorious Russian Wagner Group has been killed fighting in Ukraine, Russian and Ukrainian media have confirmed. Vladimir Andonov, 44 -also known as "The Executioner" for his brutality in previous wars he served in Libya and Syria- was shot dead by a Ukrainian sniper in Kharkiv...libyaobserver.ly
Najua lazima ujibu kwa hasira sababu hawa unaowatetea ndio majangili hadi walifikia kuligawanya bara la Afrika.Naulizaje huko wakati thread yenu imejaa sifa za hawa majangiri na umbea mwingi halafu fact hamuna si mpo karibu hapo kremlin unashindwaje kuleta data hizo dugu?
Kelele zenu zote mnajua Urusi akishawamaliza watetezi wa ushoga na usagaji mtakosa uhuru wa kufanya huo upumbavu wenuWakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?
Prominent Wagner fighter who fought in Haftar's offensive on Tripoli shot dead in Ukraine
A member of the notorious Russian Wagner Group has been killed fighting in Ukraine, Russian and Ukrainian media have confirmed. Vladimir Andonov, 44 -also known as "The Executioner" for his brutality in previous wars he served in Libya and Syria- was shot dead by a Ukrainian sniper in Kharkiv...libyaobserver.ly
Ndani ya jeshi la Msumbiji kulikuwa na usaliti, vile vile Rwanda kuna Uzi mwembamba Sana unaowatenganisha na mabeberu.Umeongea kishabiki, Msumbiji walikodiwa lkn kila siku walikuwa wakiuawa mpaka wanajeshi wa Rwanda walipoenda.
Mwisho wa siku tambua hakuna raia wabaguzi kama warusi....Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.
Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) 🤣🤣
Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.
Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.
Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.
Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.
Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.
Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.
NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Ghadafi ameuwawa 2011, PMC limeanzishwa 2014...Wakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?
Prominent Wagner fighter who fought in Haftar's offensive on Tripoli shot dead in Ukraine
A member of the notorious Russian Wagner Group has been killed fighting in Ukraine, Russian and Ukrainian media have confirmed. Vladimir Andonov, 44 -also known as "The Executioner" for his brutality in previous wars he served in Libya and Syria- was shot dead by a Ukrainian sniper in Kharkiv...libyaobserver.ly
Kwa nini Wakiingia sehemu NATO wanasepa au kulalamika?Hili kundi linafanya kazi popote penye maslahi ya Urusi tu, lilianzishwa mwaka 2014/15 likiwa na wapiganaji 250, sasa hivi linawapiganaji zaidi ya 50,000.
Jamaa nchi nyingi za Africa wapo, Africa ya Kati,Libya Mali na Burkina Faso.
Popote yalipo majeshi ya nchi za NATO, wakiingia hao jamaa NATO lazima wasepe.
Wagner imeundwa mwaka gani na Ghadafi kauliwa mwaka gani?? Tumia hio teknolojia yako vizuri kujitoa uzuzu,,..................na hakuna vita ambayo inakosa casualties hata kama upande wenu ndo utakaoshinda,,vita sio michezo yenu ya ki lgbt......hata majangiri wa minato wanafilimbwa huko ukraine hadi hawana hamu na hio vitaWakati gadafi anatandikwa mbona walikuwepo walisaidia nini? Kingne NATO haina maslahi tena libya lengo lao limefanikishwa hayo mengine ni porojo ulimwengu wa teknolojia kila kitu kipo wqzi danganya warusi wenzako wa tandale
Majangiri mengi wa hili kundi wamefia ukraine habari unazo?
Prominent Wagner fighter who fought in Haftar's offensive on Tripoli shot dead in Ukraine
A member of the notorious Russian Wagner Group has been killed fighting in Ukraine, Russian and Ukrainian media have confirmed. Vladimir Andonov, 44 -also known as "The Executioner" for his brutality in previous wars he served in Libya and Syria- was shot dead by a Ukrainian sniper in Kharkiv...libyaobserver.ly
Historia ya Urusi inaeleweka kwamba hana njaanjaa za ajabu ajabu kama hawa LGBTQ. AmejitoshelezaMwisho wa siku tambua hakuna raia wabaguzi kama warusi....
Ngoja mtetea Dunia anyamaze atuachie huyo mnaemuita mtetezi wa waafrika asambaze mamluki wake Afrika baadae waanze kugeukana ndipo utajua Waafrika tunatumiwa vibaya
Mtetea dunia mnafiki tu,,,,mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo.....bora dunia ianze 1 tuMwisho wa siku tambua hakuna raia wabaguzi kama warusi....
Ngoja mtetea Dunia anyamaze atuachie huyo mnaemuita mtetezi wa waafrika asambaze mamluki wake Afrika baadae waanze kugeukana ndipo utajua Waafrika tunatumiwa vibaya
Ni kweli Rwanda aliweka Mambo sawa.Mbona hapa anaengoea kishabiki ni wewe, kwamba wanajeshi wa Rwansa ndo waliweza kuimudu ile stuation?
Badi hili sakata kila mtu analijua kivyake.
Kinachonishangaza Wagner Group wakienda mahali penye wanajeshi wa NATO, nato wanaanza Kulalamika alafu wanaondoka.
Nato wanawaita Wagner group kwa jina la (mamluki wa Putin) [emoji1787][emoji1787]
Mfano pale Syria, Venezuela, Afrika ya Kati, Burkina Faso, Mali, Mozambique, Na Sasa Congo na Ukraine.
NATO walipanga mpaka mwishoni mwa mwaka huu ulioisha eneo kubwa la Afrika liwe halitawaliki ili waje kwa kisingizio cha kulinda amani kumbe wanachota rasilimali za chini ya ardhi pamoja na viungo vya wanadamu.
Kitovu cha uhalifu kwa Afrika Mashariki kilipangwa kiwe eneo la Mocimboa da Praia nchini Mozambique alafu uhalifu huo ungesambazwa kwa kasi maeneo ya Mtwara kuja hadi Lindi, pwani yote ya Afrika Mashariki huku zana nzito zikishushwa Rwanda kwa kipenzi chao Kagame.
Huko Mali, Afrika ya Kati, na Burkina Faso hawa NATO walikuwa wanamtumia Mfaransa na Uingereza kutumia nguvu kubwa kusambaza makundi ya kigaidi na silaha sema bahati nzuri kuna baadhi ya mapinduzi yakawaleta vijana wanaojua michezo ya NATO ndio maana wakaomba kimyakimya usaidizi kutoka Urusi, Urusi wakapeleka wanajeshi wachache wa Wagner group.
Hata Congo Wagner group wameshaingia ndio maana unaona ufalme wa Magharibi/NATO ukilegalega juu ya yale malengo yao.
Kila wakati wanamuuliza rais wa Congo kuhusu ushirika wake na Wagner group lakini rais wa Congo anakataa.
Nakumbuka mwaka 2020 Uingereza alipanga kupeleka kikosi pale Zambia mpakani na Tanzania akishirikiana na baadhi ya mataifa mengine ya NATO, ila ilipofika muda ambao wanataka kuleta kikosi wakakuta tayari Wagner group wapo kwenye misitu ya Zambia tayari.
Na tangu Wagner group wameingia Zambia, ule uhalifu wa kukata watu vichwa kwa makundi kijiji hadi kijiji umeishia. Pia media za magharibi zimebaki kulalamika sehemu zote za dunia tofauti na kipindi cha nyuma walikuwa kazi yao ni kuripoti kuhusu ugaidi na kutabiri kuhusu ugaidi.
NATO wapumbavu sana wanataka sehemu kubwa ya dunia iingie kwenye mchakamchaka wa machafuko alafu wao waendelee kuchota rasilimali na kujiimarisha ili kukija kutulia wawe na nguvu ya kulazimisha sera zao za ushoga na ufeminist kwa nguvu.
Dunia imebadilika tupo 4th war generation hawatumii majeshi makubwa kufanya uvamizi. Bali ni vikundi vidogo vidogo vilivyoiva na zana wezeshi ndio vinaingia front kupiga ndondo na ni kampuni binafsi ila kazi za Serikali.Hili kundi binafsi la ulinzi Wagner linapatikana wap, yaan makao yao hasa ni wap
Ni kwa nin Putin kaamua kuwatumia wao? Ni kwamba jeshi lake ni goigoi kuliko hawa Wagner au ikoje hii wakuu.
Nauliza kwa kutaka kujua siyo ushabiki