Tuifahamu Wagner Group kwa undani

Hili kundi binafsi la ulinzi Wagner linapatikana wap, yaan makao yao hasa ni wap

Ni kwa nin Putin kaamua kuwatumia wao? Ni kwamba jeshi lake ni goigoi kuliko hawa Wagner au ikoje hii wakuu.

Nauliza kwa kutaka kujua siyo ushabiki
Mmarekani kawatumia sana blackwater huko mashariki ya kati....hao ni contractors, kampuni inachukua tenda ya kijeshi kwa niaba ya serikali au kikundi fulani....ilimradi uwalipe vizuri tu na waendane na falsafa zako...........dunia imeshatoka kwenye vita za kama wa vietnam enzi hizo....vita ni biashara
 
Hv mkuu hatuwezi kujichanga
 
Kila aliupande wa West ni lgbt? Utakuwa na matatizo ya akili au ulipata udhalilishwaji udogoni pole sana
 
venezuela huyu ambae anaomba poo kwa marekani yaishe warudishe mahusiano?
 
Kelele zenu zote mnajua Urusi akishawamaliza watetezi wa ushoga na usagaji mtakosa uhuru wa kufanya huo upumbavu wenu
Dogo unarusha mate sana Ushoga upo tangu enzi ya sodoma na gomora so hakuna kipya hapo ni Mungu mwenyewe atamaliza hii kadhia sio hao wabaguzi na majangiri
 
Wahi dawa
 
Subiri kidogo mkuu utajua, Vikosi vipo US vinapata mafunzo ya Patriot halaf utakuja kutuambia tena hapa kuhusu Wagner Group, ukiona Urusi inakodi mamluki kiasi hiki ndani ya mwaka mmoja kwenye vita ujue hana tena jeshi, jeshi lake limeenda na maji sasa anaamua kukodi
 
Subiri kidogo mkuu utajua, Vikosi vipo US vinapata mafunzo ya Patriot halaf utakuja kutuambia tena hapa kuhusu Wagner Group, ukiona Urusi inakodi mamluki kiasi hiki ndani ya mwaka mmoja kwenye vita ujue hana tena jeshi, jeshi lake limeenda na maji sasa anaamua kukodi

Kumbuka alianza na jeshi lake, baadae akakodi kutoka Islamic State, akaingiza wafungwa lakini na vijana wa mtaani wakapewa mafunzo na juzi hatima yao umeisikia 400 wameondoka na hao Wagner wape muda kiduchu uje hapa utueleze tena
 
Sawa comedian zelensky
 
Ilitakiwa wamlinde JP mwendazake😃😃😃😃😃
 
Hawa walitokana na wakati ambao Russia inabadili mfumo wa ujamaa kwenda ubepari watu walionunua viwanda na makampuni kutoka serikali walikuwa wanauwana sana ndio yakaibuka makampuni ya kutoa mabody guard mojawapo likiwa hili mpaka sasa huwa linapewa kazi na serikali ikibidi
 
Kama habari uliyoileta ni ya kweli basi tuiombee urusi iwe na nguvu zaidi. Maana urusi haina njaa na natural resources Kama hawa nato
Urusi hana njaa ya natural resources ,Ndio Nchi pekee hapa Duniani inaaongoza kwa rasilimali nyingi za kila aina-ndio maana USA na Ulaya nzima kila kukicha mipango hao ni kuisambaratisha nia yao iwe kama Afrika isiyoojitambua.
Ukitaka uitawale hii Dunia lazima umukalishe chini Urusi na China vinginevyo ni kutwanga maji kwenye kinu.
 
Nawe tumia akili kundi gani hapa Duniani linaweza kupambana na Jeshi la Nchi mmoja na likaweza yani unalinganisha Kikundi cha watu na Serikali.
Pale Libya kulikuwa na Muungano wa majeshi ya Nchi zaidi ya 32+ ,hicho kikundi kimoja kitaweza vipi kupambana nao.
 
🤣🤣🤣🤣 Marekani anaenda kujitia aibu kwa mara nyingine na michumachuma yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…