Tuifute Nyerere day ili nchi ipate mabadiliko ya kweli ya kiuchumi na kisiasa

Tuifute Nyerere day ili nchi ipate mabadiliko ya kweli ya kiuchumi na kisiasa

Huna adabu. Huna adabu.
Huna adabu. Huna adabu.
Jamii forums kenge kama huyu wa nini humu?
 
Inaonekana una stress za maisha, mtu yoyote mnapojadili kitu akakimbilia kutukana lazima atakuwa na matatizo kichwani.
Unakosaje stress kwenye nchi ambayo hata bandari imeuzwa?? Wewe kama ni mnufaika wa ufisadi na wizi endelea kutokuwa na stress. Lkn utakufa tu. Jinga kabisa.
 
Nani alikudanganya kulikuwa na ukabila na ukanda kabla ya kuja Nyerere?
Kuna juhudi zilofanywa na mwalimu kueneza kiswahili na kuyaungqnisha makabila 125. Haikutokea kama ndoto tu.
 
Huna adabu. Huna adabu.
Huna adabu. Huna adabu.
Jamii forums kenge kama huyu wa nini humu?
Umevimbiwa Maharage kiasi cha kuufanya ubongo wako usifabye kazi tena. Unawaza kwenda chooni tu. Angalia usije kujamba mbele za watu.
 
Nyerere alifanya jambo moja tu zuri ktk taifa hili, nalo ni kuondoa ukabila na ukanda, hivyo kuwafanya watanzania kuwa wamoja. Lakini mengine yote alikosea.

Hivyo kuendelea kumuenzi mwalimu Nyerere ni sawa na kusema tuendelee kuyakumbatia mabaya yake yote. Ambayo ni:-

1. Muungano.
Lengo lilikuwa zuri lakini aina ya muungano ndiyo tatizo. Huu muungano wetu umejaa utata mtupu. Haueleweki, hauelezeki na hautekelezeki lakini tumeukumbatia tu ili kumuenzi mwalimu.

2. Katiba yetu.
Katiba yetu ya Sasa iliundwa enzi za Nyerere 1977. Ktk katiba hii Nyerere alijitwika mamlaka na madaraka yote ya nchi. Kwa katiba hii rais yuko juu ya katiba. Sasa tukiendelea kumuenzi Nyerere maana yake tuendelee na hii katiba. Kwasabb tukiibalisha hata muungano utabadilka.

3. Mwenge.
Hiki kitu hakuna mwenye majibu ya nia, malengo, na umuhimu wake. Lakini kila mwaka mabilioni ya shilingi yanateketezwa ili kuuzungusha nchi nzima. Tunamuenzi Nyerere.

4. Ujamaa.
Wajuvi wanasema watanzania hawajitumi na hawana uthubutu ktk utafutaji kwasabb ya haka kaugonjwa ka ujamaa. Watu wengi wamebweteka kwasabb wanajua watasaidiwa na majirani , ndugu na jamaa. Mifano:-

*Huandai fedha ya harusi/sendoff kwasababu unajua utachangiwa.
*Huandai fedha ya jeneza na mahala pa kuzikiwa kwasbb unajua utachangiwa.
*Watu wengi wamejiunga na vikundi vya kijamii (vikoba, kwaya, jumuiya, soka legends, makanisa, jogging, misikiti, n.k) vinavyowapotezea muda
mwingi ili tu wakipatwa na shida wasaidiwe na vikundi hivyo.

My take: Hii siku ifutwe. Kumbukumbu za Nyerere ziwekwe makumbusho ya taifa huko. Ili tuweze kutekeleza fikra mbadala.
Huu ni mtazamo finyu kutoka kwako mtoa mada japo una uhuru wa kutoa maoni.

Sijawahi kumkubali mtu yeyeote anaye link matatizo yetu ya sasa na J K Nyerere. Nyerere hadi 1985 katawala miaka 24.

1985 mpaka leo ni miaka 38, halafu vichwa 5 baada ya Nyerere bado tuendelee kumlaumu yeye ? Not fair at all.

Yaani 60% ya Watanzania wamezaliwa baada ya yeye kuacha madaraka, bado kweli tuendelee kumlaumu?

Na 40% wamezaliwa 2000 kuja huku mbele wamekuta amekufa, nao wanamlaumu Nyerere.

Nyerere aliondoka hajachimba madini instead aliacha ameyahifadhi kwa ajili ya kizazi hiki na cha baadaye. Na utajiri uko kwenye madini, bado TAKATAKA kama Sexless zinamlaumu
 
Kuna juhudi zilofanywa na mwalimu kueneza kiswahili na kuyaungqnisha makabila 125. Haikutokea kama ndoto tu.
Kisahili kakikuta hata yeye alipoytoka kwao Kiswahili alikuwa anakijuwa, au alikuja Dar Kiswahili hakijuwi?

Hakuna makabila yaliyounganishwa wala kulikuwa hakuna matatizo ya makabila Tanganyika wala Zanzibar.

Tusijitungie vitu ambavyo havikuwepo.

Kuna aliyoyafanya Nyerere lakini hayo mawili hapana. Labda alibadilisha shule zisiwe zinafundisha Kingereza kuanzia shule za msingi, Kingereza kianzia sekondari.


Matokeo, kazalisha taifa la kusomea ujinga.
 
Siwezi kuendelea kulishangaa wazo lako hilo.Uliwahi kutueleza kwamba Waarabu hawajawahi kumchukua mtu yoyote akawa mtumwa.
Kweli kabisa hilo, walinunuwa watumwa kutoka kwa machifu waliokuwa wanuza watu wao.

Umenielewa hapo, au ilikuwa ni kinyume cha hapo?

Kwani sasa utumwa umeisha au lugha tu imebadilika? Dar hapa ukitaka hausigeli kuna madalali kabisa wanakuletea kutoka mkoa wowote ule, wanaitwa dada wa kazi (JF hapa wanaitwa beki tatu). Wengine wanapelekwa Ulaya, Nchi za Kiarabu, nchi za Asia. Au hulijuwi hilo?

Wako mpaka leo hii wanaochukuliwa wakauze miili yao nje huko, wanawake na wanaume, hulijuwi hilo?
 
Nyerere alifanya jambo moja tu zuri ktk taifa hili, nalo ni kuondoa ukabila na ukanda, hivyo kuwafanya watanzania kuwa wamoja. Lakini mengine yote alikosea.

Hivyo kuendelea kumuenzi mwalimu Nyerere ni sawa na kusema tuendelee kuyakumbatia mabaya yake yote. Ambayo ni:-

1. Muungano.
Lengo lilikuwa zuri lakini aina ya muungano ndiyo tatizo. Huu muungano wetu umejaa utata mtupu. Haueleweki, hauelezeki na hautekelezeki lakini tumeukumbatia tu ili kumuenzi mwalimu.

2. Katiba yetu.
Katiba yetu ya Sasa iliundwa enzi za Nyerere 1977. Ktk katiba hii Nyerere alijitwika mamlaka na madaraka yote ya nchi. Kwa katiba hii rais yuko juu ya katiba. Sasa tukiendelea kumuenzi Nyerere maana yake tuendelee na hii katiba. Kwasabb tukiibalisha hata muungano utabadilka.

3. Mwenge.
Hiki kitu hakuna mwenye majibu ya nia, malengo, na umuhimu wake. Lakini kila mwaka mabilioni ya shilingi yanateketezwa ili kuuzungusha nchi nzima. Tunamuenzi Nyerere.

4. Ujamaa.
Wajuvi wanasema watanzania hawajitumi na hawana uthubutu ktk utafutaji kwasabb ya haka kaugonjwa ka ujamaa. Watu wengi wamebweteka kwasabb wanajua watasaidiwa na majirani , ndugu na jamaa. Mifano:-

*Huandai fedha ya harusi/sendoff kwasababu unajua utachangiwa.
*Huandai fedha ya jeneza na mahala pa kuzikiwa kwasbb unajua utachangiwa.
*Watu wengi wamejiunga na vikundi vya kijamii (vikoba, kwaya, jumuiya, soka legends, makanisa, jogging, misikiti, n.k) vinavyowapotezea muda
mwingi ili tu wakipatwa na shida wasaidiwe na vikundi hivyo.

My take: Hii siku ifutwe. Kumbukumbu za Nyerere ziwekwe makumbusho ya taifa huko. Ili tuweze kutekeleza fikra mbadala.
Naunga Mkono hoja
 
lazimatuwena shukurani kwa alichokifanya mtanazania mwenzetu
 
Sio kweni ni kawaida ya Madikteta wa Kiafrika kuwaweka watu wa maeneo yao kwenye Jeshi na Ukuu wa Jeshi

Magufuli pia alimuweka Msukuma mwenzake.
Hivi unajua kwamba "Wakurya" walitaka kufanya mapinduzi/uasi na kuanzisha dola/nchi yao wakati huohuo wa Nyerere?
 
Back
Top Bottom