Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
Wachaga tusichangane na wasukuma😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wazungu wamefanikiwa na hawana hizo mambo za
Sio wazungu wote mkuuMbona wazungu wamefanikiwa na hawana hizo mambo za kubaguana?
Hapa sizungumzii Ubaguzi bali kuwa na msimamo kwa maslahi ya Taifa na FamiliaMbona wazungu wamefanikiwa na hawana hizo mambo za kubaguana?
Huo ni Ukabila hautakiwiWachaga tusichangane na wasukuma😂😂
Huwa nakutana na MwanamlkeSio wazungu wote mkuu
Italians unajua kwanini kwenye Corona walikufa sana
Kwa sababu wanakaa familia yote pamoja mpaka babu unamkuta hapo
Ila waingereza ni tofauti kabisa
Wao wameamua mtoto akifika miaka 18 au kamaliza shule aanze kulipia bills home hataki aanze
Ndio maana hata mirathi hawana Habari nazo
Aliondoka wazee wanaweza kutoa mirathi kwenye Charities wanazozitaka wao
HeheheeeNdio maana huwa nasisitiza nidhamu kwenye familia
Dini pia zina mchango mkubwa sana katika maisha ya kila siku yaani mambo yote mazuri na mabaya tumefundishwa ila wengi wako mbali sana na maadili
Duniani nchi nyingi sana zinafuata misingi ya Imani hata far east wako hivyo na hata jirani wasomali ni hivyo hivyo
Tatizo la waafrika wengi ni Imani za kishirikina
Unaamini kabisa kuwa Shangazi yako kakuroga ndio maana huna maendeleo seriously
Yaani fala mmoja kijijini anakuzidi akili na kuku unamuachia?
Kama hakuna nidhamu na upendo katika familia hapo lazima umtafute mchawi?
Waswahili wana roho mbaya na matapeli sana
Ndio maana mpaka vijana wanakataa ndoa kisa wanaona mke anaiba kwa mume anapeleka kwao akijua fika hawa watoto wake ndio mali zao hizo anazochuma baba
Machoko wengiHivi DNA ya kiyahudi inakuwaje, nimejaribu kuwaza na kuwazua hapa sipati jibu kamili.
WamefanyajeMachoko wengi
Hahaaaa we unaongelea ule uharamia😆😆Tuige? Mbona tuko tunafanya hivyo muda mrefu. Ukoo uwe wa watu weusi watupu matokeo yake ndio unapata specie zilizopo bungeni kule
WaisraeliWamefanyaje
Tunaweza kunyanduana....au hujui hiyo....si tumeshakubaliana sisi weusi hakuna kitu tunaweza hapa duniani.
Kwenye hii angle we are the winner dunia nzimaTunaweza kunyanduana....au hujui hiyo....
[emoji16][emoji16]Wachaga tusichangane na wasukuma[emoji23][emoji23]
MJINGA SIKU ZOTE HUHANGAIKA SANA AKIDHANI KUA ANA MAPUNGUFU kumbe tatizo ni akiliNimeishi kwenye jamii za Hawa watu Takriban miaka 8 sasa. Nimefanya nao kazi za Maofsini na za Nje ya ofisi yaani za kijamii na Uchumi.
Pamoja na changamoto nilizoona ktk familia zao na mfumo mzima wa maisha yao lakini bado kuna nafuu sana ukilinganisha na ya kwetu sisi watu weusi.
Hizi jamii mbili ziko serious sana na Swala la Kifamilia, Ukoo na Generation( geneology).
Hawana masihara hata kidogo na hivyo imepelekea wanafanikiwa kifamilia, kiuchumi na hata mataifa yao.
Hawapendi kuchanganya.
Hawahendekezi hisia bali wanatanguliza Akili.
Muhindi au Mwarabu Babu wa Babu yake amezaliwa Tanzania lakini bado Vitukuu vyake haviko tayari kuchanganya Damu. Ikitokea basi ni bahati mbaya sana kwa upande wao.
Mimi naunga mkono mira na desturi zao
Tufika mahali tuache ujanja ujanja kwenye Mambo Muhimu ya Kifamilia.
Mfano mwingine Israeli kokote unakozaa mtoto lazima apimwe DNA kwanza ujua kama Myahudi.
Kama hauko serious kwenye swala la familia utakuwa serious kwenye Nini?
Wahindi na Warabu wamejizatiti hakuna kuzaa hovyo hovyo na mtu mweusi kwa sababu watu weusi hawajali mstakabali wa Maisha yao.
Kwa Muhindi utaoa au kuolewa tu na yule ambaye familia imeridhia uwe unampenda au humpendi lazima utii Wazazi.
Na kwakweli tunaona wanafanikiwa sana kwenye maswala ya kifamilia na Uchumi Pia.
Kwetu sisi ambao sote ni Weusi na tunaoana sisi kwa sisi bado hatuko serious na vimisemo kama Ktanda hakizai haramu.
Hii ni misemo ya jamii isyozingatia mustakabali wa maisha yao na kuhendekeza uhuni, kuzaa hovyo hovyo na maadili mabovu.
Nadhani ana maana, mwanamke akidai huyo ni mwanao (assuming wewe ni Myahudi ) then ndio wanapima DNA ya baba na mtoto.Hivi DNA ya kiyahudi inakuwaje, nimejaribu kuwaza na kuwazua hapa sipati jibu kamili.
Mjanja mmoja umeandika kitu ambacho nimekuwa nikikigusia mara kwa mara Kila ninapokutana na mada kama hii.Naunga hoja.
WaTZ Wengi wameshaharibikiwa kwenye suala zima la kujenga Familia Bora.
WATZ WENGI HAWANA MISIMIMAMO NA PIA NI WAONGO ONGO SANA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue