Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

casus omissus
Casus omissus is a Latin term that means "case omitted." It refers to a situation that is not covered by a statute or contract, and therefore, it is governed by case law or new judge-made law

Mrithi wa awamu ya 5 atakatikia njiani maana pembe iliyokatika iliungwa kwa kamba na gundi kisha kiburi kikapanda kwamba pembe imetengemaa bila kutambua kilichoungwa hakiaminiki kufika mwisho wa safari.

Ndege imeshindwa kutua kutoakana na kimbunga Rafaelkimekata nguzo na nyaya za umeme
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Anayegombea urais hawezi kugombea bila kuwa na mgombea mwenza. Makamu wa rais lazima atakuwa ameisha pigiwa kura
 
Casus omissus is a Latin term that means "case omitted." It refers to a situation that is not covered by a statute or contract, and therefore, it is governed by case law or new judge-made law

Mrithi wa awamu ya 5 atakatikia njiani maana pembe iliyokatika iliungwa kwa kamba na gundi kisha kiburi kikapanda kwamba pembe imetengemaa bila kutambua kilichoungwa hakiaminiki kufika mwisho wa safari.

Ndege imeshindwa kutua kutoakana na kimbunga Rafaelkimekata nguzo na nyaya za umeme
Ee Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma, EPUSHIA MBALI mabalaa yote katika taifa letu.
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Apa nafikili lazima kuwepo serikali ya mda ,na kuitisha uchaguzi mpya ,ngoja wenye sheria zao waje tujifunze
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Wagalatia na chadema mna kazi, wapika sumu nyie
 
Kuna ibara kwenye Katiba ya Tanzania kwamba endapo Rais aliyeko madarakani akakosa uwezo wa kuendelea kuongoza, basi Makamu wake ambaye amepigiwa kura na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu atachukua nafasi yake!

Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?

Swali hili unaweza kuja kichwa kichwa kumbe kuna mambo mengi ndani ya kujifunza.

Naomba mods wasiondoe Uzi huu ni kwa ajili ya mafunzo kujua sheria za utawala na hapo baadae unaweza kufufuliwa miaka tata 40 ijayo kwakuwa maandishi uishi sana.

Britanicca
Atakayekuja kichwa kichwa ni mpumbaf.

Hakuna hata mmoja aliyewahi kuwaza jambo hili, hata hili neno 'Rais kupoteza sifa' namna lilivyowekwa bila uzito, ingawa kupoteza sifa ni pamoja na kuwehuka, ama kulambwa impechment, lakini kilicholengwa hasa hapo ni ' Rais kufia madarakani'.

Waliotunga katiba hii kuhusu kufia madarakani, waliona ni jambo gumu lisilowezekana kirahisi,vinginevyo jambo hilo lingeandikwa kwa tafakuri kubwa na kwa uzito.

Sasa kwa mfano leo Mungu akiamua ugomvi, unadhani itakuwaje kweli!

Maana aliyepo ni wa kukamata barabarani tu na siyo mwenza.

Kwa swali hili, hakuna atakayekujibu vya maana zaidi ya kusema 'busara itatumika', maana kwa kweli 'pwenti' hiyo muhimu haipo kwenye 'msahafu'.
 
50.-(1) Isipokuwa kama atajiuzulu au atafariki mapema zaidi,
mtu aliyechaguliwa, au kuteuliwa kwa mujibu wa ibara ya 37(5),
kuwa Makamu wa Rais, bila ya kuathiri masharti mengine ya
ibara hii, atashika kiti cha Makamu wa Rais kwa muda wa miaka

mitano tangu alipochaguliwa kuwa Makamu wa Rais.

(2) Makamu wa Rais atashika kiti hicho hadi-
(a)muda wake utakapokwisha;
(b)akifariki dunia akiwa katika madaraka;
(c)atakapojiuzulu;

(d)atakapoapishwa kuwa Rais baada ya kiti cha Rais
kuwa wazi;


(e)atakapotiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai
linaloonyesha utovu wake wa uaminifu;
(f)atakapoapishwa Rais mwingine kushika nafasi ya
Rais pamoja na Makamu wake;
(g)atakapoondolewa madarakani baada ya kushtakiwa
Bungeni kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya
(3) ya ibara hii;
(h)atakapoacha kushika kiti cha Makamu wa Rais
vinginevyo kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

=========================================

SWALI LA MTOA HOJA NI: Ataapishwa kuwa Rais ktk mazingira gani?

Mathalani kwa huyu aliyepo sasa Dr Philip Isidory Mpango ha - fit kwenye sifa inayotajwa na ibara ya 37 (5) maana hakuwahi kupigiwa kura na Rais huyu aliyepo..?

Hauoni kuwa, katiba haina jibu sahihi kwa scenario hii iwapo itatokea...?

1. Hiyo habari ya kwamba "...Makamu wa Rais ili arithi kiti cha Urais ni sharti kwanza awe alipigiwa kura za uchaguzi wa pamoja na Rais aliyepo..." umeipata wapi?

2. Soma tena vizuri Ibara ya 37 (5); kisha

3. Soma tena kwa kutulia Ibara ya 50 (1) & (2) (d).

-Kaveli-
 
Tuelimishane hapa! Vipi Kama Makamu wake alipatikana bila kupigiwa kura na wananchi yaaan hakuwa mgombea mwenza, alafu aliyekomadarakani akapoteza sifa za kuwa Rais, nani anaongoza nchi kwa mujibu wa Katiba?
Kwani Katiba inatamka Makamu wa Rais aliyepigiwa kura au inatamka Makamu wa Rais tu? Hiyo haijalishi, akidanja ka Makamu kanachukua nchi!
 
Back
Top Bottom