Tuisheni ya Kitabibu.Madaktari wa Serikali Tanzania Wameruhisiwa kufanya kazi binafsi ndani ya Hospitali za Serikali?

Tuisheni ya Kitabibu.Madaktari wa Serikali Tanzania Wameruhisiwa kufanya kazi binafsi ndani ya Hospitali za Serikali?

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,154
Reaction score
4,184
Mheshimiwa Waziri Ummy Mwalimu;
Nakuelewa sana as person and as a woman na unajitahidi sana kufanya kazi ila kwa hili ambalo wanasema Umeruhusu Sasa Madaktari wafanye "Tuition ya Kitabibu" Kwa kweli hiki ni Kituko PRO MAX.

Hata kama lengo ni kututoa kwenye Mjada wa DP world Basii SISI tunahisi Hii ni mbinu ya kutaka KUWAPA DP WORLD Hospitali ZETU pia.Labda Nikuulize;
  1. Hospitali zinapaswa kuwa wazi 24/7 sasa huo muda wa ziada na facilities za ziada za kufanya hiyo TUTION ya KItabibu watautoa wapi?
  2. Muda wa kazi tu wameelemewa.Nguvu ya Kufanya Tution watatoa wapi
 
Kwani private clinic ni sawa na tuition ya kitabibu ? acha hizo

lakini pia hizi private clinic ni mhimu sana .itaongeza ufanisi katika utendaji ,kuondoa foleni ya wagonjwa ,na kuongeza kipato cha madaktari,kuondoa utitiri wa wa private clinic mitaani,pia itasaidia mapato ya serikali nk
ningekuwa nimeajiriwa serikalini ningekuwa tajiri aisee kwa namna ninavyopendwa na wagonjwa.dah.basi tu
 
Kwani private clinic ni sawa na tuition ya kitabibu ? acha hizo

lakini pia hizi private clinic ni mhimu sana .itaongeza ufanisi katika utendaji ,kuondoa foleni ya wagonjwa ,na kuongeza kipato cha madaktari,kuondoa utitiri wa wa private clinic mitaani,pia itasaidia mapato ya serikali nk
ningekuwa nimeajiriwa serikalini ningekuwa tajiri aisee kwa namna ninavyopendwa na wagonjwa.dah.basi tu
Mkuu,Private Clinic na nani?Kwa utaratibu gani?Kama wanahitaji Huduma za Private waende Private Hospital or Else watafutane Nje ya Hospitali.Wawaruhusu Madaktari wa Serikali kuwa na Private Practice kwa Masharti maalum kama Vile Disclosure etc.That is IT.
 
Mkuu,Private Clinic na nani?Kwa utaratibu gani?Kama wanahitaji Huduma za Private waende Private Hospital or Else watafutane Nje ya Hospitali.Wawaruhusu Madaktari wa Serikali kuwa na Private Practice kwa Masharti maalum kama Vile Disclosure etc.That is IT.
Haya mambo yako juu ya uwezo wako wa kufikiri!
Kama una nia ya kujifunza omba upewe shule otherwise ni bora ukaachana nayo.
 
Mheshimiwa Waziri Ummy Mwalimu;
Nakuelewa sana as person and as a woman na unajitahidi sana kufanya kazi ila kwa hili ambalo wanasema Umeruhusu Sasa Madaktari wafanye "Tuition ya Kitabibu" Kwa kweli hiki ni Kituko PRO MAX.

Hata kama lengo ni kututoa kwenye Mjada wa DP world Basii SISI tunahisi Hii ni mbinu ya kutaka KUWAPA DP WORLD Hospitali ZETU pia.Labda Nikuulize;
  1. Hospitali zinapaswa kuwa wazi 24/7 sasa huo muda wa ziada na facilities za ziada za kufanya hiyo TUTION ya KItabibu watautoa wapi?
  2. Muda wa kazi tu wameelemewa.Nguvu ya Kufanya Tution watatoa wapi
Maajabu. Sasa hapo ubinafsi hakika umeshinda. Huyo daktari si wakati rasmi wa kazi atawaweka wagonjwa wote viporo kusubira muda wake binafsi. Atakua anapata mshahara wa serikali bure na kutumia hospitali na vifaa vya umma bure kuendesha biashara yake bila kulipia na bila kulipa kodi.
 
Haya mambo yako juu ya uwezo wako wa kufikiri!
Kama una nia ya kujifunza omba upewe shule otherwise ni bora ukaachana nayo.
Mkuu wala huhitaji uwezi wa kufikiri ili kuelewa Ujinga.Wala huhitaji uwezo wa kufikiri kujua kwamba yale ya DP world yako KILA Mahali.
Labda Nikuulize.Huyo Daktari atatumia kigezo gani na njia gani kupata wagonjwa binafsi kama sio kukwambia Nitafute wakati wa Private Clinic?
Acha Uzwazwa.Kwenye Famasi Wafamasia walikuwa wanahamisha Madawa na kupeleka kwenye Pharmacy zao.Kama vile haitoshi sasa mnataka mtuongezee stress.
Mtu unataka huduma ya Binafsi nenda Hospitali Binafsi.PERIOD au kama una PESA za MChezo Mlipa Hyo Daktari akitoka KAzini apite nyumbani kwako KUkuhudumia.

Tuacheni Ukumbafu
 
Mheshimiwa Waziri Ummy Mwalimu;
Nakuelewa sana as person and as a woman na unajitahidi sana kufanya kazi ila kwa hili ambalo wanasema Umeruhusu Sasa Madaktari wafanye "Tuition ya Kitabibu" Kwa kweli hiki ni Kituko PRO MAX.

Hata kama lengo ni kututoa kwenye Mjada wa DP world Basii SISI tunahisi Hii ni mbinu ya kutaka KUWAPA DP WORLD Hospitali ZETU pia.Labda Nikuulize;
  1. Hospitali zinapaswa kuwa wazi 24/7 sasa huo muda wa ziada na facilities za ziada za kufanya hiyo TUTION ya KItabibu watautoa wapi?
  2. Muda wa kazi tu wameelemewa.Nguvu ya Kufanya Tution watatoa wapi
Hili jambo mbona ni la kawaida sana, Umeshaenda Ocean Road wewe kuona wanafanyaje pale. Serikali haijazuia madaktari kufanya kazi za nje baada ya muda wao wa kazi wa mwajiri. Part Time Contracts zinaruhusiwa ili mradi ufanye nje ya muda wa masaa ya mwajiri. Kuna sehemu wananchi wanakosa huduma kwakuwa daktari amefikisha muda wake wa kazi kwa mwajiri anaondoka. Huoni ruhusa hii itasaidia upatikanaji wa huduma hapo hapo kwenye Hospitalini. Nia ya Waziri Ummy ni njema na anataka kuboresha zaidi huduma za afya nchini. Utaratibu tuu mzuri uzingatiwe na madaktari waache tamaa za kuwa na vijiwe vingi wawahudumie wananchi.
 
Hili jambo mbona ni la kawaida sana, Umeshaenda Ocean Road wewe kuona wanafanyaje pale. Serikali haijazuia madaktari kufanya kazi za nje baada ya muda wao wa kazi wa mwajiri. Part Time Contracts zinaruhusiwa ili mradi ufanye nje ya muda wa masaa ya mwajiri. Kuna sehemu wananchi wanakosa huduma kwakuwa daktari amefikisha muda wake wa kazi kwa mwajiri anaondoka. Huoni ruhusa hii itasaidia upatikanaji wa huduma hapo hapo kwenye Hospitalini. Nia ya Waziri Ummy ni njema na anataka kuboresha zaidi huduma za afya nchini. Utaratibu tuu mzuri uzingatiwe na madaktari waache tamaa za kuwa na vijiwe vingi wawahudumie wananchi.
Mkuu,Point ya msingi ni hii ya kusema kwamba watafanyia kazi hapo hospitalini baada ya Muda wao wa kazi kuisha.Ninachojua kunakuwa na utaratibu wa shift na Overtime So Sidhani kama serikali imeshindwa kuwalipa madaktari shift allowance na Overtime mpaka waamue sasa kufanya TUTION ndani ya Majengo ya Serikali.
 
Mheshimiwa Waziri Ummy Mwalimu;
Nakuelewa sana as person and as a woman na unajitahidi sana kufanya kazi ila kwa hili ambalo wanasema Umeruhusu Sasa Madaktari wafanye "Tuition ya Kitabibu" Kwa kweli hiki ni Kituko PRO MAX.

Hata kama lengo ni kututoa kwenye Mjada wa DP world Basii SISI tunahisi Hii ni mbinu ya kutaka KUWAPA DP WORLD Hospitali ZETU pia.Labda Nikuulize;
  1. Hospitali zinapaswa kuwa wazi 24/7 sasa huo muda wa ziada na facilities za ziada za kufanya hiyo TUTION ya KItabibu watautoa wapi?
  2. Muda wa kazi tu wameelemewa.Nguvu ya Kufanya Tution watatoa wapi
Ummy ni mtu wa hovyo sn anaua Wizara ya afya
 
Back
Top Bottom