Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora usingempa hiyo simu ukamchana ukweli kuliko kuja kumsimanga huku JfUjue kuna jamaa yangu kitaa kaniomba smartphone aende nayo weekend kwa demu wake hahahah nikaona niandike haka kauzi daah haya maisha haya Mungu mwenyewe anajua
Kichwa chako kibovu.Sio utanibadilikia sema nikubadilishe sahivi huo mdomo niutoe meno,nikudunde hadi make up idondoke ubaki ukiwa chausiku na sio chakorii..😎😊
Hapo akisha maliza yake ana kurudishia,Life linaendelea kama kawaida.Shida sio ku fake shida ni hawa viumbe ndo vinafanya u fake.Ukiwa real humpati[emoji28]Ujue kuna jamaa yangu kitaa kaniomba smartphone aende nayo weekend kwa demu wake hahahah nikaona niandike haka kauzi daah haya maisha haya Mungu mwenyewe anajua
😂😂 Titiii for TatiiiiKama cheni Ni bandia,Basi na noti ziwe bandia tu.
Mazingira yapi tena jaman!?Wakati mwingine unakutana na mazingira yanayokulazimu ufake.so hakuna namna kikubwa uhai
Sawasawa lejendari..Kichwa chako kibovu.
Labda meno makeup huko nitoe maana si mahali pangu
Tupambane tuwe sisi katika mafanikio yetu na sio tuwe wale kimuonekano alafu kiuhalisia hali teteHapo akisha maliza yake ana kurudishia,Life linaendelea kama kawaida.Shida sio ku fake shida ni hawa viumbe ndo vinafanya u fake.Ukiwa real humpati[emoji28]
Bora hiyo simu ampe,Sema amwambie awe makini asije aka ihonga.Kwa sababu mademu wamezidi.Ukienda ukiwa real ana kuchomolea mchana kweupe.Bora kufake tu umpate kisha kila mtu ashike 50 zake.Ukweli utajulikana badaee.Bora usingempa hiyo simu ukamchana ukweli kuliko kuja kumsimanga huku Jf
Ukiona umeamka mzima,ujue mapambano yanaendelea.Lakini siyo kigezo cha ku to kufake kwenye swala la mademu.Mademu usipo fake utaishia kula mizoga[emoji1787]Tupambane tuwe sisi katika mafanikio yetu na sio tuwe wale kimuonekano alafu kiuhalisia hali tete
"70% of African women life style is pretence" kwasbb wengi wamelelewa from humble background na wako tayari kukubaliana na huo ukweli.Habari zenu wakuu.
Leo nimemua kuandika kidogo baada ya kukaa muda mrefu bila kuandika humu JF.
Maisha yetu wengi wetu vijana wa kike na wakiume ni ya kawaida kama sio chini. Ila utakuta sisi ambao tuna pata kidogo lakin tunatumia kingi, nikimaanisha tunafanya saana anasa, hatuna tafakari jema.
Ni kawaida kuona kijana wa kiume ana mtaka kimapenzi binti sasa kulingana na hali ya maisha ya kijana wa kiume anaamua kufake life ili akubalike. Brothers tunajikomoa wenyewe. Vile vile kwa wadada nao akipata kijana wa kiume anaemtaka anaanza kumgeuza kitega uchumi chake ili apate hela za kuishi maisha yake ya maigizo[emoji12][emoji12][emoji12].
Malalamiko mengi siku hizi ni ya vijana wakiume wakidai wadada wanapenda saana hela na wadada nao wanalalamika wanaume hawajatulia. Hivi watatuliaje ikiwa mnawauzia upendo wenu.
Pesa ikiwa mbele ya utu kuaminiana na kuvumiliana ni kidogo mno. Ila tusiache kuitafuta pesa maana ni suluhisho la mengi[emoji23][emoji23][emoji23].
Dada unaependa hela ujue kuzitafuta sio kutichuna na kaka unaependa wadada wazuri ujue kutulia na huyo mzuri ukimpata.
Kwanza hata wao wanapenda kudanganywa.Uki wambia ukweli wanakuona ni mwanaume ambae hajakamilika .Noma noma
Yani hata kama ukipambana ukawa na mafanikio makubwaa na wao lazima wata fake love kwako Kwa sababu ya mafanikio Yako.Watakuita majina Yote ya mapenzi,Watakwambia wewe ni handsome,Wewe ni unique Yote Kwa sababu ya mafanikio Yako lakini sio kwamba watakuwa real.Tupambane tuwe sisi katika mafanikio yetu na sio tuwe wale kimuonekano alafu kiuhalisia hali tete
Kwani huyo rafiki yako yuko kidato cha ngapi?Sijampa nimemchana mno. Na nimemuambia simu haina kushare.