Tuishi maisha yetu halisi tuache maigizo tutaumbuka

Tuishi maisha yetu halisi tuache maigizo tutaumbuka

Bora hiyo simu ampe,Sema amwambie awe makini asije aka ihonga.Kwa sababu mademu wamezidi.Ukienda ukiwa real ana kuchomolea mchana kweupe.Bora kufake tu umpate kisha kila mtu ashike 50 zake.Ukweli utajulikana badaee.
Hii dunia si yetu
 
Hii dunia si yetu
Maisha yenyewe maigizo tu

Mtu ana piga pamba zake kali,Ukweli anaujua yeye huko aliko toka.

Mtu ana kuonesha tabasamu,Ukweli ana ujua yeye moyoni mwake kuna nini.

Mtu anaweka stick mdomoni,Ukweli anaujua yeye amekula nini[emoji28]

DUNIA SIO YETU,LAKINI SOTE NI WA MUNGU.
 
Yani hata kama ukipambana ukawa na mafanikio makubwaa na wao lazima wata fake love kwako Kwa sababu ya mafanikio Yako.Watakuita majina Yote ya mapenzi,Watakwambia wewe ni handsome,Wewe ni unique Yote Kwa sababu ya mafanikio Yako lakini sio kwamba watakuwa real.

Ku fake lazima bro![emoji1787] Weee...
Sawa ila mwanaume ku fake life ubajiumiza ndugu
 
Kwanza hata wao wanapenda kudanganywa.Uki wambia ukweli wanakuona ni mwanaume ambae hajakamilika .
Sasa wewe wambie ukweli uone.Utakula jeuri yako[emoji28] ya kuwambia ukweli.
Hahah kuna uongo ule wakumvuta ajae na kuna ile kujiumiza kwa kufake mambo.
 
"70% of African women life style is pretence" kwasbb wengi wamelelewa from humble background na wako tayari kukubaliana na huo ukweli.
Ila kwa mwanaume bora kuwa real na hali yako. Msoto ni wa muda tu
 
Mkuu ukiwa na buku huwezi kutaka kwenda kula chakula cha mchana Serena Hotel...
Pole bna...ila tumekuelewa wakubwa wenzio
 
Mkuu ukiwa na buku huwezi kutaka kwenda kula chakula cha mchana Serena Hotel...
Pole bna...ila tumekuelewa wakubwa wenzio
🙏🏻🙏🏻 vijana wa hivyo wanaenda na hiyo buku afu wanapiga picha selfie aonekane alikua viwanja vya serena hotel🤣🤣
 
Kuna jamaa yangu ofisn huwa nampa ndinga yangu hasa mchana lunch huwa anakuja kwa droo anachukua key anaenda lunch,

Kumbe ana dem huwa anamchukua wanatoka wote ni ofis jirani, sasa kuna siku nimeingia zangu kwa gari ghafula naona mtu ananigongea kushusha kioo naona mrembo nikamwambia mambo akanambia sorry nilijua Xx najua hii ni gari yake.

Akaniuliza kwani yeye yuko wapi??nataka anipe lift ikabd nifiche aibu nikamwambia leo katoka anakazi HQ atachelewa rudi. Nikambeba bhs njian dem anaongea X anakuamini sana yani anakupa mpaka gari nyie ni marafiki Jamaa alishamwambia dem kwamba gari yake asee noma sana[emoji28][emoji28].

Nikamwambia ndio tunaaminiana nikamwambia mbna sikujui ndo nakuona leo akanmbia ndo tuna mwezi kila siku lunch huwa ananipitia ofisn na gari hii tunakwenda kula yaani dem kajaa kwa mchizi hatari magari haya[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]

Kiukweli bila kufeki huwezi pata dem kwa sasa kila dem atakukataaa aseee mwenyew kuna madem nikiwafata lazma nijitanue aone bonge la bwana
 
Kuna jamaa yangu ofisn huwa nampa ndinga yangu hasa mchana lunch huwa anakuja kwa droo anachukua key anaenda lunch,

Kumbe ana dem huwa anamchukua wanatoka wote ni ofis jirani, sasa kuna siku nimeingia zangu kwa gari ghafula naona mtu ananigongea kushusha kioo naona mrembo nikamwambia mambo akanambia sorry nilijua Xx najua hii ni gari yake.

Akaniuliza kwani yeye yuko wapi??nataka anipe lift ikabd nifiche aibu nikamwambia leo katoka anakazi HQ atachelewa rudi. Nikambeba bhs njian dem anaongea X anakuamini sana yani anakupa mpaka gari nyie ni marafiki Jamaa alishamwambia dem kwamba gari yake asee noma sana[emoji28][emoji28].

Nikamwambia ndio tunaaminiana nikamwambia mbna sikujui ndo nakuona leo akanmbia ndo tuna mwezi kila siku lunch huwa ananipitia ofisn na gari hii tunakwenda kula yaani dem kajaa kwa mchizi hatari magari haya[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]

Kiukweli bila kufeki huwezi pata dem kwa sasa kila dem atakukataaa aseee mwenyew kuna madem nikiwafata lazma nijitanue aone bonge la bwana
Ungeteka jeshi hapo. Umzunguke mwana na demu ungejilia hapo hapo kwa ndinga lako
 
Ujue kuna jamaa yangu kitaa kaniomba smartphone aende nayo weekend kwa demu wake hahahah nikaona niandike haka kauzi daah haya maisha haya Mungu mwenyewe anajua
wanawake wanapenda kudanganywa kuliko kuambiwa ukweli, na kwa hali hiyo hujikuta wamedumbukia siko, yani kwenye hamna na cha moto hukipata. Na wakipate tuu, maana wanayataka wenyewe.

Kuna jamaa ni mzee wa kuazima, na amejaliwa saundi na fix za uongo kama zote na Kama ni cheti au level ya Elimu basi angekuwa profesa wa fix na uongo.

Na kinachombeba na kumfanya wanawake wenye tamaa za pesa wamwamini ni mwili wake, maana hata akiazima gari ya mtu akikaa humo anaenea, utazani yake.

Jamaa kajiokotea dodo chini ya muembe kisa fix zake, tena toto zuri msomi kabisa, wale wa kuringa na kujiskia.

Dada wa watu kapigwa na kitu kizito kichwani, sababu ya tamaa zake za pesa kanasa kwenye tundu bovu, baada ya ndoa ndo anagundua jamaa hana mia, na cha moto amekipata.
 
Usipofeki utakula mbusuza aza ovyoovyo

Mwanzo nilliona kuwa kufake Ni hatari ila jamaa angu Ana feki na anakula mademu wakli San anawadangaya San na mademu wanajaha wenye aogopi kbsa anansema mpk akili siwakae sawa Hana anachopoteza mnk Hawa watot ukiwaambia ukweli watakukimbia ila fix wanapenda San

Mm mwenyew sasa HV nikitaka mbususa mkali nafake alfu nikisha pita nae nakausha zangu sina muda
 
Usipofeki utakula mbusuza aza ovyonovyo

Nwanzo nilliona kuwa kufake Ni hatari ila jamaa angu Ana feki na anakula mademu wakli San anawadangaya San na mademu wanajaha wenye aogopi kbsa anansema mpk akili siwakae sawa Hana anachopoteza mnk Hawa watot ukiwaambia ukweli watakukimbia ila fix wanpenda San

Mm mwenyew sad HV nikitaka mbususa mkali nafake alfu nikisha pita nae nakausha zangu
Kufake kunafaa sana kwa wale wanawake wadangaji ila kwa mgongo wa mahaba Moto moto.

Ukimpata,
Unahakikisha unamfuja ipasavyo Kisha unamdump.

Sio kwa yule unaetegemea kufanya nae malengo




Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake wanapenda kudanganywa kuliko kuambiwa ukweli, na kwa hali hiyo hujikuta wamedumbukia siko, yani kwenye hamna na cha moto hukipata. Na wakipate tuu, maana wanayataka wenyewe.

Kuna jamaa ni mzee wa kuazima, na amejaliwa saundi na fix za uongo kama zote na Kama ni cheti au level ya Elimu basi angekuwa profesa wa fix na uongo.

Na kinachombeba na kumfanya wanawake wenye tamaa za pesa wamwamini ni mwili wake, maana hata akiazima gari ya mtu akikaa humo anaenea, utazani yake.

Jamaa kajiokotea dodo chini ya muembe kisa fix zake, tena toto zuri msomi kabisa, wale wa kuringa na kujiskia.

Dada wa watu kapigwa na kitu kizito kichwani, sababu ya tamaa zake za pesa kanasa kwenye tundu bovu, baada ya ndoa ndo anagundua jamaa hana mia, na cha moto amekipata.
Moto ukimwi au aibu kuingizwa chaka
 
Back
Top Bottom