goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Hata mm natumia hzo hizo mbinu Kama Nina malengo in long run nitakuwa mpole ila Kama analeta jeuri aise atafurahi akija kushtuka sitajali na atakuwa makini siku nyingine asiingie mahali kichwa kichwaKufake kunafaa sana kwa wale wanawake wadangaji ila kwa mgongo wa mahaba.
Unahakikisha unamfuja ipasavyo Kisha unamdump.
Sio kwa yule unaetegemea kufanya nae malengo
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada kuona hvyo sas HV mbususa kibao nachakata Wal Sina ofu kuwa itakuwaje alijuwa ajue tu atakuw amakini in future