Tuishi maisha yetu halisi tuache maigizo tutaumbuka

Kufake kunafaa sana kwa wale wanawake wadangaji ila kwa mgongo wa mahaba.

Unahakikisha unamfuja ipasavyo Kisha unamdump.

Sio kwa yule unaetegemea kufanya nae malengo




Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mm natumia hzo hizo mbinu Kama Nina malengo in long run nitakuwa mpole ila Kama analeta jeuri aise atafurahi akija kushtuka sitajali na atakuwa makini siku nyingine asiingie mahali kichwa kichwa

Baada kuona hvyo sas HV mbususa kibao nachakata Wal Sina ofu kuwa itakuwaje alijuwa ajue tu atakuw amakini in future
 
Uongo ni mtamu kuliko ukweli. Tuishi kwenye ukweli kwa faida yetu. Ukiwa mwongo huwezi pambania maisha kikamilifu
 
Ila mkuu kwenye ku fake pia unatoboka mfukoni maana kama ni pakukutania lazima uandae sehemu yenye status unayojijengea kiuongo
 
Kila mtu ni muigizaji akipata fursa😂😂
 
Ujue kuna jamaa yangu kitaa kaniomba smartphone aende nayo weekend kwa demu wake hahahah nikaona niandike haka kauzi daah haya maisha haya Mungu mwenyewe anajua
So baada ya kuandika ulimpa hako ka smartphone au
 
Yafaa nini mwanaume kuishi bila kuchakata papuchi...

Do what it takes,,,, But don't keep it (Marry)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…