Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa gani Mkuu?Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
ukiishi na watu vizuri watazuia usifirisike au wewe ndo wale wanachukia matajiri au mnaona tajiri anaringaKwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Inamaan wanaokopa walipi mpaka akafilisika.Kaka, sijaamini.
Ila iko hivyo.
Kivip mzeeHao watu wenye ofisi za kukopesha most of them wanakuwaga na utajiri wa masharti
Tunaishi Mara 2 duniani na huko tusikokujua utajisikiaje ukisikia Masikini wa duniani ndio tajiri wa huko unakoenda usipokujuaFuraha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
Ni kweli kabisa.Sema jambo likimtokea mtu wa karibu, hisia huwa tofauti.
Sio kwa dunia ya sasa mkuu, kusaidia watu haikupi guarantee ya moja kwa moja kusaidiwa upatapo anguko.ukiishi na watu vizuri watazuia usifirisike au
wewe ndo wale wanachukia matajiri
au mnaona tajiri anaringa
Kina jiweFuraha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
Hapana mkuu,ukiishi na watu vizuri watazuia usifirisike au
wewe ndo wale wanachukia matajiri
au mnaona tajiri anaringa