Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mganga yupo mikoa ya kusini huko na mwingine yupo lushoto huko, anatoa huo utajiri wa kukopesha. ko ukienda hapo anakupa masharti na anakupa noti kadhaa then unaenda kuanzisha ofisi ya kukopesha zile noti alizokupa unaenda kuchanganya na pesa unazokopesha.......Kivip mzee
Sijajua kuishi na watu vizuri ni kupi na maskini sijui Kwa nini mnafurahia watu kufikisika.Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
poa mkuuHapana mkuu,
Mimi natokea middle class family.
Ila babu yangu upande wa mama alikua tajiri mkubwa kipindi chake.
Alikua na mahekta ya mashamba ya kahawa na alikua na wake na wafanyakazi lukuki.
Mpaka leo ana mtaa unaitwa kwa jina Lake.
Upande wa baba, babu alipata elimu ya kikoloni, hii ilimfanya mzee kuwa moja ya wasomi wa mwanzo kabisa.
So background yangu sio mbaya siwezi kuwa na wivu.
Mtu ukitaka 200m anakupa .Kuna mganga yupo mikoa ya kusini huko na mwingine yupo lushoto huko, anatoa huo utajiri wa kukopesha. ko ukienda hapo anakupa masharti na anakupa noti kadhaa then unaenda kuanzisha ofisi ya kukopesha zile noti alizokupa unaenda kuchanganya na pesa unazokopesha.......
Siku ukikosea masharti utajiri unapoteaa Kama upepo....
Umefurahii mwenyewe..Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
After longtime nazidi kujifunza mengi nipo Homeland niliondoka muda kidogo..Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Tatizo bongo wengi wanakuza utajiriKwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Upo sahihiSio kwa dunia ya sasa mkuu, kusaidia watu haikupi guarantee ya moja kwa moja kusaidiwa upatapo anguko.
Mungu akusaidie kwenye mkaa huko minjingu maliasili wasikurudishe nyuma.Furaha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
Masikini ni zaidi ya IbilisiFuraha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
Bima ndio Kila kituPole. Lkn huko tuendako kutakuwa na namna bora ya kusaidia biashara zinazoanguka
Lazima wakopaji awape masharti.Hao watu wenye ofisi za kukopesha most of them wanakuwaga na utajiri wa masharti
Hii nayo aina nyingine ya uchawi!Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Hakuna kafara??Kuna mganga yupo mikoa ya kusini huko na mwingine yupo lushoto huko, anatoa huo utajiri wa kukopesha. ko ukienda hapo anakupa masharti na anakupa noti kadhaa then unaenda kuanzisha ofisi ya kukopesha zile noti alizokupa unaenda kuchanganya na pesa unazokopesha.......
Siku ukikosea masharti utajiri unapoteaa Kama upepo....
Kafara ipo mkuu ila sio lazima iwe ya ndugu zako wa damu.... unatoa mtu yoyote utaetakaHakuna kafara??