Tuishi na watu vizuri: Utajiri unaweza kuisha. Nimeshuhudia anguko la tajiri

Tuishi na watu vizuri: Utajiri unaweza kuisha. Nimeshuhudia anguko la tajiri

Kuna mganga yupo mikoa ya kusini huko na mwingine yupo lushoto huko, anatoa huo utajiri wa kukopesha. ko ukienda hapo anakupa masharti na anakupa noti kadhaa then unaenda kuanzisha ofisi ya kukopesha zile noti alizokupa unaenda kuchanganya na pesa unazokopesha.......

Siku ukikosea masharti utajiri unapoteaa Kama upepo....
Kuna utajiri wa kurithi,kupambana keep halali, bunifu,na huu ambao pia shetani hutoa kwa masharti!
 
Ogopa sana biashara mzee..usimcheke. huyo kama alipambana kufika hapo,ni just a matter of time and guts tu atasimama tena. Biashara zina mabalaa.

Hapo nilipokua, nimeshuhudia kampuni 2 zinafumgua ofisi mpaka zinafunga . 2 tofauti!!! Hatar sana..

Kuona tu biashara ina survive mjini, sio kitoto, wapewe heshima zao watu jamani
Duh
 
Huy
Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.

Toka kukopesha watu kiasi chochote.

Mpaka ofisi inafungwa.

Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na n

Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.

Toka kukopesha watu kiasi chochote.

Mpaka ofisi inafungwa.

Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Huyo sio tajiri alikua mganga njaa tu
 
Back
Top Bottom