kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Masikini anafuahia tajiri kufilisika kwa kuwa hataendelea tena kuwachukuwa msukule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndio mambo mnayopenda kuyasikia masikini kwamba fulani amefirisika hapo kwenu inakuwa shangwe.Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Kama utajiri aliutafuta kwa njia za halali ,utajiri ameupata sio kwa njia ya kurithi basi bila shaka atarudi tena kwenye utajiri.Kaka, sijaamini.
Ila iko hivyo.
Kwa hiyo utajiri wake umeupata wewe?Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Duh hii haifai kabisa! Kuna ma-ex wanaweza kututoa kafara aisee.Kafara ipo mkuu ila sio lazima iwe ya ndugu zako wa damu.... unatoa mtu yoyote utaetaka
[emoji16][emoji16][emoji16]Duh hii haifai kabisa! Kuna ma-ex wanaweza kututoa kafara aisee.
Mwafrika mtu wa ajabu sana yaani hiyo ndo starehe yake mtu akipata matatizo, yani kifupi hatupendani nafuu "MBWA" kuliko sisi, Mchina akijenga jengo tunaishia kubeba Zege, PUMBAVU SHENZI.Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
UkafurahiiiiKwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Chura kaharibu sana.Micro finances nyingi zimeyumba msimu huu wa Hangaya, sijui connection iliyopo ila nadhani mojawapo ni labda, hela kuwa kwa wachache katika mzunguko.
Biashara ni ngumu, ngumu, ngumu. Wale ambao biashara zenu zinastawi awamu hii tupeni siri mnafanyaje?
Safari ya maisha ina mengi...Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
🤣🤣🤣🤣Furaha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
Kweli mkuu,hata kazi nzuri za kuajiriwa huwa zina mwisho,ndio maana mkuu wa nchi kawaonya wakuu wa mikoa,wilaya waache u babe!Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.