Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Kuna utajiri wa kurithi,kupambana keep halali, bunifu,na huu ambao pia shetani hutoa kwa masharti!Kuna mganga yupo mikoa ya kusini huko na mwingine yupo lushoto huko, anatoa huo utajiri wa kukopesha. ko ukienda hapo anakupa masharti na anakupa noti kadhaa then unaenda kuanzisha ofisi ya kukopesha zile noti alizokupa unaenda kuchanganya na pesa unazokopesha.......
Siku ukikosea masharti utajiri unapoteaa Kama upepo....
Ndo ukweliFuraha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
Habari za tajiri anazo masikiniFuraha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
Na ikibidi aokote na makopo kabisa, furaha yao ni mara elfu zaidi!Furaha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
kwa mfano nikitaka kumtoa kafara mtu aliyenipelaka kwa huyo mganga inakubalika.....maana sitaki kuumiza watu wasio na hatiaKafara ipo mkuu ila sio lazima iwe ya ndugu zako wa damu.... unatoa mtu yoyote utaetaka
[emoji1][emoji1][emoji1]ndio inakubalikakwa mfano nikitaka kumtoa kafara mtu aliyenipelaka kwa huyo mganga inakubalika.....maana sitaki kuumiza watu wasio na hatia
Nipeleke basi๐๐[emoji1][emoji1][emoji1]ndio inakubalika
[emoji23][emoji23]we famba nini...Nipeleke basi[emoji23][emoji23]
Shida nini mkuu wewe si ndo unapajua๐๐๐[emoji23][emoji23]we famba nini...
DuhOgopa sana biashara mzee..usimcheke. huyo kama alipambana kufika hapo,ni just a matter of time and guts tu atasimama tena. Biashara zina mabalaa.
Hapo nilipokua, nimeshuhudia kampuni 2 zinafumgua ofisi mpaka zinafunga . 2 tofauti!!! Hatar sana..
Kuona tu biashara ina survive mjini, sio kitoto, wapewe heshima zao watu jamani
Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na n
Huyo sio tajiri alikua mganga njaa tuKwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Furaha ya masikini ni kuona tajiri akifilisika.
Au simu ya kuingiziwa miamalaAende kwa mwamposa apewe mafuta ya upako utajiri utarudi. ๐๐