PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,102
- 1,919
Yanga sc imemtambulisha kiungo wake wa zamani, Tuisila Kisinda kuwa amerudi kikosini kabla ya dirisha la usajili kufungwa 31/08/2022.
Mashabiki wengi wa Yanga wamefurahishwa na ujio wa Tuisila Kisinda. Jambo ambalo hawalijui ni Nani kampisha Tuisila kwasababu usajili wa wachezaji kutoka nje ya nchi ulikwisha kutimia. Bila shaka tujafahamu mapema. Hongera kwao wananchi
Mashabiki wengi wa Yanga wamefurahishwa na ujio wa Tuisila Kisinda. Jambo ambalo hawalijui ni Nani kampisha Tuisila kwasababu usajili wa wachezaji kutoka nje ya nchi ulikwisha kutimia. Bila shaka tujafahamu mapema. Hongera kwao wananchi