OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
kwa hiyo Chama angebaki mpaka mwisho asingenyanyua. akili zenu hovyoKisinda aliinua kwapa sawa na Ibenge huko Moroco.Usimlinganishe na huyo mchezaji wenu wa timu ndogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo Chama angebaki mpaka mwisho asingenyanyua. akili zenu hovyoKisinda aliinua kwapa sawa na Ibenge huko Moroco.Usimlinganishe na huyo mchezaji wenu wa timu ndogo.
Kafukuzwa Berkane... Hakuna dau wala dua
Kisinda amerudi na [emoji966] ya CAF confederation usichanganye mambo hapoClatous Chama alivyorejea Tanzania kutokea Timu hii hii aliyotokea Tuisila Kisinda mlikuwa mnasema hadi Kushadadia kuwa ameisha Kiwango haya sasa na huyu aliyerejea Yanga SC Kwenu mtasemaje?
Bahati nzuri Tuisila Kisinda aliyekuwa akichezea Yanga SC na yule noliyemuona ameondoka Yanga SC ni Watu wawili tofauti nikimaanisha aliyekuwa Tanzania alikuwa ni mzuri na huyu aliyerejea ni mbovu na wa Kawaida mno.
Urejeo cha Tuisila Kisinda ( Yanga SC ) na ule wa Clatous Chama ( Simba SC ) baada ya Kushindwa kufanya vyema huko nxhini Morocco na Klabu ya Berkane FC ni Jibiu tosha kuwa Ligi Kuu ya Tanzania NBC Premier League ni Mbovu na bado sana ila inapromotiwa mno ili Kutuaminisha Watanzania kuwa nasi tuna Ligi Kuu bora wakati ni Ligi Kuu ya Wachezaji Wavivu na Wanaojua na kupenda Starehe na Anasa.
Kwanini hakubaki?kwa hiyo Chama angebaki mpaka mwisho asingenyanyua. akili zenu hovyo
Binafsi nimefurahishwa sana sana na ujio wa TK MASTER!Babu onyango na Tshabalala wajiandae aiseee!hahahahahaYanga sc imemtambulisha kiungo wake wa zamani, Tuisila Kisinda kuwa amerudi kikosini kabla ya dirisha la usajili kufungwa 31/08/2022.
Mashabiki wengi wa Yanga wamefurahishwa na ujio wa Tuisila Kisinda. Jambo ambalo hawalijui ni Nani kampisha Tuisila kwasababu usajili wa wachezaji kutoka nje ya nchi ulikwisha kutimia. Bila shaka tujafahamu mapema. Hongera kwao wananchi
Bora hata huyo Tuisila alijitutumua mpaka kumaliza msimu! Ila siyo Chama aisee!! Miezi minne tu akaomba poo!! 😁😁Vipi yeye Moroco hapajamshinda kama Chama? 🤣🤣
Leta picha ya Chama akiwa hiviVipi yeye Moroco hapajamshinda kama Chama? [emoji1787][emoji1787]
Mwenzake na moloko tena anakunja bukta kabisa kama wanakimbiza mwenge.Huyo si ni mzee wa mbio tu
Si hata chama alipata medal maana alikuwa jina lake lishasajiliwa kule na yeye alihesabika mchezaji wa berkene hivi huwa mnatoaga wapi habari zenu hzo nyie utopolo mbona mnadanganya watu sana.Kisinda aliinua kwapa sawa na Ibenge huko Moroco.Usimlinganishe na huyo mchezaji wenu wa timu ndogo.
Sio angebaki katika majina ya wachezaji waliochukua lile kombe chama yupo na medal yake ilitolewa hao utopolo wasikuumize kichwa.kwa hiyo Chama angebaki mpaka mwisho asingenyanyua. akili zenu hovyo
Kwani chama yeye hakupewa hyo medaliKisinda amerudi na [emoji966] ya CAF confederation usichanganye mambo hapo
Hawana wajualo hao mkuu yaani reference yao ni nguruwe pori sasa wataelewa vipi mambo kama hayo.Chama àmepanga medali ya ubingwa wa shirikisho ndio maana alivyokuja Simba hakuruhusiwa kuchezea Simba.
Hapana; hii ni ulongo Bwana, aahhh ulongo. Chama hakupata Medali Bwana ulongo tu.Si hata chama alipata medal maana alikuwa jina lake lishasajiliwa kule na yeye alihesabika mchezaji wa berkene hivi huwa mnatoaga wapi habari zenu hzo nyie utopolo mbona mnadanganya watu sana.
Chama watu wamenunua mkataba ila kisinda kaja bure hela ya kwenda kambi morogoro iliwashinda wangetoa wapi hela za kwenda kumsajili kisindaNdo Kusema 'kaachwa huko sbb kiwango duni na hakuna timu iliyokuwa na mpango Wa kumnunua' .... ! Ndo Yanga Wamezoa Bure Bure.
Kama alikuwa mchezaji wa simba mbona ilikuwa hachezi Caf champions league huna ujualo ukishindwa uliza Google itakusaidia.Hapana; hii ni ulongo Bwana, aahhh ulongo. Chama hakupata Medali Bwana ulongo tu.