Tuisila Kisinda is yellow and green

Tuisila Kisinda is yellow and green

Clatous Chama alivyorejea Tanzania kutokea Timu hii hii aliyotokea Tuisila Kisinda mlikuwa mnasema hadi Kushadadia kuwa ameisha Kiwango haya sasa na huyu aliyerejea Yanga SC Kwenu mtasemaje?

Bahati nzuri Tuisila Kisinda aliyekuwa akichezea Yanga SC na yule noliyemuona ameondoka Yanga SC ni Watu wawili tofauti nikimaanisha aliyekuwa Tanzania alikuwa ni mzuri na huyu aliyerejea ni mbovu na wa Kawaida mno.

Urejeo cha Tuisila Kisinda ( Yanga SC ) na ule wa Clatous Chama ( Simba SC ) baada ya Kushindwa kufanya vyema huko nxhini Morocco na Klabu ya Berkane FC ni Jibiu tosha kuwa Ligi Kuu ya Tanzania NBC Premier League ni Mbovu na bado sana ila inapromotiwa mno ili Kutuaminisha Watanzania kuwa nasi tuna Ligi Kuu bora wakati ni Ligi Kuu ya Wachezaji Wavivu na Wanaojua na kupenda Starehe na Anasa.
Kisinda amerudi na [emoji966] ya CAF confederation usichanganye mambo hapo
 
Yanga sc imemtambulisha kiungo wake wa zamani, Tuisila Kisinda kuwa amerudi kikosini kabla ya dirisha la usajili kufungwa 31/08/2022.
Mashabiki wengi wa Yanga wamefurahishwa na ujio wa Tuisila Kisinda. Jambo ambalo hawalijui ni Nani kampisha Tuisila kwasababu usajili wa wachezaji kutoka nje ya nchi ulikwisha kutimia. Bila shaka tujafahamu mapema. Hongera kwao wananchi
Binafsi nimefurahishwa sana sana na ujio wa TK MASTER!Babu onyango na Tshabalala wajiandae aiseee!hahahahaha
 
Chama àmepanga medali ya ubingwa wa shirikisho ndio maana alivyokuja Simba hakuruhusiwa kuchezea Simba.
 
Vipi yeye Moroco hapajamshinda kama Chama? [emoji1787][emoji1787]
Leta picha ya Chama akiwa hivi
1662013235163.jpg
 
Ndo Kusema 'kaachwa huko sbb kiwango duni na hakuna timu iliyokuwa na mpango Wa kumnunua' .... ! Ndo Yanga Wamezoa Bure Bure.
 
Unauliza tena wakati kambale mmeuzia bidhaa online hamna mchezaji pale sema makanjanja yamepigwa bahasha za kaki yapo kimya kazi yao kuuliza dilunga na onyango haonekani wakati huo kambale ashawapiga yanga na kitu kizito.
 
Ila tuseme tu ukweli! Tuisila Kisinda alifanikiwa sana uwanjani alipokuwa na wananchi!

Nawaza tu iwapo atarejesha yale makali yake pale Jangwani! Nini kitatokea!! Yaani timu imejaa mafundi wa kila aina!!
 
Kisinda aliinua kwapa sawa na Ibenge huko Moroco.Usimlinganishe na huyo mchezaji wenu wa timu ndogo.
Si hata chama alipata medal maana alikuwa jina lake lishasajiliwa kule na yeye alihesabika mchezaji wa berkene hivi huwa mnatoaga wapi habari zenu hzo nyie utopolo mbona mnadanganya watu sana.
 
kwa hiyo Chama angebaki mpaka mwisho asingenyanyua. akili zenu hovyo
Sio angebaki katika majina ya wachezaji waliochukua lile kombe chama yupo na medal yake ilitolewa hao utopolo wasikuumize kichwa.
 
Chama àmepanga medali ya ubingwa wa shirikisho ndio maana alivyokuja Simba hakuruhusiwa kuchezea Simba.
Hawana wajualo hao mkuu yaani reference yao ni nguruwe pori sasa wataelewa vipi mambo kama hayo.
 
Si hata chama alipata medal maana alikuwa jina lake lishasajiliwa kule na yeye alihesabika mchezaji wa berkene hivi huwa mnatoaga wapi habari zenu hzo nyie utopolo mbona mnadanganya watu sana.
Hapana; hii ni ulongo Bwana, aahhh ulongo. Chama hakupata Medali Bwana ulongo tu.
 
Ndo Kusema 'kaachwa huko sbb kiwango duni na hakuna timu iliyokuwa na mpango Wa kumnunua' .... ! Ndo Yanga Wamezoa Bure Bure.
Chama watu wamenunua mkataba ila kisinda kaja bure hela ya kwenda kambi morogoro iliwashinda wangetoa wapi hela za kwenda kumsajili kisinda
 
Hapana; hii ni ulongo Bwana, aahhh ulongo. Chama hakupata Medali Bwana ulongo tu.
Kama alikuwa mchezaji wa simba mbona ilikuwa hachezi Caf champions league huna ujualo ukishindwa uliza Google itakusaidia.
 
Back
Top Bottom