Tuite ni ushamba kwa Okrah kufanya hivi?

Tuite ni ushamba kwa Okrah kufanya hivi?

Alichofanya okrah jana katika mchezo wa jana imejidhihirisha yeye ni mchezaji wa aina gani.

Alichofanya OKRAH tulichetegemea kuona kikifanywa aina ya wachezaj wa timu za chini.

Alifanya OKRAH kimeifanya simba idharaulike maana dakika za mwanzo unavua jezi na ni big match...Alichofanya OKRAH ni kudhihirisha SIMBA bado sana kwa YANGA.

Ajifunze kwa mwenzake KI.
Yeye kuifunga yanga kagoli kamoja aliona kama amefikia kilele cha utukufu tusimlaumu alibakisha kuvua boxa, na kadi akapewa na timu yake aikushinda ni hasara juu ya hasara mwenzenu alifikiria anacheza na wale Ihefu wa angola kwamba mechi imekwisha baada ya kigoli chake
 
Kuvua jezi kwangu haikua issue alichonikera ni sehemu ambayo alipaswa kutoa pasi analazimisha afunge yeye. Shenzi kabisa yule kijana
Unaongea hv mwanamichezo mwenzangu kwa sababu hajapata njano ya pili ili angelipata maneno yangelikuwa tofaut
 
Kimataifa watu hawajui kama Kuna tim inaitwa Yanga
 
angefanya nini ikiwa alisha ambiwa ile ni mechi kubwa

sema kigoli kile na kuvua shati haviendani

piga goli za kibabe kama za mayele ama aziz ki alafu vua shati

asa goli la ndondokera vile alafu unavua shati
 
Nasisitiza kamati ya massa sabini na mbili ichukue hatua za kinidhamu dhidi ya Chama Kwa kitendo chake Cha kumkanyaga Aucho Kwa maksudi akiwa Hana mpira, Katika Dabi Ili ni tukio lake la tatu na kumekua na tabia ya kumfumbia macho. Tunategemea kamati ya massa sabini na mbili ichukue hatua bila kupoteza muda.
 
Unaongea hv mwanamichezo mwenzangu kwa sababu hajapata njano ya pili ili angelipata maneno yangelikuwa tofaut
Naelewa ina implications zake ni his first league derby kuna mzuka na kila kitu sometimes it happens. Hilo tungemsamehe sababu alitufungia goli.

Lakini zile nafasi mbili alizokua anaweza kutoa pasi na wenzie kufunga goli rahisi ni ubinafsi wa hali ya juu. Hali ya kua timu ilikua inatafuta ushindi.
 
angefanya nini ikiwa alisha ambiwa ile ni mechi kubwa

sema kigoli kile na kuvua shati haviendani

piga goli za kibabe kama za mayele ama aziz ki alafu vua shati

asa goli la ndondokera vile alafu unavua shati
Ata wew si umeona hlo, afadhar lingelikuwa goli la kibabe kama la KI
 
Alichofanya okrah jana katika mchezo wa jana imejidhihirisha yeye ni mchezaji wa aina gani.

Alichofanya OKRAH tulichetegemea kuona kikifanywa aina ya wachezaj wa timu za chini.

Alifanya OKRAH kimeifanya simba idharaulike maana dakika za mwanzo unavua jezi na ni big match...Alichofanya OKRAH ni kudhihirisha SIMBA bado sana kwa YANGA.

Ajifunze kwa mwenzake KI.
Ni mchezaji mzuri lakini anaonyesha hajafit bado kuwa mchezaji wa Simba SC, kwanza kaonyesha ubinafsi wa hali ya juu kitu ambacho kinatarajiwa kufanywa na wachezaji wadogo wanaohitaji ku prove something katika jamii ya wapenda mpira, angeweza kusababisha Simba kushinda goli 3 hadi nne kama angekua team player. Nafikiri anahitajika sasa apumzishwe hadi pale atakapoweza kucheza kama team. Speaking of winning Simba fans hearts, hutakiwi hata kufunga magoli manne kwenye game moja, wezesha timu ishinde utapendwa utakumbukwa, ajifunze kwa kina Kichuya, Singano, miquisone, Chama, Okwi na wengine, tunawakumbuka sana sio kwasababu wanamagoli mia ya Derby, hapana ila kwa nafasi yao waliweza kuisaidia team kushinda. Ningekua Mgunda angechezea benchi hadi ajifunze.
 
Hahahah na Kuna Mashabiki wa Simba wanatetea hili jambo.

Just imagine mtu anavua Jezi Dakika ya 15 ya mchezo, kwenye mechi muhimu na yenye presha kama ya Jana!! Just Imagine!!!

Timu Jana imepata jumla ya Kadi za njano Tano (including one unnecessary) na kupelekea timu iadhibiwe kulipa fine.

That is unprofessionalism, that we did not expect from a player like him and from a club like Simba.

Mnaotetea huu upuuzi sio kila wakati ni wakutanguliza mahaba kwa timu
Umeanza kushbkia mpira lini???
 
Pumbavu wewe christiano Ronaldo alvua jezi kwenye nusu fainali ya UEFA akiwa Madrid....
Not only him many players around the world hv been doing that after scoring goals.
Labda ndio kwanza imeanza kushbkia mpira baada ya GSM kuwekeza yanga,,I can't put much blames on you......
Pumbavu ni wew usiyejua wakat sahih kwenye hlo
 
Kuedit post ya mtu ni kosa kwa kanuni za JF, omba radhi kabla hujashushiwa rungu la ban ya mwezi mmoja.
 
Hapo mmebahatisha na kutoa draw mnamuongelea Okrah namna hiyo, je mngeshinda Utos si ndo ingekuwa balaa? Kama mmeanza kushabikia mpira baada ya GSM kuwekeza yanga sawa it might sound a big talk to you ila kama ni mashabiki wa enzi na enzi, kuvua jezi lishafanywa na wachezaji wengi sana kwenye league mbalimbali duniani.
 
...Nyie ndo mashabiki maandazi, mnafuatili mpira kwa kufuata mihemko
 
Mbona hyo kawaida hata mayele alipofunga goli dhidi ya al hilal taifa alitaka kutetema Morrison akamzuia maana mechi ilikuwa bado mbichi nadhani ni temper ya mchezo ni kawaida kwa wachezaji hyo.
Okrah amigharimu timu,kanuni inasema timu Moja ikifikisha kadi 5 za njano basi Kuna rungu kutoka bodi ya ligi!
Simba Jana alifikisha kadi 5,Moja ya kujitakia kutoka Kwa Okrah!
 
Hapo mmebahatisha na kutoa draw mnamuongelea Okrah namna hiyo, je mngeshinda Utos si ndo ingekuwa balaa? Kama mmeanza kushabikia mpira baada ya GSM kuwekeza yanga sawa it might sound a big talk to you ila kama ni mashabiki wa enzi na enzi, kuvua jezi lishafanywa na wachezaji wengi sana kwenye league mbalimbali duniani.
Kavua Jezi dk ya 15 na akapata Kadi ya kujitakia

Kaji-risk na ka-risk timu kwa dk 75.

Kuvua Jezi Yes ni kitu Cha kawaida na Hata wachezaji wakubwa wengi tu wanafanya ivyoo lakini katika dakika sahihi ambazo hazitoiweka rehani timu eg. Mara nyingi dakika ya 85 nakuendelea (hapa mnakua na dakika takribani 5 tuh mechi iishe)

Ila si kwa dakika zote izo 75 zilizobaki ivyo alivyofanya Okrah.
 
Mtoa Uzi acha kumpangia mtu namna ya kuonyesha hisia zake..hivyo ni vitu vya kawaida sana.
 
Back
Top Bottom