Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hewa Manula.Kwa ule mtobo alikuwa sahihi kuvua shati
Kwa ule mgoli wa tobo alikuwa sahihiangefanya nini ikiwa alisha ambiwa ile ni mechi kubwa
sema kigoli kile na kuvua shati haviendani
piga goli za kibabe kama za mayele ama aziz ki alafu vua shati
asa goli la ndondokera vile alafu unavua shati
sio nna ugomvi nayo nina vita nayo kabisaHebu rekebisha kwanza uandishi wako.Una ugomvi na matumizi ya herufi 'h' [emoji3][emoji3]
Kwa hiyo tukuletee 'imars kabisa. 🤣🤣🤣sio nna ugomvi nayo nina vita nayo kabisa
Nenda kwenye page ya TFF au nenda ofisini kabisa pale karume ndo sehemu sahihi ya kuandika haya uloandika.Nasisitiza kamati ya massa sabini na mbili ichukue hatua za kinidhamu dhidi ya Chama Kwa kitendo chake Cha kumkanyaga Aucho Kwa maksudi akiwa Hana mpira, Katika Dabi Ili ni tukio lake la tatu na kumekua na tabia ya kumfumbia macho. Tunategemea kamati ya massa sabini na mbili ichukue hatua bila kupoteza muda.
CR7 na messi wanavua jezi ijekuwa okra acha kuumia kwa vitu vidogoAlichofanya Okrah katika mchezo wa jana imejidhihirisha yeye ni mchezaji wa aina gani. Alichofanya Okrah tulichotegemea kuona kikifanywa aina ya wachezaji wa timu za chini.
Alichofanya Okrah kimeifanya Simba idharaulike, maana dakika za mwanzo unavua jezi na ni mechi kubwa? Alichofanya Okrah ni kudhihirisha Simba bado sana kwa Yanga.
Ajifunze kwa mwenzake Ki.
Baada ya hapo mkashinda ngapi na kuongoza ligi kwa point ngapi we utopoloYeye kuifunga yanga kagoli kamoja aliona kama amefikia kilele cha utukufu tusimlaumu alibakisha kuvua boxa, na kadi akapewa na timu yake aikushinda ni hasara juu ya hasara mwenzenu alifikiria anacheza na wale Ihefu wa angola kwamba mechi imekwisha baada ya kigoli chake
Mbona fei toto msimu uliopita kombe la mapinduzi alivua jezi naye ni tabaka gani?Ingelikuwa hvyo kusingelikuwa na matabaka kwenye mpira...kusingelikuwa na low and high standard playerz...
Umejiumauma tu na huu mlenda uliouandika hapa hizi shule za kata zinawaharibu mno namna ya kufikiri na kujenga hojaMpira wa miguu ni mchezo wenye "hisia kali (emotions)" na "joto la haraka." Unajikuta unavutwa kufanya kitu ambacho hukutarajia. Hii inaufanya mchezo huu maarufu kutokuutabiri matukio kirahisi (unpredictability), na ndio maana unapendwa na watu wengi.
Hiyo ilikuwa ni sehemu ya mambo yasiyotabirika kwenye mchezo, hatuhitaji mjadala na sio jambo kubwa la kushikia bango.
Alichofanya Okrah ni kudhihirisha Simba bado sana kwa Yanga.
.
Ujue wengine washazoea kukuna nazi..kwhy ukisoma tu alichokiandika unajua huyu chupi kamba kabisaa wala hakupi shidaMpira wa miguu ni mchezo wenye "hisia kali (emotions)" na "joto la haraka." Unajikuta unavutwa kufanya kitu ambacho hukutarajia. Hii inaufanya mchezo huu maarufu kutokuutabiri matukio kirahisi (unpredictability), na ndio maana unapendwa na watu wengi.
Hiyo ilikuwa ni sehemu ya mambo yasiyotabirika kwenye mchezo, hatuhitaji mjadala na sio jambo kubwa la kushikia bango.
Okra kwa kiswahili ni bamia.
Derby iliyopita aliingia akitokea Sub,So sio Derby yake ya kwanza!!Naelewa ina implications zake ni his first league derby kuna mzuka na kila kitu sometimes it happens. Hilo tungemsamehe sababu alitufungia goli.
Lakini zile nafasi mbili alizokua anaweza kutoa pasi na wenzie kufunga goli rahisi ni ubinafsi wa hali ya juu. Hali ya kua timu ilikua inatafuta ushindi.
Kutetema hupewi kadi yoyoteMbona hyo kawaida hata mayele alipofunga goli dhidi ya al hilal taifa alitaka kutetema Morrison akamzuia maana mechi ilikuwa bado mbichi nadhani ni temper ya mchezo ni kawaida kwa wachezaji hyo.
Kwa hiyo kwa kiswahili ni bamiah sio?Anaitwa okrah..afu unawaza sana bamia mkuu?