Kama hajaelewa nitag nifumue kichwaMpira wa miguu ni mchezo wenye "hisia kali (emotions)" na "joto la haraka." Unajikuta unavutwa kufanya kitu ambacho hukutarajia. Hii inaufanya mchezo huu maarufu kutokuutabiri matukio kirahisi (unpredictability), na ndio maana unapendwa na watu wengi.
Hiyo ilikuwa ni sehemu ya mambo yasiyotabirika kwenye mchezo, hatuhitaji mjadala na sio jambo kubwa la kushikia bango.
Soma sentence ya kwanza vizuri.Derby iliyopita aliingia akitokea Sub,So sio Derby yake ya kwanza!!
acheni ushamba wa kitoto Cristiano Ronaldo amewah kufunga goli la kusawazisha dhidi ya spurs kweny msimu wa 2008/2009 na jezi alivua vizuri tu na game ilikua na pressure kubwa man united alikua ni lazima ashinde ili akalibie kutangazwa kuwa bingwa wew eti unashangaa okrah kuvua jezi dakika ya 15 kipi cha ajabu na unasahau kabisa okrah ancheza kiungo mshambuliaji wa pembeni sio rahisi kufanya faulo ovyo ovyo angekua ni beki au kiungo mkabaji ndio ingekua hatari zaidi sababu hawa ndio wanakutana na pressure kubwa ya mashambulizi kwahyo faulo kwao haziepukikiHahahah na Kuna Mashabiki wa Simba wanatetea hili jambo.
Just imagine mtu anavua Jezi Dakika ya 15 ya mchezo, kwenye mechi muhimu na yenye presha kama ya Jana!! Just Imagine!!!
Timu Jana imepata jumla ya Kadi za njano Tano (including one unnecessary) na kupelekea timu iadhibiwe kulipa fine.
That is unprofessionalism, that we did not expect from a player like him and from a club like Simba.
Mnaotetea huu upuuzi sio kila wakati ni wakutanguliza mahaba kwa timu
Ungeweka mahaba ya timu pembeni nadhani ungetoa maoni Bora zaidi.acheni ushamba wa kitoto Cristiano Ronaldo amewah kufunga goli la kusawazisha dhidi ya spurs kweny msimu wa 2008/2009 na jezi alivua vizuri tu na game ilikua na pressure kubwa man united alikua ni lazima ashinde ili akalibie kutangazwa kuwa bingwa wew eti unashangaa okrah kuvua jezi dakika ya 15 kipi cha ajabu na unasahau kabisa okrah ancheza kiungo mshambuliaji wa pembeni sio rahisi kufanya faulo ovyo ovyo angekua ni beki au kiungo mkabaji ndio ingekua hatari zaidi sababu hawa ndio wanakutana na pressure kubwa ya mashambulizi kwahyo faulo kwao haziepukiki
Swala sio kupewa kadi swala ni mzuka kufunga kwenye mechi kama ile akili inakuwa tofauti kabisaKutetema hupewi kadi yoyote