Tuite ni ushamba kwa Okrah kufanya hivi?

Kama hajaelewa nitag nifumue kichwa
 
mganga alisema lazima washinde, na yeye Okra atafunga goli...kwa hiyo automatikale Okra alikuwa anajua mechi ishaisha
 
acheni ushamba wa kitoto Cristiano Ronaldo amewah kufunga goli la kusawazisha dhidi ya spurs kweny msimu wa 2008/2009 na jezi alivua vizuri tu na game ilikua na pressure kubwa man united alikua ni lazima ashinde ili akalibie kutangazwa kuwa bingwa wew eti unashangaa okrah kuvua jezi dakika ya 15 kipi cha ajabu na unasahau kabisa okrah ancheza kiungo mshambuliaji wa pembeni sio rahisi kufanya faulo ovyo ovyo angekua ni beki au kiungo mkabaji ndio ingekua hatari zaidi sababu hawa ndio wanakutana na pressure kubwa ya mashambulizi kwahyo faulo kwao haziepukiki
 
Ungeweka mahaba ya timu pembeni nadhani ungetoa maoni Bora zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…