Tuiunge Mkono JamiiForums Katika Tanzania Digital Awards

Tuiunge Mkono JamiiForums Katika Tanzania Digital Awards

Ila kwa ngoma zilizo kwenye listi haijanisumbua kumpigia kura boss... Eti Mobetto,Mkali wenu,Ebitoke dah!!!
 
Tayali nimeshampigia Melo,je ninaweza kumpigia hata mala nyingi zaidi,au ni mala moja tu?
 
Screenshot_20200218_213635_com.android.chrome.jpg
Screenshot_20200218_213241_com.android.chrome.jpg
 
Wakuu,ambao hamjapiga kura msilale tupige kura ili jukwaa letu lishinde,au kwenye jukwaa hili wengi ni CCM? Ndiyo maana wanaona wivu kumpigia Melo¿
 
Back
Top Bottom