Tujadili Changamoto za Matuta Barabarani na Namna ya Kufanya Maboresho

Tujadili Changamoto za Matuta Barabarani na Namna ya Kufanya Maboresho

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Nipo kwenye bus la ABC, kimsingi mabasi ni mazuri, huduma ni nzuri mwendo ni mzuri. Ila changamoto niliyoona ni upande wa choo ambapo bus likifika kwenye matuta mambo yanakuwa siyo shwari ukizingatia matuta nayo hayafanani, usipofanya timing vizuri uka synchronise mwendo wako na mwendo wa dereva basi huduma ya dharura inakuhusu na mbaya zaidi sijaona mahali pa kumfikishia mhudumu taarifa ya dharura.
 
Nipo kwenye bus la ABC, kimsingi mabasi ni mazuri, huduma ni nzuri mwendo ni mzuri. Ila changamoto niliyoona ni upande wa choo ambapo bus likifika kwenye matuta mambo yanakuwa siyo shwari ukizingatia matuta nayo hayafanani, usipofanya timing vizuri uka synchronise mwendo wako na mwendo wa dereva basi huduma ya dharura inakuhusu na mbaya zaidi sijaona mahali pa kumfikishia mhudumu taarifa ya dharura.
Kuna button hapo juu bonyeza
 
Back
Top Bottom