Uchaguzi 2020 TUJADILI: Je, hotuba za mgombea Urais - CHADEMA ndugu Tundu Lissu katika kampeni huwa anamtukana Mgombea Urais - CCM na Rais wa JMT ndugu Magufuli?

Uchaguzi 2020 TUJADILI: Je, hotuba za mgombea Urais - CHADEMA ndugu Tundu Lissu katika kampeni huwa anamtukana Mgombea Urais - CCM na Rais wa JMT ndugu Magufuli?

Mkuu CCM imefanikiwa kuongoza na kuwatawala watanzania kwa kuwa 70% ya watanzania ni wajinga Mtaji wa watawala ni elimu mbovu inayozuia mtu kujitambua, kutambua umuhimu wa siasa, uhuru na haki kuwa ndio tunu za taifa lenye maendeleo watanzana huona siasa ni kama ushabiki Simba na Yanga

Sent using Jamii Forums mobile app

Yes, you are absolutely right. Lakini nini kifanyike?

Hopefully, ni sisi (mimi na wewe) tunaojitambua, tuwasaidie wenzetu wasiojitambua waanze kujitambua..

Watambue wajibu wao. Watambue haki zao. Watambue mipaka ya viongozi wao, kwamba kuna maeneo binafsi ya maisha ya mtu kiongozi hapaswi kabisa kufika huko kwa kigezo kuwa yeye ni Rais, DC au ana cheo fulani cha uongozi..

Yes, we can change things if we play our party.

Mimi nimeona na kujifunza kitu kimoja muhimu sana tangu Mwana Mapinduzi Hutu Tundu Lissu arudi toka matibabuni, Ubelgiji..

Nimejifunza kuwa, watu wote mijini na vjijini/mashambani wako tayari kuwezeshwa kujitambua. Na wakijitambua viongozi wa nchi hii wataacha upumbavu na ujinga wao wa kutumia madaraka na mamlaka yao vibaya na kifisadi dhidi ya wananchi wao..!

Tundu Lissu, katika kipindi cha miezi miwili tu tena ktk mazingira magumu sana, amehamasisha watu na wengi wamehamasika kweli kweli na kuanza kujitambua..

Ameleta hamasa na mwamko mpya na watu wakaanza kuona tena thamani ya maisha yao baada ya kupotea katika kipindi hiki cha utawala wa CCM ya Magufuli..!!
 
Yes, you are absolutely right. Lakini nini kifanyike?

Hopefully, ni sisi (mimi na wewe) tunaojitambua, tuwasaidie wenzetu wasiojitambua waanze kujitambua..

Watambue wajibu wao. Watambue haki zao. Watambue mipaka ya viongozi wao, kwamba kuna maeneo binafsi ya maisha ya mtu kiongozi hapaswi kabisa kufika huko kwa kigezo kuwa yeye ni Rais, DC au ana cheo fulani cha uongozi..

Yes, we can change things if we play our party.

Mimi nimeona na kujifunza kitu kimoja muhimu sana tangu Mwana Mapinduzi Hutu Tundu Lissu arudi toka matibabuni, Ubelgiji..

Nimejifunza kuwa, watu wote mijini na vjijini/mashambani wako tayari kuwezeshwa kujitambua. Na wakijitambua viongozi wa nchi hii wataacha upumbavu na ujinga wao wa kutumia madaraka na mamlaka yao vibaya na kifisadi dhidi ya wananchi wao..!

Tundu Lissu, katika kipindi cha miezi miwili tu tena ktk mazingira magumu sana, amehamasisha watu na wengi wamehamasika kweli kweli na kuanza kujitambua..

Ameleta hamasa na mwamko mpya na watu wakaanza kuona tena thamani ya maisha yao baada ya kupotea katika kipindi hiki cha utawala wa CCM ya Magufuli..!!
Magufuli yeye binafsi anapata faida gani anapofubaza demokrasia nchini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeanzisha mjadala huu baada ya tukio la jana huko Chato la msafara wa Mgombea Urais - CHADEMA ndugu Tundu Lissu kushambuliwa kwa mawe na wafuasi wa CCM mara baada ya kumaliza kuzungumza na wananchi katika mkutano wake wa kampeni.

Kabla ya tukio hilo la Jana tulimwona yule ajiitaye "mwanaharakati huru" wa kumtetea Bw. John Pombe Magufuli, Cyprian Musiba akionya kuwa Lissu asiende Chato na kumtukana Rais Magufuli kwa sababu atakiona cha mtema kuni!

Baada ya tukio hilo baadhi ya posts ktk mitandao ya kijamii zikaunga mkono uhalifu huo eti ni kwa sababu anamtukana sana Rais Magufuli na kuidhalilisha serikali badala amwage Sera..!!

Honestly, hoja hii mimi huwa siielewi, hainingii kwenye akili yangu na naiona ni ya watu wasio na ufahamu wa kutosha wa maarifa.

KWANZA;

Inaeleweka kuwa, kwa mujibu ya sheria za Tanzania "MATUSI" ama "KUTOA LUGHA YA MATUSI" ni kosa la jinai kwa yeyote dhidi ya mtu aliyetukanwa..!

PILI;

Ni nani amewahi kumlalamikia Tundu Lissu kuwa amemtukana? John Pombe Magufuli amewahi kufanya hivyo? Jibu ni: HAPANA. Kwanini? Haijulikani...!

Kama hakuna ambaye amewahi kumshtaki Tundu Lissu kwa madai ya "kutukanwa" akiwemo Magufuli mwenyewe, haya madai ya kuwa Tundu Lissu anamtukana Rais Magufuli na kuidhalilisha serikali yanatoka wapi? Msingi wake ni nini?

Kwa mtazamo wangu nadhani hizi ni sababu wanazozitumia kuficha udhaifu na mapungufu ya bwana Mkubwa huyu anayedaiwa kutukanwa;

1. Tundu Lissu amevunja MWIKO (taboo) na MAZOEA/UTAMADUNI mbaya (bad tradition) uliokuwa uanajaribiwa kujengwa miongoni mwa wanajamii kudhani kuwa "ni mwiko kumkosoa mfalme - Rais". Hili limewashitua na kwao wanaona haya ni MATUSI makubwa sana kuusema wazi udhaifu na mapungufu ya kiutendaji ya mfalme - Rais...

Lakini hakuna sheria inayounga mkono dai lao. Kwa sababu, hakuna matusi ktk hotuba za Lissu..!

2. Kingine kinachowasumbua ni umahiri na style ya mgombea Urais wa CHADEMA ndg Tundu Lissu kuuelezea udhaifu na mapungufu ya mgombea Urais wa CCM ndg John Pombe Magufuli katika lugha yenye kueleweka kwa urahisi kwa wananchi.

Wakati mwingine Tundu Lissu hutumia lugha kali kidogo yenye msisitizo wa nguvu ktk jambo analotaka kulikazia ili watu waelewe. Hili pia huwa ni tatizo kwa wahafidhina hawa..!

Hili ni baya mno kwao wana CCM na wafuasi wao. Ni MATUSI makubwa mno kwao. Hii inafunua upande wa pili wa shilingi wa John Pombe Magufuli ambao wananchi hawa walikuwa hawajui. Na kwa kweli wanashangaa na kupigwa na butwaa kuliko kawaida hata kusema;

"... ala, kumbe huyu mtu ndivyo alivyo? Kumbe tumekuwa tukidanganywa miaka yote hii huku ukweli ukiwa tofauti ..?"

Hili ndilo tatizo lao kwa Tundu Lissu...!!

3. Haya MAZOEA na utamaduni mbaya ndiyo uliokuwa katika majaribio ya kujengwa katika miaka hii mitano ya Rais Magufuli.

Na kiuhalisia yeye binafsi na wafuasi wake baadhi wachache, walishaamini kabisa kuwa wamefanikiwa na wanaweza kukaa kwenye viti vyao vya enzi milele kwa raha mustarehe.!

Kujitokeza ghafla kwa mtu mmoja jasiri wa kuanza kubomoa MAZOEA na UTAMADUNI huu mbaya kabisa kumewashitua. Kunawafanya wahahe, wawe desperate kujiokoa. Chochote kilichopo mbele yao cha kujiokoa, watakitumia. Iwe uongo au hata kumwaga damu ya mtu/watu..!!

Namna pekee ya kujitetea na kujaribu kuulinda au kuu - restore ni kubuni njia ya kunzuia. Kifo ndiyo ilikuwa option ya mwisho. Bahati mbaya kwao option hiyo ika - fail spectacularly!!

4. Kufeli kwa options zote ikiwemo ya kifo, ikawaweka katika "desperation state" watu hawa ktk namna ambayo pengine hawakurajia kabisa,kabisa..

Sasa kinachofanyika ni kutengeneza propaganda, wanazihalalisha kisha wanazitumia kama sababu za kuamuru vyombo vya mabavu hususani polisi kutumia nguvu zenye kusababisha maafa na uharibifu na maumivu makubwa kwa wafuasi wa mgombea huyu wanaomfuata kumsikiliza..!

Karibu kwa maoni na mtazamo wako wewe. Na wana CCM mnakaribishwa zaidi ya wengine kushiriki mjadala huu...
Eti ana kera kwasababu anagonga kwenye msumari 'hammering on a nail'
 
Magufuli yeye binafsi anapata faida gani anapofubaza demokrasia nchini ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Of course unajua na Mimi najua kuwa, hakuna faida yoyote ktk maisha yake ya kesho/baadaye kwa matendo yake haya anayofanya sasa/leo dhidi ya binadamu wenzake...

Anachopata kwa sasa ni raha na furaha ya kitambo kidogo sana lakini akiandaa maumivu na mateso ya milele ya nafsi yake..!

Hebu jaribu tu kufikiri hili. Eti unaamua kumuua nduguyo, binadamu mwenzio kwa sababu tu hakubaliani na mawazo yako. Anapingana na wazo lako. Hataki kukusifu au kukupigia magoti.. Tujiulize ili iweje? Utabadilika rangi yako ya ngozi ukisifiwa na kila mtu? Utaongezeka kimo ukisifiwa na kila mtu?

Majibu ya maswali haya obviously, ni HAPANA ila ni basi tu, ni ujinga wa binadamu kumkataa Mungu amwongoze...!!

Na hapa ndipo UJINGA na UPUMBAVU wa binadamu ulipo....yaani kushindwa kuandaa kesho yako nzuri kwa kufanya mapenzi ya Mungu Baba muumba wa vyote...!!
 
Huyo mzee wa kihutu huwa hapendi kabisa kuambiwa ukweli , Yeye huwa anapenda kuambiwa vitu anavyovipenda kusikia , lakini sio kuambiwa kweli , ndio maana kina Chakubanga Polepole na Bashiru walikuwa wanamuaminisha akinunua wapinzani upinzani utakufa wakapiga noti za kununulia wapinzani balaa maana Polepole ndio alikuwa anatembea nazo kwenye gari .Sada upinzani umekufa wao ndio wanahangaika kupiga magoti kweli wamebakiza kuvua nguo tu .
Screenshot_20201014-165259.png
Screenshot_20201014-164828.png
IMG_20201014_110717.jpg
Screenshot_20201011-221729.png
Screenshot_20201010-233141.png
IMG_20201002_000058.jpg
Screenshot_20201001-014422.png
IMG_20200930_083838.jpg
Screenshot_20200930-082754.png
 
Of course unajua na Mimi najua kuwa, hakuna faida yoyote ktk maisha yake ya kesho/baadaye kwa matendo yake haya anayofanya sasa/leo dhidi ya binadamu wenzake...

Anachopata kwa sasa ni raha na furaha ya kitambo kidogo sana lakini akiandaa maumivu na mateso ya milele ya nafsi yake..!

Hebu jaribu tu kufikiri hili. Eti unaamua kumuua nduguyo, binadamu mwenzio kwa sababu tu hakubaliani na mawazo yako. Anapingana na wazo lako. Hataki kukusifu au kukupigia magoti.. Tujiulize ili iweje? Utabadilika rangi yako ya ngozi ukisifiwa na kila mtu? Utaongezeka kimo ukisifiwa na kila mtu?

Majibu ya maswali haya obviously, ni HAPANA ila ni basi tu, ni ujinga wa binadamu kumkataa Mungu amwongoze...!!

Na hapa ndipo UJINGA na UPUMBAVU wa binadamu ulipo....yaani kushindwa kuandaa kesho yako nzuri kwa kufanya mapenzi ya Mungu Baba muumba wa vyote...!!
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.

FUNZO: Ukiwa mnufaika (beneficiary) wa mfumo wowote ule usitumie vibaya hiyo privilege kuwatukana/gandamiza/dharau/piga/onea wengine, Hakuna hali inayodumu milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya tamadun amabyo inatakiwa ikataliwe hapa Tanzania kwa nguvu zote, kuanzia ngazi ya familia mpaka uongozi ni kuchukulia umetukanwa ukikosolewa. Hii sio President tu, ipo toka ngza ya famalia zetu kabisa, ukimbishia mkubwa au ukamshinda kwa hoja ili akugandamize utasikia kanitukana, basi baada ya hapo familia nzima hua upande ule. Hata shuleni, mwalimu ukimbishia kitu kwa facts, utasikia amenitukana, basi huko staff ni viboko tu, unaulizwa kwa nini umemtukana mwalimu. Nako kweny jamii zetu, hasa vijijini ukimjibu mzee tofauti na zile itaikadi zao, utasikia huyu mtoto ana matusi sana. Kwa hiyo hili swala sio Magufuli pekee yake, tuanze kujifunza toka ngazi ya familia, kwan huku ndiko hutuzalishia akina Magufuli ambao hawataki kuguswa utafikir wanaongoza familia zao, kumbe ni nchi yenye watu 60million. Swaini kabisa
Hasante sana kwa comment nzuri
 
vyombo vya dola vifanye kazi kwa usawa bila kupendelea upande mmoja .haiingii akilini kiongozi wa polisi anamwambia mgombea WEWE HUSHINDI HATA UFANYEJE HUSHINDI. alafu utegemee kama huyo polisi atasimamia haki.
 
Nimeanzisha mjadala huu baada ya tukio la jana huko Chato la msafara wa Mgombea Urais - CHADEMA ndugu Tundu Lissu kushambuliwa kwa mawe na wafuasi wa CCM mara baada ya kumaliza kuzungumza na wananchi katika mkutano wake wa kampeni.

Kabla ya tukio hilo la Jana tulimwona yule ajiitaye "mwanaharakati huru" wa kumtetea Bw. John Pombe Magufuli, Cyprian Musiba akionya kuwa Lissu asiende Chato na kumtukana Rais Magufuli kwa sababu atakiona cha mtema kuni!

Baada ya tukio hilo baadhi ya posts ktk mitandao ya kijamii zikaunga mkono uhalifu huo eti ni kwa sababu anamtukana sana Rais Magufuli na kuidhalilisha serikali badala amwage Sera..!!

Honestly, hoja hii mimi huwa siielewi, hainingii kwenye akili yangu na naiona ni ya watu wasio na ufahamu wa kutosha wa maarifa.

KWANZA;

Inaeleweka kuwa, kwa mujibu ya sheria za Tanzania "MATUSI" ama "KUTOA LUGHA YA MATUSI" ni kosa la jinai kwa yeyote dhidi ya mtu aliyetukanwa..!

PILI;

Ni nani amewahi kumlalamikia Tundu Lissu kuwa amemtukana? John Pombe Magufuli amewahi kufanya hivyo? Jibu ni: HAPANA. Kwanini? Haijulikani...!

Kama hakuna ambaye amewahi kumshtaki Tundu Lissu kwa madai ya "kutukanwa" akiwemo Magufuli mwenyewe, haya madai ya kuwa Tundu Lissu anamtukana Rais Magufuli na kuidhalilisha serikali yanatoka wapi? Msingi wake ni nini?

Kwa mtazamo wangu nadhani hizi ni sababu wanazozitumia kuficha udhaifu na mapungufu ya bwana Mkubwa huyu anayedaiwa kutukanwa;

1. Tundu Lissu amevunja MWIKO (taboo) na MAZOEA/UTAMADUNI mbaya (bad tradition) uliokuwa uanajaribiwa kujengwa miongoni mwa wanajamii kudhani kuwa "ni mwiko kumkosoa mfalme - Rais". Hili limewashitua na kwao wanaona haya ni MATUSI makubwa sana kuusema wazi udhaifu na mapungufu ya kiutendaji ya mfalme - Rais...

Lakini hakuna sheria inayounga mkono dai lao. Kwa sababu, hakuna matusi ktk hotuba za Lissu..!

2. Kingine kinachowasumbua ni umahiri na style ya mgombea Urais wa CHADEMA ndg Tundu Lissu kuuelezea udhaifu na mapungufu ya mgombea Urais wa CCM ndg John Pombe Magufuli katika lugha yenye kueleweka kwa urahisi kwa wananchi.

Wakati mwingine Tundu Lissu hutumia lugha kali kidogo yenye msisitizo wa nguvu ktk jambo analotaka kulikazia ili watu waelewe. Hili pia huwa ni tatizo kwa wahafidhina hawa..!

Hili ni baya mno kwao wana CCM na wafuasi wao. Ni MATUSI makubwa mno kwao. Hii inafunua upande wa pili wa shilingi wa John Pombe Magufuli ambao wananchi hawa walikuwa hawajui. Na kwa kweli wanashangaa na kupigwa na butwaa kuliko kawaida hata kusema;

"... ala, kumbe huyu mtu ndivyo alivyo? Kumbe tumekuwa tukidanganywa miaka yote hii huku ukweli ukiwa tofauti ..?"

Hili ndilo tatizo lao kwa Tundu Lissu...!!

3. Haya MAZOEA na utamaduni mbaya ndiyo uliokuwa katika majaribio ya kujengwa katika miaka hii mitano ya Rais Magufuli.

Na kiuhalisia yeye binafsi na wafuasi wake baadhi wachache, walishaamini kabisa kuwa wamefanikiwa na wanaweza kukaa kwenye viti vyao vya enzi milele kwa raha mustarehe.!

Kujitokeza ghafla kwa mtu mmoja jasiri wa kuanza kubomoa MAZOEA na UTAMADUNI huu mbaya kabisa kumewashitua. Kunawafanya wahahe, wawe desperate kujiokoa. Chochote kilichopo mbele yao cha kujiokoa, watakitumia. Iwe uongo au hata kumwaga damu ya mtu/watu..!!

Namna pekee ya kujitetea na kujaribu kuulinda au kuu - restore ni kubuni njia ya kunzuia. Kifo ndiyo ilikuwa option ya mwisho. Bahati mbaya kwao option hiyo ika - fail spectacularly!!

4. Kufeli kwa options zote ikiwemo ya kifo, ikawaweka katika "desperation state" watu hawa ktk namna ambayo pengine hawakurajia kabisa,kabisa..

Sasa kinachofanyika ni kutengeneza propaganda, wanazihalalisha kisha wanazitumia kama sababu za kuamuru vyombo vya mabavu hususani polisi kutumia nguvu zenye kusababisha maafa na uharibifu na maumivu makubwa kwa wafuasi wa mgombea huyu wanaomfuata kumsikiliza..!

Karibu kwa maoni na mtazamo wako wewe. Na wana CCM mnakaribishwa zaidi ya wengine kushiriki mjadala huu...
unakuta RPC anatoa majibu mepesi mepesi tu eti nyumba ya mgombea ubunge na nyumba ya mgombea udiwani zimevamiwa na kufanyiwa uharibifu then siku hiyo hiyo mgombea urais anafanyiwa vurugu kwenye msafara wake na hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa wala kutuhumiwa RPC anaita waandishi wa habari kwamba uchunguzi unafanyika wakati tukio limefanyika mchana kweupe
 
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.

FUNZO: Ukiwa mnufaika (beneficiary) wa mfumo wowote ule usitumie vibaya hiyo privilege kuwatukana/gandamiza/dharau/piga/onea wengine, Hakuna hali inayodumu milele.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakika ni kweli

Asante sana kwa mawazo yenye ushauri mzuri kwetu sisi sote hususani viongozi - watawala..
 
Jamii ndo inaliki lugha na tafsiri yake, na kila kitu dunia huwa kina pande mbili, wa kushoto na kulia, hii ina maana kwamba neno lilelile linaweza kuwa tafsiri tofauti kuliangana na aliyeongea alikuwa katika mazingira gani? Anaongea na nani? na Uhusiano kati yake na anayeongea pia huyo mtu ni nani?

Kwa hiyo inawezekana Ndg Lissu anamtukana Dr. Magufuli au hamtukani .Pia Mgombea wa urais kwa tiketi ya CDM Ndg Tundu antipas Lissu anamtukana au hamtukani mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr John Joseph Pombe Magufuli
Rubbish
 
Nimeanzisha mjadala huu baada ya tukio la jana huko Chato la msafara wa Mgombea Urais - CHADEMA ndugu Tundu Lissu kushambuliwa kwa mawe na wafuasi wa CCM mara baada ya kumaliza kuzungumza na wananchi katika mkutano wake wa kampeni.

Kabla ya tukio hilo la Jana tulimwona yule ajiitaye "mwanaharakati huru" wa kumtetea Bw. John Pombe Magufuli, Cyprian Musiba akionya kuwa Lissu asiende Chato na kumtukana Rais Magufuli kwa sababu atakiona cha mtema kuni!

Baada ya tukio hilo baadhi ya posts ktk mitandao ya kijamii zikaunga mkono uhalifu huo eti ni kwa sababu anamtukana sana Rais Magufuli na kuidhalilisha serikali badala amwage Sera..!!

Honestly, hoja hii mimi huwa siielewi, hainingii kwenye akili yangu na naiona ni ya watu wasio na ufahamu wa kutosha wa maarifa.

KWANZA;

Inaeleweka kuwa, kwa mujibu ya sheria za Tanzania "MATUSI" ama "KUTOA LUGHA YA MATUSI" ni kosa la jinai kwa yeyote dhidi ya mtu aliyetukanwa..!

PILI;

Ni nani amewahi kumlalamikia Tundu Lissu kuwa amemtukana? John Pombe Magufuli amewahi kufanya hivyo? Jibu ni: HAPANA. Kwanini? Haijulikani...!

Kama hakuna ambaye amewahi kumshtaki Tundu Lissu kwa madai ya "kutukanwa" akiwemo Magufuli mwenyewe, haya madai ya kuwa Tundu Lissu anamtukana Rais Magufuli na kuidhalilisha serikali yanatoka wapi? Msingi wake ni nini?

Kwa mtazamo wangu nadhani hizi ni sababu wanazozitumia kuficha udhaifu na mapungufu ya bwana Mkubwa huyu anayedaiwa kutukanwa;

1. Tundu Lissu amevunja MWIKO (taboo) na MAZOEA/UTAMADUNI mbaya (bad tradition) uliokuwa uanajaribiwa kujengwa miongoni mwa wanajamii kudhani kuwa "ni mwiko kumkosoa mfalme - Rais". Hili limewashitua na kwao wanaona haya ni MATUSI makubwa sana kuusema wazi udhaifu na mapungufu ya kiutendaji ya mfalme - Rais...

Lakini hakuna sheria inayounga mkono dai lao. Kwa sababu, hakuna matusi ktk hotuba za Lissu..!

2. Kingine kinachowasumbua ni umahiri na style ya mgombea Urais wa CHADEMA ndg Tundu Lissu kuuelezea udhaifu na mapungufu ya mgombea Urais wa CCM ndg John Pombe Magufuli katika lugha yenye kueleweka kwa urahisi kwa wananchi.

Wakati mwingine Tundu Lissu hutumia lugha kali kidogo yenye msisitizo wa nguvu ktk jambo analotaka kulikazia ili watu waelewe. Hili pia huwa ni tatizo kwa wahafidhina hawa..!

Hili ni baya mno kwao wana CCM na wafuasi wao. Ni MATUSI makubwa mno kwao. Hii inafunua upande wa pili wa shilingi wa John Pombe Magufuli ambao wananchi hawa walikuwa hawajui. Na kwa kweli wanashangaa na kupigwa na butwaa kuliko kawaida hata kusema;

"... ala, kumbe huyu mtu ndivyo alivyo? Kumbe tumekuwa tukidanganywa miaka yote hii huku ukweli ukiwa tofauti ..?"

Hili ndilo tatizo lao kwa Tundu Lissu...!!

3. Haya MAZOEA na utamaduni mbaya ndiyo uliokuwa katika majaribio ya kujengwa katika miaka hii mitano ya Rais Magufuli.

Na kiuhalisia yeye binafsi na wafuasi wake baadhi wachache, walishaamini kabisa kuwa wamefanikiwa na wanaweza kukaa kwenye viti vyao vya enzi milele kwa raha mustarehe.!

Kujitokeza ghafla kwa mtu mmoja jasiri wa kuanza kubomoa MAZOEA na UTAMADUNI huu mbaya kabisa kumewashitua. Kunawafanya wahahe, wawe desperate kujiokoa. Chochote kilichopo mbele yao cha kujiokoa, watakitumia. Iwe uongo au hata kumwaga damu ya mtu/watu..!!

Namna pekee ya kujitetea na kujaribu kuulinda au kuu - restore ni kubuni njia ya kunzuia. Kifo ndiyo ilikuwa option ya mwisho. Bahati mbaya kwao option hiyo ika - fail spectacularly!!

4. Kufeli kwa options zote ikiwemo ya kifo, ikawaweka katika "desperation state" watu hawa ktk namna ambayo pengine hawakurajia kabisa,kabisa..

Sasa kinachofanyika ni kutengeneza propaganda, wanazihalalisha kisha wanazitumia kama sababu za kuamuru vyombo vya mabavu hususani polisi kutumia nguvu zenye kusababisha maafa na uharibifu na maumivu makubwa kwa wafuasi wa mgombea huyu wanaomfuata kumsikiliza..!

Karibu kwa maoni na mtazamo wako wewe. Na wana CCM mnakaribishwa zaidi ya wengine kushiriki mjadala huu...
Mi nilijua unaleta hoja kumbe unakuja kutoa utetezi.
 
Nimeanzisha mjadala huu baada ya tukio la jana huko Chato la msafara wa Mgombea Urais - CHADEMA ndugu Tundu Lissu kushambuliwa kwa mawe na wafuasi wa CCM mara baada ya kumaliza kuzungumza na wananchi katika mkutano wake wa kampeni.

Kabla ya tukio hilo la Jana tulimwona yule ajiitaye "mwanaharakati huru" wa kumtetea Bw. John Pombe Magufuli, Cyprian Musiba akionya kuwa Lissu asiende Chato na kumtukana Rais Magufuli kwa sababu atakiona cha mtema kuni!

Baada ya tukio hilo baadhi ya posts ktk mitandao ya kijamii zikaunga mkono uhalifu huo eti ni kwa sababu anamtukana sana Rais Magufuli na kuidhalilisha serikali badala amwage Sera..!!

Honestly, hoja hii mimi huwa siielewi, hainingii kwenye akili yangu na naiona ni ya watu wasio na ufahamu wa kutosha wa maarifa.

KWANZA;

Inaeleweka kuwa, kwa mujibu ya sheria za Tanzania "MATUSI" ama "KUTOA LUGHA YA MATUSI" ni kosa la jinai kwa yeyote dhidi ya mtu aliyetukanwa..!

PILI;

Ni nani amewahi kumlalamikia Tundu Lissu kuwa amemtukana? John Pombe Magufuli amewahi kufanya hivyo? Jibu ni: HAPANA. Kwanini? Haijulikani...!

Kama hakuna ambaye amewahi kumshtaki Tundu Lissu kwa madai ya "kutukanwa" akiwemo Magufuli mwenyewe, haya madai ya kuwa Tundu Lissu anamtukana Rais Magufuli na kuidhalilisha serikali yanatoka wapi? Msingi wake ni nini?

Kwa mtazamo wangu nadhani hizi ni sababu wanazozitumia kuficha udhaifu na mapungufu ya bwana Mkubwa huyu anayedaiwa kutukanwa;

1. Tundu Lissu amevunja MWIKO (taboo) na MAZOEA/UTAMADUNI mbaya (bad tradition) uliokuwa uanajaribiwa kujengwa miongoni mwa wanajamii kudhani kuwa "ni mwiko kumkosoa mfalme - Rais". Hili limewashitua na kwao wanaona haya ni MATUSI makubwa sana kuusema wazi udhaifu na mapungufu ya kiutendaji ya mfalme - Rais...

Lakini hakuna sheria inayounga mkono dai lao. Kwa sababu, hakuna matusi ktk hotuba za Lissu..!

2. Kingine kinachowasumbua ni umahiri na style ya mgombea Urais wa CHADEMA ndg Tundu Lissu kuuelezea udhaifu na mapungufu ya mgombea Urais wa CCM ndg John Pombe Magufuli katika lugha yenye kueleweka kwa urahisi kwa wananchi.

Wakati mwingine Tundu Lissu hutumia lugha kali kidogo yenye msisitizo wa nguvu ktk jambo analotaka kulikazia ili watu waelewe. Hili pia huwa ni tatizo kwa wahafidhina hawa..!

Hili ni baya mno kwao wana CCM na wafuasi wao. Ni MATUSI makubwa mno kwao. Hii inafunua upande wa pili wa shilingi wa John Pombe Magufuli ambao wananchi hawa walikuwa hawajui. Na kwa kweli wanashangaa na kupigwa na butwaa kuliko kawaida hata kusema;

"... ala, kumbe huyu mtu ndivyo alivyo? Kumbe tumekuwa tukidanganywa miaka yote hii huku ukweli ukiwa tofauti ..?"

Hili ndilo tatizo lao kwa Tundu Lissu...!!

3. Haya MAZOEA na utamaduni mbaya ndiyo uliokuwa katika majaribio ya kujengwa katika miaka hii mitano ya Rais Magufuli.

Na kiuhalisia yeye binafsi na wafuasi wake baadhi wachache, walishaamini kabisa kuwa wamefanikiwa na wanaweza kukaa kwenye viti vyao vya enzi milele kwa raha mustarehe.!

Kujitokeza ghafla kwa mtu mmoja jasiri wa kuanza kubomoa MAZOEA na UTAMADUNI huu mbaya kabisa kumewashitua. Kunawafanya wahahe, wawe desperate kujiokoa. Chochote kilichopo mbele yao cha kujiokoa, watakitumia. Iwe uongo au hata kumwaga damu ya mtu/watu..!!

Namna pekee ya kujitetea na kujaribu kuulinda au kuu - restore ni kubuni njia ya kunzuia. Kifo ndiyo ilikuwa option ya mwisho. Bahati mbaya kwao option hiyo ika - fail spectacularly!!

4. Kufeli kwa options zote ikiwemo ya kifo, ikawaweka katika "desperation state" watu hawa ktk namna ambayo pengine hawakurajia kabisa,kabisa..

Sasa kinachofanyika ni kutengeneza propaganda, wanazihalalisha kisha wanazitumia kama sababu za kuamuru vyombo vya mabavu hususani polisi kutumia nguvu zenye kusababisha maafa na uharibifu na maumivu makubwa kwa wafuasi wa mgombea huyu wanaomfuata kumsikiliza..!

Karibu kwa maoni na mtazamo wako wewe. Na wana CCM mnakaribishwa zaidi ya wengine kushiriki mjadala huu...

Baadhi ya matusi haya hapa:

IMG_20201015_165017_491.jpg


Na hili la kukopa pamba ila ndege keshi ndiyo tusi baya zaidi. La hivi kuweka msisitizo mzee Mwinyi aliita kuwa ni tusi la nguoni!
 
Mi nilijua unaleta hoja kumbe unakuja kutoa utetezi.
Yes, ni hoja lakini yenye mtazamo wa kumtetea Tundu Lissu kuwa sioni matusi ktk hotuba zake zote kwa sababu;

1. Matusi au kumtukana mtu yeyote ni kosa kwa mujibu wa sheria za Tanzania

2. Hajawahi kushitakiwa na mtu yeyote akiwemo huyu mnayedai anatukanwa popote polisi ama mahakamani

3. Hakuna matusi ama tusi lolote ktk kila hotuba niliyoipitia na kumsikiliza..!!

SASA WEWE UFANYEJE?

Pinga hoja zangu au ziunge mkono. Kama unapinga, onesha mfano wa matusi ya Tundu Lissu...

Wewe kusema tu;

"....ooh mimi nilikuwa nadhani una hoja kumbe unamtetea...", haitoshi..

Badala yake kataa utetezi wangu kwa hoja na mifano. Vinginevyo, nyamaza kimya, endelea kuwasoma wengine ili ujifunze..
 
Moja ya tamadun amabyo inatakiwa ikataliwe hapa Tanzania kwa nguvu zote, kuanzia ngazi ya familia mpaka uongozi ni kuchukulia umetukanwa ukikosolewa. Hii sio President tu, ipo toka ngza ya famalia zetu kabisa, ukimbishia mkubwa au ukamshinda kwa hoja ili akugandamize utasikia kanitukana, basi baada ya hapo familia nzima hua upande ule.

Hata shuleni, mwalimu ukimbishia kitu kwa facts, utasikia amenitukana, basi huko staff ni viboko tu, unaulizwa kwa nini umemtukana mwalimu. Nako kweny jamii zetu, hasa vijijini ukimjibu mzee tofauti na zile itaikadi zao, utasikia huyu mtoto ana matusi sana.

Kwa hiyo hili swala sio Magufuli pekee yake, tuanze kujifunza toka ngazi ya familia, kwan huku ndiko hutuzalishia akina Magufuli ambao hawataki kuguswa utafikir wanaongoza familia zao, kumbe ni nchi yenye watu 60million. Swaini kabisa
Asante. Ili siku zote ukweli ujitenga ajalishi unri au jinsia mwambie ukweli akichukia sawa akikiuelewa sawa

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Baadhi ya matusi haya hapa:

View attachment 1602041

Na hili la kukopa pamba ila ndege keshi ndiyo tusi baya zaidi. La hivi kuweka msisitizo mzee Mwinyi aliita kuwa ni tusi la nguoni!

Haa haa, kwao ni matusi...

Na matusi haya, adhabu yake kuupiga mawe msafara wa Tundu Lissu..

Daaah, it's too barbaric...
 
Rais mtarajiwa TL hajawahi kumtukana rais anayemalizia muda wake madarakani ila huwa anasema ukweli. Ukweli daima unauma
 
Moja ya tamadun amabyo inatakiwa ikataliwe hapa Tanzania kwa nguvu zote, kuanzia ngazi ya familia mpaka uongozi ni kuchukulia umetukanwa ukikosolewa. Hii sio President tu, ipo toka ngza ya famalia zetu kabisa, ukimbishia mkubwa au ukamshinda kwa hoja ili akugandamize utasikia kanitukana, basi baada ya hapo familia nzima hua upande ule.

Hata shuleni, mwalimu ukimbishia kitu kwa facts, utasikia amenitukana, basi huko staff ni viboko tu, unaulizwa kwa nini umemtukana mwalimu. Nako kweny jamii zetu, hasa vijijini ukimjibu mzee tofauti na zile itaikadi zao, utasikia huyu mtoto ana matusi sana.

Kwa hiyo hili swala sio Magufuli pekee yake, tuanze kujifunza toka ngazi ya familia, kwan huku ndiko hutuzalishia akina Magufuli ambao hawataki kuguswa utafikir wanaongoza familia zao, kumbe ni nchi yenye watu 60million. Swaini kabisa

Exactly...

Ni utamaduni mbaya (bad tradition) uliojengwa kuanzia ktk ngazi ya familia ambapo watoto wamelelewa ktk msingi wa kuwa, usihoji chochote asemacho aliye mkubwa kiumri kwako wakiwemo wazazi wetu...

Utamaduni na mafundisho haya, hufundisha watoto ujinga na kutojiamini. Na hili ndilo linalowapa taabu walimu wetu mashuleni kufundisha watoto...

Na familia za namna hii ndiyo zinazalisha watu wa aina ya John Pombe Magufuli..

Na ktk mazingira tatanishi, mtu mwenye malezi ya namna hii yenye mapungufu makubwa ndiye kiongozi mkuu wa nchi..!

Ndiyo maana tunayaona haya maovu.

Na kwa upande wa pili tunapaswa kuilaumu "system" kwa kushindwa kufanya "thoroughly vetting" ya yeyote aitakaye nafasi ya uongozi nafasi ya Urais..

Kama hii ingefanyika sawasawa na kwa uaminifu na uzalendo wa kweli, Magufuli ha - qualify kwenye hiyo nafasi aliyopo sasa..!!
 
Back
Top Bottom